Pre GE2025 Rais Samia hakubaliki Tanzania 2025, kazi iliyopo ni kutumia mbinu mbadala

Pre GE2025 Rais Samia hakubaliki Tanzania 2025, kazi iliyopo ni kutumia mbinu mbadala

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Taarifa za ndani kabisa ni kwamba mama hakubaliki lakini Nani atamfunga paka kengele kilichopo ni kwamba madaraka ni matamu! Mama hata yeye anajuwa hakubaliki anategemea vijana wake wamfanyie kazi ndiyo maana hakemei wizi na hana nguvu ya kufukuza kazi waziri yeyote kwani alishaaminishwa na mzee wa msoga waliopo Ndio wakumpigania Zaidi ya lile kundi la sukuma gang.

Mmoja wa viongozi wa juu aliuliza mnajuwa maana ya kuupiga mwingi? Rafiki yake akamjibu kwamba anafanya kazi wanayoitaka wananchi Ndipo alipomcheka kwa dharau na kumpa majibu kwamba fursa zilizobanwa na mwendazake sasa zipo Kila mtu anakula ndani ya serikali kulingana na kamba yake hayo ndiyo majibu aliyoambiwa.

Kwa maneno hayo hata Mimi nimejiuliza ukiulizwa swali mama amefanyia nini nchi tangu 2021
  • Nitakwambia amejenga vyoo vya madarasa kupitia uviko ambazo tsh trion 1.3 zilitumika
  • Nitakwambia ameruhusu DEMOKRASIA ingawa hiyo DEMOKRASIA Sion inachosaidia
-Nitakwambia bwawa la mwalimu Nyerere hawajakamilisha kwani mashine zote zinazotakiwa kuwashwa na kuzalisha megawatt 2500 bado hazijakamilika.
  • Nitakwambia mradi wa SGR umefia Dodoma kwan maeneo mengine mkandaeasi amekosa hela kuendelea kujenga.
  • Nitakwambia bandari zote zilizopo kwenye bahari na maziwa makuu tayari zimeshauzwa na kwamba baada ya kuuza tunapata gawio kubwa.
  • Nitakwambia makampuni ya kihuni ya wafanyabiashara wa sukari yametufanya tunanunua sukari kg tsh 4000 hadi tsh 5000/=
  • Nitakwambia amegawa mapikipiki mikoa yote ambayo ni kwa ajiri ya kumpigania aendelee kuwa raisi.
  • Nitakwambia Kodi lukuki zimezalishwa pamoja na kuwepo Kodi hizo hakuna maendeleo yanayoonekana Zaidi ya miradi iliyoanzishwa kusinyaa.
  • Nitakwambia serikali ya sasa imejikita kwenye matumiz yasiyoonekana na wala siyo kuzalisha
  • Nitakwambia amejitahudi kutoa ajira hasa jeshi la polisi.na kupandisha madaraja kwenye taasisi mbalimbali
N.k
 
Hivi kwa nini asikubali tu matokeo, ameshaweka rekodi isiovunjika ya kuwa makamu wa kwanza mwanamke na rais wa kwanza mwanamke.

Yanini kusumbuka hali utu uzima umemkaribia sana, sana atakachopata ni fedheha kutukanwa kashfa na mengi ya kuudhi.

Ilitosha tu kuweka rekodi ya daima kipindi kiwe hiki alicho nacho, awezeshe kupatikana katiba mpya , akapumzike abakiwe na sifa njema za kudumu, kuliko propaganda.
 
Wala hizo sio za ndani kila kitu Kiko hadharani hapendeki hauziki licha ya juhudi nyingi za machawa
 
Taarifa za ndani kabisa ni kwamba mama hakubaliki lakini Nani atamfunga paka kengele kilichopo ni kwamba madaraka ni matamu! Mama hata yeye anajuwa hakubaliki anategemea vijana wake wamfanyie kazi ndiyo maana hakemei wizi na hana nguvu ya kufukuza kazi waziri yeyote kwani alishaaminishwa na mzee wa msoga waliopo Ndio wakumpigania Zaidi ya lile kundi la sukuma gang.

Mmoja wa viongozi wa juu aliuliza mnajuwa maana ya kuupiga mwingi? Rafiki yake akamjibu kwamba anafanya kazi wanayoitaka wananchi Ndipo alipomcheka kwa dharau na kumpa majibu kwamba fursa zilizobanwa na mwendazake sasa zipo Kila mtu anakula ndani ya serikali kulingana na kamba yake hayo ndiyo majibu aliyoambiwa.

Kwa maneno hayo hata Mimi nimejiuliza ukiulizwa swali mama amefanyia nini nchi tangu 2021
  • Nitakwambia amejenga vyoo vya madarasa kupitia uviko ambazo tsh trion 1.3 zilitumika
  • Nitakwambia ameruhusu DEMOKRASIA ingawa hiyo DEMOKRASIA Sion inachosaidia
-Nitakwambia bwawa la mwalimu Nyerere hawajakamilisha kwani mashine zote zinazotakiwa kuwashwa na kuzalisha megawatt 2500 bado hazijakamilika.
  • Nitakwambia mradi wa SGR umefia Dodoma kwan maeneo mengine mkandaeasi amekosa hela kuendelea kujenga.
  • Nitakwambia bandari zote zilizopo kwenye bahari na maziwa makuu tayari zimeshauzwa na kwamba baada ya kuuza tunapata gawio kubwa.
  • Nitakwambia makampuni ya kihuni ya wafanyabiashara wa sukari yametufanya tunanunua sukari kg tsh 4000 hadi tsh 5000/=
  • Nitakwambia amegawa mapikipiki mikoa yote ambayo ni kwa ajiri ya kumpigania aendelee kuwa raisi.
  • Nitakwambia Kodi lukuki zimezalishwa pamoja na kuwepo Kodi hizo hakuna maendeleo yanayoonekana Zaidi ya miradi iliyoanzishwa kusinyaa.
  • Nitakwambia serikali ya sasa imejikita kwenye matumiz yasiyoonekana na wala siyo kuzalisha
  • Nitakwambia amejitahudi kutoa ajira hasa jeshi la polisi.na kupandisha madaraja kwenye taasisi mbalimbali
N.k
Hizo mbinu Mbadala tumieni Kwa wanaokubalika vinginevyo mnapoteza mda wenu ,Nguvu na Rasilimali Kwa sababu Rais ni Samia Hadi 2030.
 
Hivi kwa nini asikubali tu matokeo, ameshaweka rekodi isiovunjika ya kuwa makamu wa kwanza mwanamke na rais wa kwanza mwanamke.

Yanini kusumbuka hali utu uzima umemkaribia sana, sana atakachopata ni fedheha kutukanwa kashfa na mengi ya kuudhi.

Ilitosha tu kuweka rekodi ya daima kipindi kiwe hiki alicho nacho, awezeshe kupatikana katiba mpya , akapumzike abakiwe na sifa njema za kudumu, kuliko propaganda.
Sikutaka kuweka chochote kwenye mada hii, lakini nimeshawishiwa na maneno yako uliyo andika.
Ni hivi:
Usifikiri ana hiari ya kufanya unavyo fikiria wewe.
Huyu ni mateka, ni mali ya genge linalomfuga; genge lenye nguvu linalomtumia kujinufaisha lenyewe.

Hana hiari ya kuamua kufanya kama unavyo pendekeza wewe.
 
Hangaika na stress zako, una sensa iliyokupa takwimu kwamba hakubaliki? Umelewa mataputapu unakuja kutapikia hapa JF
 
..hana mvuto.

..she is not beautiful.

..mimi sipigii kura mwanamke asiye na mvuto.
"Beauty is in the eye of the beholder"!

However, I see a great deal of ugliness' in her actions.
 
Tuliwaambia hapa, sasa hivi watu wanakula na kusaza. Na si Serikalini tu, yaani sasa hivi hata wauza madawa, nao wanatamba kama hakuna Serikali.

Wewe kama ni mtoto wa mjini, tafuta marafiki wa Abdul, umemaliza michongo yako inaenda huguswi na mtu. Imetosha kajua kuivuruga nchi.

Hali ni mbaya watu wanajionea kawaida. I wish huyu mama angeona, kishachota, akaachia hapo Uraisi wa Katiba. Akaacha mtu angalau, anayeweza kuisimamia Serikali na mambo mengine kwa ukaribu zaidi.
 
Hangaika na stress zako, una sensa iliyokupa takwimu kwamba hakubaliki? Umelewa mataputapu unakuja kutapikia hapa JF
Hii "sensa" ni ya kitu gani tena hapa mkuu 'chiembe'? Hizi ni 'stres' zinazosumbua, au vipi?
 
Huu ni UKWELI mchungu!!
"Ukweli mchungu", lakini ukweli unaowasahaulisha waTanzania tatizo kubwa la nchi yao lililpo,...ndani ya muundo wa CCM, unaotumika sasa kuleta kila aina ya takataka za uongozi wa nchi na matatizo mengineyo yanayowakabili.
 
Back
Top Bottom