Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
sure document zote huwepo.. ukiona umanunua gari alafu upewe documents anza kuandaa panadola mapemaa.. ujue kuna hujuma hapoNa ukitumiwa documents zako kwa dhl inawekwa na inspection report.
Idea ilikua ile pesa ya ukaguzi na ajira zibaki hapa hapa inchi...that's how you add value to your economy.
Hivi huyu mdudu aliezilemaza akili zetu kua watu wa inje wanafanya kazi nzuri kuliko ss ni nani?kwann tusizifanyie kazi changamoto zetu tukawa efficient?
Tukiendelea hivi nadhani ni vyema na haki serikali nayo tuka i out source nje ya inchi maana huko kuna walio waaminifu, wabunifu na efficient kuliko sisi.
Kwani ndio ishapitishwa kuwa sheria rasmi au ilikua story tu ya kuchangamsha kijiwe?Tatizo nia njema iligeuzwa fursa, rushwa, urasimu, kero na upigaji.
Sasa wakale walikopeleka mboga.
Waliolikoroga ni waliokuwa wamepewa dhamana.
Waswahili ni mbuzi kasoro mkia!
Wangekuwa na akili bei yao ingekuwa ndogo zaidi kuliko huko nje. Urasimu na upuuzi wote ukawa hamna.
Kwani ndio ishapitishwa kuwa sheria rasmi au ilikua story tu ya kuchangamsha kijiwe?
Tumepigwa vibaya sanaIdea ilikua ile pesa ya ukaguzi na ajira zibaki hapa hapa inchi...that's how you add value to your economy.
Hivi huyu mdudu aliezilemaza akili zetu kua watu wa inje wanafanya kazi nzuri kuliko ss ni nani?kwann tusizifanyie kazi changamoto zetu tukawa efficient?
Tukiendelea hivi nadhani ni vyema na haki serikali nayo tuka i out source nje ya inchi maana huko kuna walio waaminifu, wabunifu na efficient kuliko sisi.
Mkuu acha fix...tyres zikiwa mbovu wateja wanarudishwa wakarekebishe then wanarudi kwa ajili ya RETEST..Mtu unaenda TBS na tyres za 2011 unategemea upitishwe kivipi?Ni sahihi
Siku zote bidhaa inakaguliwa pale pale ilipouzwa na kama haifai unaachana nayo
Umeagiza gari inafika Dsm ndo unaambiwa haina hiki na hiki ili iweje na ushaingia gharama?
Halafu kubwa zaid ni Rushwa rushwa tu…gari unaambiwa haiwezi kutoka tyre hazifai kanunue mpya…kumbe magumashi wanataka Rushwa, ukiwapa Laki wanaruhusu Gari itoke na hizo hizo tyre
Mkuu acha fix...tyres zikiwa mbovu wateja wanarudishwa wakarekebishe then wanarudi kwa ajili ya RETEST..Mtu unaenda TBS na tyres za 2011 unategemea upitishwe kivipi?
Sent using Jamii Forums mobile app