Rais Samia: Hakuna ulazima wa Magari kukaguliwa hapa nchini

Rais Samia: Hakuna ulazima wa Magari kukaguliwa hapa nchini

Kama raisi mwenyewe ameona kuna upigaji Mimi ni Nani Hadi nibishe? Hapa mama tunajupa hongera
 
Mama kaupiga mwingi, yule mjinga aliyekufa ghafla aliharibu sana hii nchi.
 
Idea ilikua ile pesa ya ukaguzi na ajira zibaki hapa hapa inchi...that's how you add value to your economy.

Hivi huyu mdudu aliezilemaza akili zetu kua watu wa inje wanafanya kazi nzuri kuliko ss ni nani?kwann tusizifanyie kazi changamoto zetu tukawa efficient?

Tukiendelea hivi nadhani ni vyema na haki serikali nayo tuka i out source nje ya inchi maana huko kuna walio waaminifu, wabunifu na efficient kuliko sisi.

Tatizo nia njema iligeuzwa fursa, rushwa, urasimu, kero na upigaji.

Sasa wakale walikopeleka mboga.

Waliolikoroga ni waliokuwa wamepewa dhamana.

Waswahili ni mbuzi kasoro mkia!

Wangekuwa na akili bei yao ingekuwa ndogo zaidi kuliko huko nje. Urasimu na upuuzi wote ukawa hamna.
 
Tatizo nia njema iligeuzwa fursa, rushwa, urasimu, kero na upigaji.

Sasa wakale walikopeleka mboga.

Waliolikoroga ni waliokuwa wamepewa dhamana.

Waswahili ni mbuzi kasoro mkia!

Wangekuwa na akili bei yao ingekuwa ndogo zaidi kuliko huko nje. Urasimu na upuuzi wote ukawa hamna.
Kwani ndio ishapitishwa kuwa sheria rasmi au ilikua story tu ya kuchangamsha kijiwe?
 
Kwani ndio ishapitishwa kuwa sheria rasmi au ilikua story tu ya kuchangamsha kijiwe?

Mwanzo wa ngoma ni lele.

Hujui tunavyoshindanaga kuonyesha tumeheshimu matamko ya wakuu? Labda kwa huyu mwamba tu ambaye huwa anaweza kud*nda:

IMG_20220328_163418_262.jpg
 
Idea ilikua ile pesa ya ukaguzi na ajira zibaki hapa hapa inchi...that's how you add value to your economy.

Hivi huyu mdudu aliezilemaza akili zetu kua watu wa inje wanafanya kazi nzuri kuliko ss ni nani?kwann tusizifanyie kazi changamoto zetu tukawa efficient?

Tukiendelea hivi nadhani ni vyema na haki serikali nayo tuka i out source nje ya inchi maana huko kuna walio waaminifu, wabunifu na efficient kuliko sisi.
Tumepigwa vibaya sana
 
Ni sahihi

Siku zote bidhaa inakaguliwa pale pale ilipouzwa na kama haifai unaachana nayo

Umeagiza gari inafika Dsm ndo unaambiwa haina hiki na hiki ili iweje na ushaingia gharama?

Halafu kubwa zaid ni Rushwa rushwa tu…gari unaambiwa haiwezi kutoka tyre hazifai kanunue mpya…kumbe magumashi wanataka Rushwa, ukiwapa Laki wanaruhusu Gari itoke na hizo hizo tyre
Mkuu acha fix...tyres zikiwa mbovu wateja wanarudishwa wakarekebishe then wanarudi kwa ajili ya RETEST..Mtu unaenda TBS na tyres za 2011 unategemea upitishwe kivipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Povu la nini…utajua namna ya kuishi

Ukaguzi ufanyike huko huko kabla chombo hakijapandishwa melini

Hayo niliyokueleza sitaki opinion yako kwa kuwa sio hisia yamemtokea mtu wangu wa karibu sana ndani ya mwaka huu wa 2022
Mkuu acha fix...tyres zikiwa mbovu wateja wanarudishwa wakarekebishe then wanarudi kwa ajili ya RETEST..Mtu unaenda TBS na tyres za 2011 unategemea upitishwe kivipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom