Rais Samia hautafanikiwa kuipoteza CHADEMA, nakuhakikishia hilo

Rais Samia hautafanikiwa kuipoteza CHADEMA, nakuhakikishia hilo

My Son drink water

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
4,932
Reaction score
13,306
Zoezi la kuiua CHADEMA alilianza Hayati Magufuli na kaondoka Duniani hajafanikiwa kuiua CHADEMA. Kwa maneno mengine rahisi, aliyetaka CHADEMA ife kafa yeye na kuiacha CHADEMA ikiwa hai.

Mbowe alikuwa hana tuhuma zozote za Ugaidi hapo kabla, lakini alipoanza vuguvugu la kudai Katiba Mpya mkamkamata na kumbambikia kesi ya kigaidi.

Police wanatoa hoja za kitoto za kuwafanya watu wote hawana akili. Eti walikuwa wakimchunguza na sasa wamepata ushahidi na kumkamata.

Swali kwa Police: Utamchunguzaje suspect huku akiwa huru? What if akitoroka?

Rais Samia, tunakuheshimu sana kama Rais wetu, lakini hatukuogopi. Tunayemwogopa ni mmoja tu, naye ni MUNGU.

Hakuna wa kututisha kuhusu kudai Katiba Mpya, tutaendelea kuidai kwa njia nyingi tofauti hadi tutaipata, na njia kubwa kuliko zote tumeanza kukushtakia kwa MUNGU. Kama utaweza kushindana na MUNGU basi CHADEMA itakufa, lakini kwa sababu Mungu huwa ni wa haki,atasimama kwenye haki.

Rais Samia, hautafanikiwa kwenye njama zako za kuiua CHADEMA, Mbowe siyo CHADEMA. Nyie mfanyeni vyovote vile mnavyojua, lakini mtakapoanza kulipa ghadhabu ya MUNGU msikimbiane humo.

Huwa mnajiona mna haki sana ya kufanya lolote, wakati ni ukuta, iko siku hamtavuka.
 
Chama kina mbunge mmoja (tena ameasi chama) ila kelele zake mitandaoni ni kama wana 2/3 ya wabunge bungeni, mnasubiriwa feld tar 5 kama alivyotangaza katibu wenu.
 
Zoezi la kuiua CHADEMA alilianza Hayati Magufuli na kaondoka Duniani hajafanikiwa kuiua CHADEMA. Kwa maneno mengine rahisi, aliyetaka CHADEMA ife kafa yeye na kuiacha CHADEMA ikiwa hai.

Mbowe alikuwa hana tuhuma zozote za Ugaidi hapo kabla, lakini alipoanza vuguvugu la kudai Katiba Mpya mkamkamata na kumbambikia kesi ya kigaidi.

Police wanatoa hoja za kitoto za kuwafanya watu wote hawana akili. Eti walikuwa wakimchunguza na sasa wamepata ushahidi na kumkamata.

Swali kwa Police: Utamchunguzaje suspect huku akiwa huru? What if akitoroka?

Rais Samia, tunakuheshimu sana kama Rais wetu, lakini hatukuogopi. Tunayemwogopa ni mmoja tu, naye ni MUNGU.

Hakuna wa kututisha kuhusu kudai Katiba Mpya, tutaendelea kuidai kwa njia nyingi tofauti hadi tutaipata, na njia kubwa kuliko zote tumeanza kukushtakia kwa MUNGU. Kama utaweza kushindana na MUNGU basi CHADEMA itakufa, lakini kwa sababu Mungu huwa ni wa haki,atasimama kwenye haki.

Rais Samia, hautafanikiwa kwenye njama zako za kuiua CHADEMA, Mbowe siyo CHADEMA. Nyie mfanyeni vyovote vile mnavyojua, lakini mtakapoanza kulipa ghadhabu ya MUNGU msikimbiane humo.

Huwa mnajiona mna haki sana ya kufanya lolote, wakati ni ukuta, iko siku hamtavuka.
🤣🤣🤣

Je mko DELUDED?!!.

Je mna DELUSION?

Mnataka kutuaminisha kuwa CHADEMA imeandikwa "malangoni pa BWANA"...😲😲😲🤣🤣

Mh.Rais SSH yupo.......

Mh.Rais SSH ataendelea kuwepo aaaamin aaaaamin🙏

Nini CHADEMA hapa ilipita CUF...


#SiempreCCM
#HastaLaVictoriaCCM
 
TUSIDANGANYANE KUWA KUIZUIA CHADEMA KUNASABABISHA MTU AFE. HUU NI UJINGA. HAKUNA ALIYEPAMBANA NA CHADEMA KAMA MWIGULU.HAKUNA. MI NAKWAMBIA.
Kama huamini na wewe ongezea nguvu kupambana na CHADEMA tukuone kama utamaliza miaka mitano na nusu ukiwa hai,jaribu uone,wewe unadhani mchezo?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Je mko DELUDED?!!.

Je mna DELUSION?

Mnataka kutuaminisha kuwa CHADEMA imeandikwa "malangoni pa BWANA"...[emoji44][emoji44][emoji44][emoji1787][emoji1787]

Mh.Rais SSH yupo.......

Mh.Rais SSH ataendelea kuwepo aaaamin aaaaamin[emoji120]

Nini CHADEMA hapa ilipita CUF...


#SiempreCCM
#HastaLaVictoriaCCM
Soma vizuri mada uelewe, akili za kamasi wewe,hakuna uonevu unaoshinda haki
 
Chama kina mbunge mmoja (tena ameasi chama) ila kelele zake mitandaoni ni kama wana 2/3 ya wabunge bungeni, mnasubiriwa feld tar 5 kama alivyotangaza katibu wenu.
Unajua ni kwa nini Magufuli alikufa kabla ya muda wake? Unadhani muda wake ulifika?nyie mtakiona cha moto
 
Zoezi la kuiua CHADEMA alilianza Hayati Magufuli na kaondoka Duniani hajafanikiwa kuiua CHADEMA. Kwa maneno mengine rahisi, aliyetaka CHADEMA ife kafa yeye na kuiacha CHADEMA ikiwa hai.

Mbowe alikuwa hana tuhuma zozote za Ugaidi hapo kabla, lakini alipoanza vuguvugu la kudai Katiba Mpya mkamkamata na kumbambikia kesi ya kigaidi.

Police wanatoa hoja za kitoto za kuwafanya watu wote hawana akili. Eti walikuwa wakimchunguza na sasa wamepata ushahidi na kumkamata.

Swali kwa Police: Utamchunguzaje suspect huku akiwa huru? What if akitoroka?

Rais Samia, tunakuheshimu sana kama Rais wetu, lakini hatukuogopi. Tunayemwogopa ni mmoja tu, naye ni MUNGU.

Hakuna wa kututisha kuhusu kudai Katiba Mpya, tutaendelea kuidai kwa njia nyingi tofauti hadi tutaipata, na njia kubwa kuliko zote tumeanza kukushtakia kwa MUNGU. Kama utaweza kushindana na MUNGU basi CHADEMA itakufa, lakini kwa sababu Mungu huwa ni wa haki,atasimama kwenye haki.

Rais Samia, hautafanikiwa kwenye njama zako za kuiua CHADEMA, Mbowe siyo CHADEMA. Nyie mfanyeni vyovote vile mnavyojua, lakini mtakapoanza kulipa ghadhabu ya MUNGU msikimbiane humo.

Huwa mnajiona mna haki sana ya kufanya lolote, wakati ni ukuta, iko siku hamtavuka.
Kwakuwa wao wana Mitutu, visu, mapanga na Praizi sasa tutamwachia Mungu
 
Unajua ni kwa nini Magufuli alikufa kabla ya muda wake? Unadhani muda wake ulifika?nyie mtakiona cha moto
Alimkufuru Mungu pia alitaka kumpanda Mungu kichwani,kumdhihaki Mungu,kuwatukana na kuwadhalilisha sauti ya Mungu kwa wanadamu (viongozi wa dini),kukosoa uumbaji wa Mungu kupitia wasiojulikana maana KILA binadamu duniani yupo kwa kusudi la Mungu,kuwa bize kupambana na watu kuliko kupambana na maendeleo.Mungu atabaki kuwa Mungu sote ni wapangaji wake.
 
Hata mwendazake alikuwepo kabla ya kwenda...
🤣🤣🤣Je mko DELUDED?!!.
Je mna DELUSION?

Mnataka kutuaminisha kuwa CHADEMA imeandikwa "malangoni pa BWANA"...😲😲😲🤣🤣

Mh.Rais SSH yupo.......

Mh.Rais SSH ataendelea kuwepo aaaamin aaaaamin🙏

Nini CHADEMA hapa ilipita CUF...


#SiempreCCM
#HastaLaVictoriaCCM
 
Unajua ni kwa nini Magufuli alikufa kabla ya muda wake? Unadhani muda wake ulifika?nyie mtakiona cha moto
Unaogopa kufa? Kifo is there kwa kila mtu. Mnasubiriwa field tarehe 5. Ila Samia ana madharau sana, na mitusi yenu yote hata hawajibu, anapiga kazi zake tu
 
Back
Top Bottom