Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unajua muda wake wa kufa ulikuwa ni lini?Unajua ni kwa nini Magufuli alikufa kabla ya muda wake? Unadhani muda wake ulifika?nyie mtakiona cha moto
Hafai kabisa huyu mama2025 inatakiwa mama akapumzike.Washamchoka mapema hata vijijini tozo, mafuta bei juu.Ccm bye bye.
Kwani nchi hii ina wabunge wako wapi mbona wote ni wateule wa Magufuli tu kitendo ambacho hata Mungu kilimuudhi akamuadhibu.Chama kina mbunge mmoja (tena ameasi chama) ila kelele zake mitandaoni ni kama wana 2/3 ya wabunge bungeni, mnasubiriwa feld tar 5 kama alivyotangaza katibu wenu.
Watapita wanachama wote walio sasa....CCM ITABAKI.....Hata mwendazake alikuwepo kabla ya kwenda...
Endeleeni KUUFUKUZA UPEPO...🤣Hafai kabisa huyu mama
Kifo kipo, ila kina muda wake, Magufuli alikufa kabla ya muda kwa sababu ya ushenzi wake, subirini muone kitakachompata Samia majuha nyieUnaogopa kufa? Kifo is there kwa kila mtu. Mnasubiriwa field tarehe 5. Ila Samia ana madharau sana, na mitusi yenu yote hata hawajibu, anapiga kazi zake tu
Dua la kuku....Na Mungu atawafundisha adabu hawa kima, nakuhakikishia muda umefika
Nyie vijana wa CCM huwa hamna akili kabisa,ni mkosi mkubwa mno mzazi kuzaa mtoto juha Kama weweEndeleeni KUUFUKUZA UPEPO...[emoji1787]
Tuambieni muda wake ulikuwa mpaka lini ?!!!Kifo kipo, ila kina muda wake, Magufuli alikufa kabla ya muda kwa sababu ya ushenzi wake, subirini muone kitakachompata Samia majuha nyie
🤣🤣Mkuu una stress na sonona kuamua kuishambulia CCM ili upate ahueni ya nafsi ?!!Nyie vijana wa CCM huwa hamna akili kabisa,ni mkosi mkubwa mno mzazi kuzaa mtoto juha Kama wewe
Nyie mlimwita eti Magufuli ni Rais aliyeletwa na MUNGU ,angekuwa kaletwa na Mungu angeongoza Tanzania hadi astaafu,na kwa kuwa Mungu anapenda watu wake,angestaafu na kuishi na umri wa Bonus , lakini kwa kuwa alikuwa chaguo la Shetani Kama Samia alivyo,ndo maana yupo kuzimu sasa hivi achomwa moto kwa ushenzi wakeWewe unajua muda wake wa kufa ulikuwa ni lini?
'Nyie' ni kina nani? Wewe ratiba za watu kufa unazijua?Nyie mlimwita eti Magufuli ni Rais aliyeletwa na MUNGU ,angekuwa kaletwa na Mungu angeongoza Tanzania hadi astaafu,na kwa kuwa Mungu anapenda watu wake,angestaafu na kuishi na umri wa Bonus , lakini kwa kuwa alikuwa chaguo la Shetani Kama Samia alivyo,ndo maana yupo kuzimu sasa hivi achomwa moto kwa ushenzi wake
Nimeshakuambia wewe ni juha,nikikujibu tena,utaokota milioni 10...Tuambieni muda wake ulikuwa mpaka lini ?!!!
Hivi ninyi mnavutaga "bange" kwa kutumia masikio?si ndio ee?
Mh.SSH yupo na ataendelea kuwepo aamin mahobobo ninyi [emoji1787]
ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO
Nyie CCM,hujaelewa wapi wewe Takataka?'Nyie' ni kina nani? Wewe ratiba za watu kufa unazijua?
🤣🤣Usinijibu tena bali inuka UUFUKUZE UPEPO.....Nimeshakuambia wewe ni juha,nikikujibu tena,utaokota milioni 10...
Jibu swali, ratiba za watu kufa wewe unazijua?Nyie CCM,hujaelewa wapi wewe Takataka?
Jibu swali...ratiba za watu kufa unazijua?!!!Nyie CCM,hujaelewa wapi wewe Takataka?