Rais Samia hautafanikiwa kuipoteza CHADEMA, nakuhakikishia hilo

Dogo naandika kifalsafa zaidi std7 huwezi nielewa
Kama hii ndo falsafa baada ya kuvuta bhangi. Acha nisielewe na ni bora nisiwe hata standard 7 . Lemme be layman kabisa. Bhangi si nzuri hasa ile mnayochanganya na choo..
 
Usitumie kijambio kufikiri,Mzee Mtei yupo labda kama mna moango wa kwenda kuinyofoa roho yake leo maana mikono yenu imejaa damu isiyokuwa na hatia
Sasa kwa nini hapa nami nisiwe nmesema kifalsafa kama alivyosema mwenzio?
 
Usitumie kijambio kufikiri,Mzee Mtei yupo labda kama mna moango wa kwenda kuinyofoa roho yake leo maana mikono yenu imejaa damu isiyokuwa na hatia
Ndo shida kubwa ya watu wa aina yako...ndo wanachafua chama cha chadema. Hizi takataka zinafanya chama kionekane kina wahuni lakini kumbe hata wenye akili wapo. Kwa nini nyie hamjibu hoja kwa hoja? Mbona akina TL wanajibu hoja kwa hoja ...😂😂😂😂😂
 
Kama hii ndo falsafa baada ya kuvuta bhangi. Acha nisielewe na ni bora nisiwe hata standard 7 . Lemme be layman kabisa. Bhangi si nzuri hasa ile mnayochanganya na choo..
Watu wenye akili nyingi kuvuta bangi ni kawaida tu
 
Mdogomdogo tu. Auoni CUF na ACT waliko? Kubaya wanasiasa za kufuata mtu ni mbaya sana. Akifa kama Maalifu Seifu, mambo yanakuwa magumu sana. Mbowe akinyammaza tu. Na chadema watasuasua. Sababu Chadema walaji ni wengi sana. Kila mtu wanaidai chama.
 
Naiona IGP ameamua kukwepa pepo taratibu kwa litushibitishia uongo mwaminifu
 
CCM ilishakufa siku nyingi imebaki ccmdola, ndio maana marehemu kichaa yule akavuruga uchaguzi wa 2019 na 2020 ili asiumbuke
 
Kwel mungu atalipa
 
Chadema kinajimaliza chenyewe sana mtu kama Mdude naye ni sehemu yenu mnategemea nini hapo ?

Dkt Slaa arudi kuokoa jahazi maana linakwenda kuzama
Slaa ni balozi anakula vyema
 
Ukileta hoja za kichoko lazima ujibiwe kihuni,iko hivyo.
 
Mdogomdogo tu. Auoni CUF na ACT waliko? Kubaya wanasiasa za kufuata mtu ni mbaya sana. Akifa kama Maalifu Seifu, mambo yanakuwa magumu sana. Mbowe akinyammaza tu. Na chadema watasuasua. Sababu Chadema walaji ni wengi sana. Kila mtu wanaidai chama.
Huna akili kabisa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…