GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Haiingii Akilini kwa Uyanga wake Pesa za kuwapa Timu Pinzani ( hasa hiyo ya Biashara United FC ) ya Mkoani Mara na hata ile ya Lipuli FC ( alipokuwa Iringa ) kila zikikutana kucheza na Timu anayoichukia ya Simba SC huwa anakuwa nazo lakini Pesa za Kuisaidia Biashara United FC kusafiri kwenda nchini Libya kucheza Mechi yake ya Kimataifa ya Kombe la Shirikisho hana.
Kitendo cha Klabu ya Biashara United kushindwa kusafiri kwenda Libya si tu Kimeiabisha Tanzania, Wewe Mwenyewe Rais Samia ila Kimeiabisha pia Serikali nzima ya Mkoa wa Mara ( Musoma ) iliyo chini ya Mkuu wa Mkoa 'Mnafiki' Ali Hapi kwa Kushindwa Kwake kuja na 'Mikakati' thabiti ya Kuisaidia hii Timu.
Marehemu Lawrence Gama Mkuu wa Mkoa Mfano bora kwa Wakuu wa Mikoa wapenda Michezo aliweza Kuziimarisha Timu zote zilizokuwa katika Mikoa aliyokuwa akiiongoza huko Ruvuma, Tabora na Morogoro ( kama sijakosea ) na kuja kuwa Tishio katika Ligi Kuu na hata Mashindano ya Kimataifa.
Haiingii Akilini kipindi cha Marehemu Gama hali ya Uchumi ya nchi ilikuwa nj mbaya ila Mzee Gama aliweza kufanya 'Mobilization' ya Watu Maarufu, Wafanyabiashara na Wananchi wa Kawaida kuweza Kuzichangia Timu za Mikoa yao kiasi kwamba Kilio cha Ukata ( Umasikini ) kulikuwa hakisikiki na hata Mikoa hiyo baadae ilikuja kusifika kwa kutoa Vipaji vingi na vikubwa vya Soka.
Leo hii Mkoa wa Mara ( Musoma ) ambao una Rasilimali za Kutosha ( kama Madini) na Kivutio cha Mbuga Kubwa ya Wanyama ya Serengeti huku kukiwa na Wafanyabiashara wakubwa na Matajiri wa Viwanda, Makampuni na Uvuvi lakini Mkuu wa Mkoa wa 'hovyo' Ali Hapi ameshindwa Kutumia vyema Akili zake na kuwa 'Mbunifu' Kuisadia Klabu ya Biashara United FC ya Mkoani Kwake Mara Kusafiri kwenda nchini Libya ila kutafuta Pesa za 'Kuihujumu' Simba SC kila ikicheza na Timu za Mikoa anayokuwa huwa anazo, hakosi na anajua anakoweza kuzipara tena kwa haraka kabisa.
Mama ( Rais ) mfukuze tu huyu Mnafiki.
Kitendo cha Klabu ya Biashara United kushindwa kusafiri kwenda Libya si tu Kimeiabisha Tanzania, Wewe Mwenyewe Rais Samia ila Kimeiabisha pia Serikali nzima ya Mkoa wa Mara ( Musoma ) iliyo chini ya Mkuu wa Mkoa 'Mnafiki' Ali Hapi kwa Kushindwa Kwake kuja na 'Mikakati' thabiti ya Kuisaidia hii Timu.
Marehemu Lawrence Gama Mkuu wa Mkoa Mfano bora kwa Wakuu wa Mikoa wapenda Michezo aliweza Kuziimarisha Timu zote zilizokuwa katika Mikoa aliyokuwa akiiongoza huko Ruvuma, Tabora na Morogoro ( kama sijakosea ) na kuja kuwa Tishio katika Ligi Kuu na hata Mashindano ya Kimataifa.
Haiingii Akilini kipindi cha Marehemu Gama hali ya Uchumi ya nchi ilikuwa nj mbaya ila Mzee Gama aliweza kufanya 'Mobilization' ya Watu Maarufu, Wafanyabiashara na Wananchi wa Kawaida kuweza Kuzichangia Timu za Mikoa yao kiasi kwamba Kilio cha Ukata ( Umasikini ) kulikuwa hakisikiki na hata Mikoa hiyo baadae ilikuja kusifika kwa kutoa Vipaji vingi na vikubwa vya Soka.
Leo hii Mkoa wa Mara ( Musoma ) ambao una Rasilimali za Kutosha ( kama Madini) na Kivutio cha Mbuga Kubwa ya Wanyama ya Serengeti huku kukiwa na Wafanyabiashara wakubwa na Matajiri wa Viwanda, Makampuni na Uvuvi lakini Mkuu wa Mkoa wa 'hovyo' Ali Hapi ameshindwa Kutumia vyema Akili zake na kuwa 'Mbunifu' Kuisadia Klabu ya Biashara United FC ya Mkoani Kwake Mara Kusafiri kwenda nchini Libya ila kutafuta Pesa za 'Kuihujumu' Simba SC kila ikicheza na Timu za Mikoa anayokuwa huwa anazo, hakosi na anajua anakoweza kuzipara tena kwa haraka kabisa.
Mama ( Rais ) mfukuze tu huyu Mnafiki.