Rais Samia ingilia kati, TRA watatukwamisha

Niliwahi kusema bila kufukuza Kazi hao mameneja wa Mikoa na kuwapa targets reasonable hao TRA watakyangusha Sana.

Afu ifike mahala Utumishi wa umma uwe ni Kazi za mkataba ,mbona private sector wanaweza? Hii kuwapa watu ensurance huku hawafanyi Kazi ni upuuzi
 
We mataga tulia. Mama hataki kodi za dhuluma. Period!

HAKI HUINUA TAIFA
 
Uk Ukiwa unayajua yote hayo unashauri nini?
 
hoja dhaifu hiyo eti wako wapi home shooping center kwani huwajui gsm? ndio tatizo kuchelewa kuja mjini hilo
 
Wewe unamsumbua tu mama; hasa na hiyo ya kumwita "Rais Wako", mwishowe atadhani anakufanyia kazi wewe!

Mama yupo 'bize', anarekebisha mambo atakavyo yeye yawe.

Unajuaje, labda hao jamaa zako wa TRA wameagizwa kufanya hivyo kuwapa marafiki zake wafanya biashara nafasi ya kupumua, halafu wewe unakuja hapa na kulialia!

Hao rafiki zake wafanya biashara hawatamwacha adondoke. Kama kutakuwepo na wa kudondoka, ni makapuku kama wewe msiojitambua.

Sasa najua hutapenda sana bandiko hili, lakini nadhani ndilo linalokufaa mtu kama wewe, kama nimekusoma vizuri na kukuelewa kwenye bandiko lako hilo!
 
Uk
Ukiwa unayajua yote hayo unashauri nini?
Ahimize uwajibikaji kwa walipa kodi hali kadhalika kwa TRA bahati mbaya ameanza kwa kuidhoifisha TRA na kuwapa jeuri wafanyabiashara ama walipa kodi. Umaarufu ataupata kwa matendo sio kwa kauli bomoaji ama kauli sifa. Kodi hailipwi comrade tusisubiri miezi 6 kuporomoka kunakuja. Mungu atusimamie
 
Hivi unajua namna kauli za Samia zilivyovuruga makusanyo ya kodi? Samia kawapa jeuri wafanyabiashara nyakati za kuongea lugha moja zaja, Samia misses integrity and ethics, TRA iko ndani ya uwezo wake alishindwa nini kuitisha kikao na mameneja wote kisha akatoa maelekezo na kusikiliza kero zao. Vituo vya mafuta na biashara zingine za wakubwa kodi bye bye.
 
Samia ana marafiki gani ishu ya kodi na makusanyo yake kazingua sana na itamzingua mwenyewe. Mtake msitake kazingua kodi ndio uhai na heshima ya serikali. Mkisifia sifia ila ukweli kuhusu kodi ni kituko.
 
Ni kama ina ukweli vile; kuna mtu just 30 minutes ago kaniomba ruhusa hivi, "boss samahani, nimekua nafatilia leseni yangu kwa siku 3 sasa TRA, TRA wanasema mtandao wao haufanyi kazi labda leo, nakuomba tafadhari kama masaa 2 au 3 nitakua nimerudi"

Hivi watendaji wa serikali huaga wanataka nini?
 
Sio uongo ni kweli tafuteni taarifa hilo ni kweli bila mtandao TRA haifanyi kazi.
 
Sasa mkuu hizo trillion unajua zimefikaje? Kwenye ukusanyaji bora jk maana hakuingilia mapato ya serikali za mitaa yeye alibaki na mapato yake tu ya serikali kuu homeshoping yeye alisingiziwa sana yaani walikuza vitu vikubwa visivyokuwepo haya sasa leo kaja silent ocean bado anawaibia?
 
TRA ni tatizo sana Katika nchi hii, wafanyakazi wake wanajua kubambikia watu kodi tu, Sheria za kodi hawajui au wanafanya makusudi, ukienda kuuliza na wao wanaanza kuulizana alafu wanatoa majibu ya mtaani, ukiwambia wakuandikie hayo majibu na wapige mhuri hawataki. yaani wanafanya kazi kama ya babu zao. Kama Raisi asipofanyia kazi TRA itasababisha matatizo makubwa sana na Nia njema ya Raisi ya kukuza uchumi na kuondoa umasikini haitafanikiwa.
 
Acha majungu! Unataka TRA waje site gani ambako hakuna hata hiyo biashara yenyewe? Unasema "unapotaka kuanzisha biashara" hii maana yake si huna biashara? Hicho wanachofanya TRA ndio sheria, lia na wabunge wako!
 
Acha majungu! Unataka TRA waje site gani ambako hakuna hata hiyo biashara yenyewe? Unasema "unapotaka kuanzisha biashara" hii maana yake si huna biashara? Hicho wanachofanya TRA ndio sheria, lia na wabunge wako!
Sasa majungu yako wapi hapo! Mimi nimetoa tu maoni yangu na tena nimeshauri! Au umeona nimemtaja mtu, zaidi ya kuitaja hiyo Taasisi? Uwe una akili hata kidogo basi.
 
OP. Mwanzisha thread kazungumzia jambo nyeti sana. Wewe unalalamikia tatizo jingine. Out of Point!
Form six mna akili ndogo sana. Kwani hilo tatizo analo zungumzia mtoa mada linamuongelea babu yako, au linazungumzia TRA? Unafahamu maana ya OP wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…