Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Maendeleo gani makubwa hasa unayoyaongelea? Mention maendeleo makubwa ya Tanzania ndani ya miaka 60.Maendeleo yaliyopigwa na kupatikana ndani ya miaka hiyo ni makubwa sana na ni kama miujiza vile.
Kwanini wahusika ambao wanatajwa kwenye report ya CAG hawachukuliwi hatua?Hiyo siyo sera ya CCM hata siku moja. Sera za CCM ni bora na nzuri na ndio maana imeendelea kuaminika na kuaminiwa na watanzania na kuchaguliwa katika kila uchaguzi
Wewe huoni na kusikia makauli ya hovyo ambayo yamekuwa yakitolewa na viongozi wa CHADEMA?Chama gani kimewahi kufanya fujo nchi hii zaidi ya chama cha Siri kiitwacho Policcm ?
Haya ndo majibu ya nilichokiuliza?Kwani umefungwa na kushonwa mdomo wako kusemea chama chao? Mwisho wa uchaguzi mmoja ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine
Ccm tukiwa wapinzani hatutoandamana?Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,kwa uchungu mkubwa sana na hisia kali sana amesema na kuwaomba sana wananchi kujitokeza kwa wingi kuchagua viongozi katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.lakini pia wenye sifa za kuchaguliwa nao waombe na kuchukua fomu kwa ajili ya kuchaguliwa.
Lakini Rais wetu Mpendwa kwa moyo wa uzalendo na uchungu na Taifa hili amewaasa sana watanzania kuhakikisha kuwa wanakwenda kuchagua viongozi na wagombea wa CCM tu.kwa sababu serikali ya CCM ndio yenye uwezo wa kuendeleza amani na utulivu wa Taifa letu.
Akasema kuwa wale wengine kazi yao ni kuhamasisha habari za maandamano,kusukumana sukumana na mavurugu vurugu yasiyo na tija.
Nami kama mwana CCM kindaki Ndaki namuunga mkono Rais wangu kuwa ni muhimu sana wananchi wote kuhakikisha kuwa ukifika katika sanduku la kura basi chaguo kiongozi na mgombea wa CCM tu. Maana CCM imejipanga vyema kusimamisha wagombea bora, wachapakazi,waadilifu, wazalendo,wasikivu, wanyenyekevu,watiifu,watulivu, makini,imara na wenye rekodi nzuri na tabia njema kwa jamii na wanaokubalika na watu.
CCM imejipanga kuwaleteeni wagombea ambao watakuwa watumishi kwa watu,sauti za watu,kimbilio lawatu .CCM itawaleteeni wagombea wenye kuendana na kasi ya Rais Samia .wenye uwezo wa kusimamia pesa zote zitakazoletwa kwenye maeneo yao kwa ajili ya miradi ya maendeleo, kuhamisha maendeleo,kushirikisha watu katika mipango mbalimbali ya maendeleo pamoja na kuwa karibu na watu wakati wote.
Hivyo hakikisheni watanzania wote mnakuwa na chaguo moja tu la kwenda kuwachagua viongozi wa CCM tu katika sanduku la kura.jitokezeni kwa wingi sana kuwapa ushindi wa kishindo wagombea wa CCMView attachment 3106306
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Haijikutokea Kamwe na katu hata kwa bahati mbaya tu CCM ikatoka madarakani.Ccm tukiwa wapinzani hatutoandamana?
1910 alikuwepo nani?Haijikutokea Kamwe na katu hata kwa bahati mbaya tu CCM ikatoka madarakani.
Yale maandamano ya kusifia kumbe ni kosa?Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,kwa uchungu mkubwa sana na hisia kali sana amesema na kuwaomba sana wananchi kujitokeza kwa wingi kuchagua viongozi katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.lakini pia wenye sifa za kuchaguliwa nao waombe na kuchukua fomu kwa ajili ya kuchaguliwa.
Lakini Rais wetu Mpendwa kwa moyo wa uzalendo na uchungu na Taifa hili amewaasa sana watanzania kuhakikisha kuwa wanakwenda kuchagua viongozi na wagombea wa CCM tu.kwa sababu serikali ya CCM ndio yenye uwezo wa kuendeleza amani na utulivu wa Taifa letu.
Akasema kuwa wale wengine kazi yao ni kuhamasisha habari za maandamano,kusukumana sukumana na mavurugu vurugu yasiyo na tija.
Nami kama mwana CCM kindaki Ndaki namuunga mkono Rais wangu kuwa ni muhimu sana wananchi wote kuhakikisha kuwa ukifika katika sanduku la kura basi chaguo kiongozi na mgombea wa CCM tu. Maana CCM imejipanga vyema kusimamisha wagombea bora, wachapakazi,waadilifu, wazalendo,wasikivu, wanyenyekevu,watiifu,watulivu, makini,imara na wenye rekodi nzuri na tabia njema kwa jamii na wanaokubalika na watu.
CCM imejipanga kuwaleteeni wagombea ambao watakuwa watumishi kwa watu,sauti za watu,kimbilio lawatu .CCM itawaleteeni wagombea wenye kuendana na kasi ya Rais Samia .wenye uwezo wa kusimamia pesa zote zitakazoletwa kwenye maeneo yao kwa ajili ya miradi ya maendeleo, kuhamisha maendeleo,kushirikisha watu katika mipango mbalimbali ya maendeleo pamoja na kuwa karibu na watu wakati wote.
Hivyo hakikisheni watanzania wote mnakuwa na chaguo moja tu la kwenda kuwachagua viongozi wa CCM tu katika sanduku la kura.jitokezeni kwa wingi sana kuwapa ushindi wa kishindo wagombea wa CCMView attachment 3106306
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
DuhSera ya CCM ni wizi wa kura, ubadhirifu, ufisadi , utekaji, utesaji na mauaji kwa wapinzani na wakosoaji.
π€£π π€£π π€
Tofautisha maandamano ya amani na yale watakayo kufanya CHADEMA yenye kauli za kihaini kama ile ya kusema Samia Must GoKwahiyo hayo maandamano mnayoyafanya ya kupongezana ni nje ya sera ya ccm?
Sasa maandamano yasiyokuwa na hata jiwe mikononi unasema ni ya uhaini?Tofautisha maandamano ya amani na yale watakayo kufanya CHADEMA yenye kauli za kihaini kama ile ya kusema Samia Must Go