Rais Samia itakuwa double standard kama hutatoa msaada Mississippi USA

Rais Samia itakuwa double standard kama hutatoa msaada Mississippi USA

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Rafiki wa kweli ni yule anayekusaidia nyakati za shida tena bila kumuomba hapa namzumgumzia Marekani ambao misaada yao imekuwa ikiaminika hapa Tanzania kila mwezi kupitia USAID leo wanamatatizo tusikae kimya.

Tornado imeuwa watu wengi na kuharibu mali huku wengi wakiachwa bila makazi na majeruhi kama kimbunga cha Malawi na tetemeko la ardhi Turkey na tumetoa misaada.

Kwa kuwa juzi ulitoa msaada kwa waturuki ambao tangu tupate uhuru hawajawahi kutupa msaada wa kibinadamu kwa yote tuliyopitia itakuwa dhambi kubwa kwaacha wamarekani ambao kila kukicha wanatupatia misaada na wewe ukiongoza kwenda kuomba.

Utamke mbele ya makamu wa rais Kamala Halisi soon atakapo tia miguu hapa Tanzania

USSR
 
Wakati huu ni zamu yako, kutoa ili kuepuka hiyo double standard uisemayo.
 
Utamke mbele ya makamu wa rais Kamala Halisi soon atakapo tia miguu hapa Tanzania
Nashauri asije kwanza amalize shida ya watu wake nasi tutakuwa tumejipanga, kwasasa ni ghafla mno
 
Kenya jirani wanakufa na njaa mpaka mifugo inakosa maji inakufa hovyo
Mpaka wanyama pori wakikatisha kwenda huko wanakufa kwa kiu na njaa

[emoji631] mbona mbali sana Kuna majanga Kenya tuwahurumie hao kwanza
 
Kenya jirani wanakufa na njaa mpaka mifugo inakosa maji inakufa hovyo
Mpaka wanyama pori wakikatisha kwenda huko wanakufa kwa kiu na njaa

[emoji631] mbona mbali sana Kuna majanga Kenya tuwahurumie hao kwanza
So tupeleke mvua kenya

USSR
 
Mhe. Rais kule Kanda ya Ziwa Wavuvi wa Sangara ndani ya Ziwa Victoria wamepigwa na Kimbunga hicho hicho kama MALAWAI lkn hakuna taarifa yoyote uliyotoa ya Pole, Hakuna aliyewapa msaada wavuvi, Hasara ni ile ile kama waliyopta Malawi, Hakuna Kiongozi yeyote aliyefika kuongea chochote.

Kwa kifupi Wananchi waliokumbwa na Dhoruba ndani ya Ziwa Victoria Serikali imewasusa na Wanashangaa wanaposkia Misaada inaenda MALAWI badala ya kwenda Kwao hapo Mwanza na Musoma.

Hapo chini ni hasara waliyopata na Maafa yaliyotokea na wengine mitaji imekata kabisa ila hawana pa kusemea.
Nawasilisha

IMG-20230322-WA0018.jpg
IMG-20230322-WA0020.jpg
IMG-20230322-WA0019.jpg
IMG-20230322-WA0026.jpg

IMG-20230322-WA0025.jpg
IMG-20230322-WA0022.jpg
IMG-20230322-WA0021.jpg
IMG-20230322-WA0024.jpg
IMG-20230322-WA0023.jpg
 
Rafiki wa kweli ni yule anayekusaidia nyakati za shida tena bila kumuomba hapa namzumgumzia Marekani ambao misaada yao imekuwa ikiaminika hapa Tanzania kila mwezi kupitia USAID leo wanamatatizo tusikae kimya

Tornado imeuwa watu wengi na kuharibu mali huku wengi wakiachwa bila makazi na majeruhi kama kimbunga cha Malawi na tetemeko la ardhi turkey na tumetoa misaada.

Kwa kuwa juzi ulitoa msaada kwa waturuki ambao tangu tupate uhuru hawajawahi kutupa msaada wa kibinadamu kwa yote tuliyopitia itakuwa dhambi kubwa kwaacha wamarekani ambao kila kukicha wanatupatia misaada na wewe ukiongoza kwenda kuomba .

Utamke mbele ya makamu wa rais Kamala Halisi soon atakapo tia miguu hapa Tanzania

USSR
Hii post ina chembe chembe nying sana za chuki kwa mheshimiwa Rais!
 
Sisi uwezekano wa kuwasaidia upo sana na utaratibu wa kuwasaidia wenzetu haujaanza leo

Tumemsaidia china kidiplomasia alipokataliwa ku join UN

Tumemsaidia Marekani kwenye masuala ya kidiplomasia upande wa Asia

Tumeisaidia Afrika walipokuwa hawajajitawala baadhi na hata walipokuwa na njaa


ILA UKWELI SISI TUWASAIDIA MARRKANI PESA HATUJAFIKA HUKO TUWASAIDIE MAOMBI KWA SASA,


Britanicca
 
Rafiki wa kweli ni yule anayekusaidia nyakati za shida tena bila kumuomba hapa namzumgumzia Marekani ambao misaada yao imekuwa ikiaminika hapa Tanzania kila mwezi kupitia USAID leo wanamatatizo tusikae kimya

Tornado imeuwa watu wengi na kuharibu mali huku wengi wakiachwa bila makazi na majeruhi kama kimbunga cha Malawi na tetemeko la ardhi turkey na tumetoa misaada.

Kwa kuwa juzi ulitoa msaada kwa waturuki ambao tangu tupate uhuru hawajawahi kutupa msaada wa kibinadamu kwa yote tuliyopitia itakuwa dhambi kubwa kwaacha wamarekani ambao kila kukicha wanatupatia misaada na wewe ukiongoza kwenda kuomba .

Utamke mbele ya makamu wa rais Kamala Halisi soon atakapo tia miguu hapa Tanzania

USSR
Rafiki wa kweli wa waafrika ni China na Urusi
wengine wapo kujificha tu wasionekane maovu yao.....
 
Back
Top Bottom