Rais Samia itazame upya HESLB na ikiwezekana Wazingue

Rais Samia itazame upya HESLB na ikiwezekana Wazingue

Mkumbwa Jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2016
Posts
2,668
Reaction score
3,751
Mh. Rais ninakusalimu kwajina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwaufupi ninashauri Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu itazamwe upya.

Menejimenti ni mbovu, huduma sio rafiki, wahitaji kama yatima na maskini hawajapewa Mikopo na wengine wameacha vyuo na wakati huo wapo ambao wanamudu kujisomesha na bado wamepewa.

Ukifika Bodi hata kuulizia marejesho au makato yao namna wanavyoyaendesha utachoka.

Unaanza kupokelewa na Dada mwenye dharau pale mapokezi, ukikaza ukaingia ndani ukakutana na mtoto mmoja ambae ni PS anaitwa Jacobo hapo utajuta kufika Bodi.
Huyo Jacobo bado nimtoto kufanya kazi kwenye taasisi kama ile,sijajua nani amemuweka pale yule mtoto yaani hana busara,hana huruma bali amejawa na vitisho

Yaani wapowapotu wanaishi na kuenenda kwa mazoea. Sio watoa huduma bali nimabosi
Wamefanya Bodi hiyo kama upatu maana marina nimakubwa mno na hayapo kwenye mkataba wa mteja na Bodi.
Hawawasaidii maskini wanaohitaji kama yatima nk bali wanafanya kazi kama sio kwa rushwa basi ni bahati nasibu. Wanapiga anaana doo atakaepata na atakae kosa ni kazi ya Mungu.
Yaani ukifika pale Bodi utachoka.
Mh. Tuma watu wako waende pale kama wazazi ambao watoto wao wanauhitaji majibu yatokayo hapo utafurahi

Mh. Rais HESLB wachunguzwe vizuri kisha menejimenti wazingueeeeee maana nao walishaanza kuzingua

Mh. Rais kazi iendelee
 
Ngoja na hao watu wa bodi ya mikopo waje kusema ili tusikie na upande wa pili kwa maana si vema kufanya maamuzi kwa kuegemea kauli za mlalamikaji peke yake.
 
Ngoja na hao watu wa bodi ya mikopo waje kusema ili tusikie na upande wa pili kwa maana si vema kufanya maamuzi kwa kuegemea kauli za mlalamikaji peke yake.
Wale ni mabosi na ukifika pale maranyingi unaambiwa ukae nje kwenye turubai
 
Mh. Rais ninakusalimu kwajina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwaufupi ninashauri Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu itazamwe upya.

Menejimenti ni mbovu, huduma sio rafiki, wahitaji kama yatima na maskini hawajapewa Mikopo na wengine wameacha vyuo na wakati huo wapo ambao wanamudu kujisomesha na bado wamepewa.

Ukifika Bodi hata kuulizia marejesho au makato yao namna wanavyoyaendesha utachoka.

Unaanza kupokelewa na Dada mwenye dharau pale mapokezi, ukikaza ukaingia ndani ukakutana na mtoto mmoja ambae ni PS anaitwa Jacobo hapo utajuta kufika Bodi.
Huyo Jacobo bado nimtoto kufanya kazi kwenye taasisi kama ile,sijajua nani amemuweka pale yule mtoto yaani hana busara,hana huruma bali amejawa na vitisho

Yaani wapowapotu wanaishi na kuenenda kwa mazoea. Sio watoa huduma bali nimabosi
Wamefanya Bodi hiyo kama upatu maana marina nimakubwa mno na hayapo kwenye mkataba wa mteja na Bodi.
Hawawasaidii maskini wanaohitaji kama yatima nk bali wanafanya kazi kama sio kwa rushwa basi ni bahati nasibu. Wanapiga anaana doo atakaepata na atakae kosa ni kazi ya Mungu.
Yaani ukifika pale Bodi utachoka.
Mh. Tuma watu wako waende pale kama wazazi ambao watoto wao wanauhitaji majibu yatokayo hapo utafurahi

Mh. Rais HESLB wachunguzwe vizuri kisha menejimenti wazingueeeeee maana nao walishaanza kuzingua

Mh. Rais kazi iendelee
Kuna siku nilifika ofisini wakiwa Mwenge, Niko pale ndani nikafika kwa dada mmoja mweupe kableach nywele nataka kuanza kueleza haja yangu akaniambia nenda kwa yule. Yule mwenzake akamuuliza naona uko busy. Alichojjibu
" shoga nachagua gari hapa mtandaoni"
Hakunihudumia Mimi sababu alikuwa anachagua gari.
 
Nilifika bodi wiki mbili zilizopita, yani nimeingia hapo meza ya kwanza kulia, kuna dada mweusi nimesimama mbele yake hivi anaongea tu na mwenzie wala hana habari, baada ya kama dk 20 ndio anauliza.... unasemaje nakusikiliza moyoni nikajisemea kmmko.

Natamani sana kitu kifanyike hapo bodi ni takataka kuanzia baadhi ya wafanyakazi hadi hayo madeni yao.
 
Nilifika bodi wiki mbili zilizopita, yani nimeingia hapo meza ya kwanza kulia, kuna dada mweusi nimesimama mbele yake hivi anaongea tu na mwenzie wala hana habari, baada ya kama dk 20 ndio anauliza.... unasemaje nakusikiliza moyoni nikajisemea kmmko.

Natamani sana kitu kifanyike hapo bodi ni takataka kuanzia baadhi ya wafanyakazi hadi hayo madeni yao.
Hahahaa! Umemtia tusi kubwa
 
Bora wewe laki tano ni ndogo, kuna best angu kaongezewa deni la mil 1.8 ambalo lipo nje ya salary slip
Hiyo ndio Value Retention Fee.
Mimi nilikuta milioni 2.6
Haionekani kwenye slip ila inaongezeka kila siku ndio maana hawaiweki kwenye slip. Mwambie aende tena atakuta imeongezeka..
 
Back
Top Bottom