Rais Samia itazame upya HESLB na ikiwezekana Wazingue

Rais Samia itazame upya HESLB na ikiwezekana Wazingue

HESLB,Kuna neno nilitaka niwatamkie lakini nimetumia busara kuli mute.hawa ni uozo na matambala wote,kuanzia boss wao ,mpaka watendaji wa chini.mimi mwaka juz nimekuta wamenibambikia Deni kwamba nadaiwa mil.15.9,wakati mkopo sikuwahi kupewa,nikakomaa mwenyewe .Nina hasira nao hawa,shwain zao.
 
Kuna siku nilifika ofisini wakiwa Mwenge, Niko pale ndani nikafika kwa dada mmoja mweupe kableach nywele nataka kuanza kueleza haja yangu akaniambia nenda kwa yule. Yule mwenzake akamuuliza naona uko busy. Alichojjibu
" shoga nachagua gari hapa mtandaoni"
Hakunihudumia Mimi sababu alikuwa anachagua gari.
Pole
 
Awamu ya tano watumishi Wa serikali wamenyanyasa sana RAIA wema.
 
Back
Top Bottom