Rais Samia itazame upya HESLB na ikiwezekana Wazingue

HESLB,Kuna neno nilitaka niwatamkie lakini nimetumia busara kuli mute.hawa ni uozo na matambala wote,kuanzia boss wao ,mpaka watendaji wa chini.mimi mwaka juz nimekuta wamenibambikia Deni kwamba nadaiwa mil.15.9,wakati mkopo sikuwahi kupewa,nikakomaa mwenyewe .Nina hasira nao hawa,shwain zao.
 
Pole
 
Awamu ya tano watumishi Wa serikali wamenyanyasa sana RAIA wema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…