Rais Samia juhudi zako zinaonekana, wanaobeza juhudi watashangilia baadaye

Rais Samia juhudi zako zinaonekana, wanaobeza juhudi watashangilia baadaye

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Juhudi za Rais Mama Samia zinatia moyo.
Wawekezaji wakubwa wameanza kurudi, ingawaje hawajafikia kiwangi cha kabla ya Awamu ya Tano.

Nimesafiri mikoani na nimeona ongezeko kubwa la shehena za kibiashara kwa wingi mkubwa wa maliri ya kibiashara.

Hili halikuwepo kabisa mwishoni mwa mwaka jana na mwanzoni mwa mwaka.

Binafsi nilikuwa natafuta mteja wa kiwanja changu cha kibiashara Mkuranga, eka 15.

Miaka miwili hadi mwanzoni mwa mwaka hakuna aliyekuwa interested, sasa naona dalili ya kukiuza kiwanja karibuni.

Juhudi za kuwakaribisha wawekezaji zinazaa matunda mazuri sasa hivi.

Watu wanabeza Mama Samia akizunguka huku na huko kuwatafuta wawekezaji na mikopo ya riba nafuu.

Wanasahau kuwaukitaka cha uvunguni sharti uiname.

Mama endelea na juhudi za kufufua uchumi, wanaobeza leo watayaona manufaa baadaye.
 
Eti kushangilia nye nye nye
emoji1.png
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂
Ukiuza kiwanja ndio dalili njema wawekezaji wamerudi?

Ila nakubaliana na wewe kuwa yapo mengi yanabadilika...mengine for better na mengine for worse. Ndio ubinadamu wetu ulivyo.

Kikubwa tuone kesho njema baada ya kuishi ipasavyo mambo ya leo
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂
Ukiuza kiwanja ndio dalili njema wawekezaji wamerudi?
Ila nakubaliana na wewe kuwa yapo mengi yanabadilika...mengine for better na mengine for worse. Ndio ubinadamu wetu ulivyo. Kikubwa tuone kesho njema baada ya kuishi ipasavyo mambo ya leo
Unajua watu wengi hata Chalinze hawaendi hata kwa miaka mitano.
Watu inabidi wasafiri na kuona mabadiliko kibiashara na hata kushiriki.
 
Kutana na machinga uwaambie juhudi za mama kama hawajakubamiza na kitu kizito[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Matangazo ya biashara. Kiwanja chako unauza shilingi ngapi?
Mkuu watu huwa hawachangamkii fursa.
Muwekezaji akija kitu cha kwanza ni sehemu ya kufanyia uwekezaji wake.
Na hapa waswahili tuchangamke, mvutie muwekezaji kwako na wewe mtaji wako ni ardhi.
 
Hakika bandiko ni tangazo la biashara. Hakuna sifa kuu ya Rais SSH aliyobainisha kuhusu kukua uchumi zaidi ya kuongezeka wawekezaji.
Hamuoni maana mnasubiri kuwekewa pesa mfukoni, hata mkiziona fursa hamshituki.
 
Juhudi za Rais Mama Samia zinatia moyo.
Wawekezaji wakubwa wameanza kurudi, ingawaje hawajafikia kiwangi cha kabla ya Awamu ya Tano.

Nimesafiri mikoani na nimeona ongezeko kubwa la shehena za kibiashara kwa wingi mkubwa wa maliri ya kibiashara.

Hili halikuwepo kabisa mwishoni mwa mwaka jana na mwanzoni mwa mwaka.

Binafsi nilikuwa natafuta mteja wa kiwanja changu cha kibiashara Mkuranga, eka 15.

Miaka miwili hadi mwanzoni mwa mwaka hakuna aliyekuwa interested, sasa naona dalili ya kukiuza kiwanja karibuni.

Juhudi za kuwakaribisha wawekezaji zinazaa matunda mazuri sasa hivi.

Watu wanabeza Mama Samia akizunguka huku na huko kuwatafuta wawekezaji na mikopo ya riba nafuu.

Wanasahau kuwaukitaka cha uvunguni sharti uiname.

Mama endelea na juhudi za kufufua uchumi, wanaobeza leo watayaona manufaa baadaye.
Hata Magufuli alipokuwa hai ulimshangilia , lakini baada ya kufa unamponda kutwa kucha ! ama kweli mwenye bia nyingi mezani ndio buzi la maana
 
Fursa zipi ambazo hamuzioni (nani)? Fafanua, ili tuendelee na mjadala.
Mifano mingi sana.
Mtaji wa mtu ni akili zake kwa kuziona fursa.
Mfano, mtu una eka hata moja, akili ni kuisajili ardhi hiyo na kuitumia kama mtaji wako.
Aidha kwa mtaji huo unsomba shares kwa muwekezaji na kama hataki unamwuzia.
Hapo ni baada ya kuipa value ile ardhi.
Tupo hapo?
 
Kweli juhudi zinaonekana urea saiv tunanunua laki 1 mara mbili na zaidi ya bei ya kabla awe rais
 
Mifano mingi sana.
Mtaji wa mtu ni akili zake kwa kuziona fursa.
Mfano, mtu una eka hata moja, akili ni kuisajili ardhi hiyo na kuitumia kama mtaji wako.
Aidha kwa mtaji huo unsomba shares kwa muwekezaji na kama hataki unamwuzia.
Hapo ni baada ya kuipa value ile ardhi.
Tupo hapo?

Hoja sahihi. Swali, mwekezaji huyo ni nani? Kwenye bandiko kuu yaonekana ni kutoka nje, je, bila kuwepo huyo hoja yako inakosa nguvu?
 
Juhudi za Rais Mama Samia zinatia moyo.
Wawekezaji wakubwa wameanza kurudi, ingawaje hawajafikia kiwangi cha kabla ya Awamu ya Tano.

Nimesafiri mikoani na nimeona ongezeko kubwa la shehena za kibiashara kwa wingi mkubwa wa maliri ya kibiashara.

Hili halikuwepo kabisa mwishoni mwa mwaka jana na mwanzoni mwa mwaka.

Binafsi nilikuwa natafuta mteja wa kiwanja changu cha kibiashara Mkuranga, eka 15.

Miaka miwili hadi mwanzoni mwa mwaka hakuna aliyekuwa interested, sasa naona dalili ya kukiuza kiwanja karibuni.

Juhudi za kuwakaribisha wawekezaji zinazaa matunda mazuri sasa hivi.

Watu wanabeza Mama Samia akizunguka huku na huko kuwatafuta wawekezaji na mikopo ya riba nafuu.

Wanasahau kuwaukitaka cha uvunguni sharti uiname.

Mama endelea na juhudi za kufufua uchumi, wanaobeza leo watayaona manufaa baadaye.
Hakuna kama Samia uelewe
 
Hoja sahihi. Swali, mwekezaji huyo ni nani? Kwenye bandiko kuu yaonekana ni kutoka nje, je, bila kuwepo huyo hoja yako inakosa nguvu?
Mbona tunasahsu haraka.
Chini ya mwendazake hata amana yako iliyoko benki inachukuliwa kwa nguvu na wawekezaji kugunga biashara.
 
Hata Magufuli alipokuwa hai ulimshangilia , lakini baada ya kufa unamponda kutwa kucha ! ama kweli mwenye bia nyingi mezani ndio buzi la maana
Sikuwahi kumshabikia mwendazake zaidi ya miradi miwili tu, SGR na Stiglaz.
Pengine unasahau.
 
Kweli juhudi zinaonekana urea saiv tunanunua laki 1 mara mbili na zaidi ya bei ya kabla awe rais
Si kwa sababu mtangulizi aliharibu.
Nani ataleta hiyo mbolea kwa makodi lukuki ya kubambikwa!
 
Back
Top Bottom