Rais Samia kafanya alichofanya Mzee Mohammed Kissoky miaka ya 70 Bukoba

Kama sio kimpumu basi atakuwa amekunywa rubisi iliyokojolewa na popo
 
Based on Maslow's theory of hierarchy needs.
Dai la katiba ni ESTEEM stage.hii ni stage ambayo society inakuwa imejitambua zaidi. Kwa hiyo katiba mpya ni dai la jamii nzima.
Jk alitufikisha ESTEEM stage. Alituvusha stage zote za chini almost 60% ya WaTZ.
JPM aliturudisha chini zaidi level ya PHYSIOLOGICAL NEEDS almost 50% ya waTZ.maendeleo ya vitu.
Mama SSH anatupandisha tena level za juu.
PHYSIOLOGICAL NEEDS ndo kuboresha maisha ya wa TZ(kutoa ajira, demokrasia,Uhuru wa vyombo vya habari ETC).Maendeleo ya watu.

ref
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…