Rais Samia kama unandhani hoja za Watanzania ni Makelele basi endelea kuziba Masikio

Rais Samia kama unandhani hoja za Watanzania ni Makelele basi endelea kuziba Masikio

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Mara kadhaa nimemsikia Rais akijibu hoja nzito kwa vijembe na taarabu.

Watu wazima na akíli zao wanajipanga kutoa hoja afu wewe bila staha yoyote unasema ni Makelele.

Aendelele kushapaza shingo na hao wanaompa kichwa mda ukiwadia hatawaona tena.

Tanzania ni ya Watanzania siyo ya Rais Samia. Lolote analofanya lazima aheshimu maoni ya watu anaowaongoza.

Kama anadhani hoja zinazotolewa kuhusu mambo mbali juu ya utawala wake ni Makelele basi aendelele kuziba Masikio, muda utaongea.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kelele za chura hazijawahi kumfanya tembo azibe masikio au kuacha kunywa maji mtoni🐒
Keyboard worrious wanahangaika mnoo,kila dakika wanapandisha uzi..ila barabarani wanajitokeza 7
 
Mara kadhaa nimemsikia Rais akijibu hoja nzito kwa vijembe na taarabu.

Watu wazima na akíli zao wanajipanga kutoa hoja afu wewe bila staha yoyote unasema ni Makelele.

Aendelele kushapaza shingo na hao wanaompa kichwa mda ukiwadia hatawaona tena.

Tanzania ni ya Watanzania siyo ya Rais Samia. Lolote analofanya lazima aheshimu maoni ya watu anaowaongoza.

Kama anadhani hoja zinazotolewa kuhusu mambo mbali juu ya utawala wake ni Makelele basi aendelele kuziba Masikio, muda utaongea.
Mzanzibar wanaojiita Waarabu,hawajawahi kuwa na historia ya kuipenda Tanganyika,
Ashaiuza na pesa katia mfukoni
 
Back
Top Bottom