wafunge kwanza kamba wadau ili hatimae nipate fursa nzur na muhimu sana kubainisha ukweli wa mambo juu ya upotoshaji unaoukusudia..
kwenye crime scenes Rais anakwenda kufanya nini wakati vyombo vyake vipo kazini?
Huko Central Africa, kuna Rais alijitia kimbelembele kwenda mstari wa mbele vitani akafumuliwa na kupoteza maisha kabisaa. Unafa mchezo nni?π
Zaβ¦β¦?Hivi hizi tetesi ni kweli!?
Kumalizika salama ni kupiTuliza ball gentleman,
Tuombeane kheri hili limalizike salama. Ni mapema mno π
G20 Kuna bata?Ila tuseme kweli mama amezidi misele aisee inabidi watu wa takwimu watoe takwimu safari kwa Marais wote tuone aliyekula bata zaidi tumpe zawadi.
Wewe nyumbu una tofauti ipi na hao unaowatolea mifano? ππAkibqki inasaidia nini? Bora afie huko huko, hana cha maana anachofanya zaidi ya wizi tu, Nchi yetu upo captured na kikundi kidogo cha watu, ccm,
Zamani nilikuwa najiuliza, wazungu, waliwezaje kuja Afrika, wakavamia eneo,wakashika watu, funga minyororo, wakawakokota kutoka Kigoma ujiji mpaka bagamoyo! Watu milioni 60,wamewekwa kifungoni na chama,
Hii haina tofsuti na ilivyokuwa German mashariki chini ya wa commuinist, wananchi walitengwa na ukuta, East and west German, west German neema kibao, east maisha duni, walipochoka wananchi, ukuta ulishushwa!
Inaumiza Sana SanaNinaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya
Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada[emoji24][emoji24].
Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini
Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??
Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?
Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa[emoji24]
Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.
PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
hatma njema kwa walionasa kwenye vifusi gentleman πKumalizika salama ni kupi
Endelea kuumia Mzee wewe sio mgeni na mada za kuponda Samia.Ninaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya
Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada[emoji24][emoji24].
Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini
Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??
Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?
Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa[emoji24]
Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.
PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
unadhani kwenye uokozi wanaendaga kuimba ngonjera au kwaya sio? ukiangukia na tofali ndio uonekane una kiherahere au?πUshasema vitani
Unaona itawezekana?hatma njema kwa walionasa kwenye vifusi gentleman π
matumaini ni makubwa kadiri wanavyoendelea kuokolewa gentleman .Ik
Unaona itawezekana?
Hajawahi kuonyesha kujali hizi drama.Anacho jali ni,asiwepo wa kumkosoa ama wakusema kasoro/mapungufu yake.Ninaandika post hii ni saa 9 kasoro usiku machozi yananitiririka nashindwa kulala nipo nimeshika biblia na Quran hapa nashindwa hata la kufanya
Roho inaniuma maana kuna ndugu zetu wapo chini ya vifusi hadi muda huu na wanapigiwa simu zinaita wanalia tu na kutuma voice za huzuni za kuomba msaada.
Kuna binti yupo chini ya kifusi huko na ni mjamzito hapa nashindwa hata niandike nini
Rais anapata wapi nguvu ya kusafiri?Hiyo nguvu ya kupanda ndege hadi Brazil kaitoa wapi? Its shame and disgusting!! Yaani nyumbani watoto wako wapo chini ya kifusi halafu wewe kama mzazi unaenda kwenye sherehe ya jirani serious??
Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?
Huo mkutano una umuhimu kuliko roho za mamia ya watu walio chini ya kifusi?Rais amepata wapi huu moyo?nawaza nakosa jibu kabisa
Roho inaniuma mnoo!! Kwa hili rais Samia umekosea pakubwa mnoo!! its shame ni aibu mnoo na dharau kubwa kwa taifa hili.
PIA SOMA
- PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20
Unaroho mbayaGentleman,
kua mkweli,
machozi yanakutitirika kwasababu ya madeni ya kausha damu unayopitia au ugumu wa maisha unaopitia, huenda kwasababu za uvivu wako?
Hata hivyo mbona ni dhahiri shahiri uchungu wako, wala sio hata kwaajili ya wahanga wa jengo lililoporomoka huko kariokoo ?
Mihemko yako ni dhidi ya jitihada za Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kwamba, licha ya changamoto, dosari na kasoro mbalimbali za kiasili na kibinadamu, bado hachoki wala kukata tamaa kuhakikisha anatumia fursa zote zinazoonekana Kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi na waTanzania wote?
Kamati ya maafa Kitaifa, iliyo chini ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa, na makamu wa pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdullah, ipo kazini tangu kutokea kwa tukio hilo, unahitaji nani afanye nini tena gentleman?
Rais afanye nini zaidi ya hapo gentleman? Hakuna haja ya makasiriko na kuibua hisia potofu zenye chuki dhidi ya mkuu wa nchi.π
Mungu Ibariki Tanzania
unadhani kwenye uokozi wanaendaga kuimba ngonjera au kwaya sio? ukiangukia na tofali ndio uonekane una kiherahere au?π
aliekuzuia kufikiri unavyoweza kufikiri ni nani gentleman?Point ni kwamba
Wewe Endelea kuona Jambo Kwa upande wako
Na wengine Acha waendelee kuona kuna umuhimu wa Rais wao kuwa eneo la tukio kutoa faraja
Shida yenu machawa mnataka kujimilikisha na kuwa wajibu hoja za mtu yoyote ambae anatoa mawazo yake Kwa rais
hello my lady SweetyCandy unanifurahisha sana,Unaroho mbaya
HayaHuna akili