Pre GE2025 Rais Samia katengeneza maadui wachache na marafiki wengi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
* Mama akikuteua acha kauli na maneno ya dhihaka dhidi ya watanzania

* Uchaguzi uliisha kwa kuacha makovu na majeraha kwa baadhi ya watanzania
  • Tutashinda kwa mkono au boksi haifai
  • Vijana wasiopata mkopo hao ni wakenya
  • Asiyetaka tozo ahamie Burundi
  • Tanzania hakuna ufisadi, wanaolalamika ni mashetani

Hizi na zingine nyingi husemwa na baadhi kwa kurudiwa rudiwa. Wanaorudia maneno hayo wengine walipigwa kura za maoni wakavushwa kwa kupata point za mezani.

Sasa Mama asisikikize vitambimbele badala yake asikilize watanzania bila kujali wanatoa hoja zao wakiwa vyama gani, jiografia gani nk
 
kama kauli ni ya ukweli kwanini alisema ni utani. Sasa ukweli wa kuwaumiza wapiga kurs ni dhihaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…