The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Ni haki yako kutokukubaliana na project hiyo...Ila kwa hili la Bandari ya Bagamoyo binafsi SIKUBALIANI na wewe au yeyote anaye lipigania. Endelezeni bandari zilizopo kwa manufaa ya nchi hii na SIYO kwa manufaa ya wapigaji wachache.
Round hii kama ni raisi tu!!!mbona tunae[emoji56][emoji56]Wakuu Kazi Iendeleee.
Taarifa zilizopo ni kwamba Rais Samia ana ziara ya kikazi nchini Congo.
Ataanza ziara hiyo wakati atakapotoka Zambia kwenye inauguration ya Hakainde Hichilema.
Akifika Congo atapokekewa na Mwenyeji Wake Rais Felix Tshisekedi.
Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi
Pilato anaitumikia CCM badala ya kutumikia wananchi.Kesi ya Tumbili haiwezi kupelekwa kwa Ngedere.Pelekeni hiyo au hayo madai na huo ushahidi kwa PILATO ili mpate haki yenu. Hili la kuandika humu JF na kubishana na akina CHIEF MASALAKULANGWA na wengine haisaidii ninyi kupata haki zenu.
Jamani jamani nimechekaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nitafurahi Sana Rais wangu mpendwa akienda Afghanistan kuwapongeza Taliban kwa kutwaa umiliki wa ardhi yao
Hapa nakuunga mkono,Ila akienda awashawishi DRC ,nao waunge reli ya mwendo kasi ifike kwao,wajenge daraja ipasue ziwa mpaka kwao hapo tutakuwa tumelamba dume kwelikweli, kinyume na hapo bado hamna kitu!Hii ziara inaweza kuwa ya kimkakati na ya muhimu pengine kuliko ziara zote zilizofanyika toka mama aingie ikulu. Ni jambo la wazi kuwa katika nchi zote za maziwa makuu, DRC imejaaliwa kuwa na idadi kubwa ya watu takriban watu 120,000,000.
Itakumbukwa kuwa Tanzania tumejaaliwa kuwa na bandari, ambapo miongoni mwa nchi zinazotumia bandari yetu ni DRC.
Tanzania imekuwa ujenzi mkubwa wa reli ya mwendokasi ambayo inategemewa kuwa msaada mkubwa wa usafirishaji wa watu na mizigo kuelekea nchi za Rwanda, Burundi na DRC. Kimkakati, kama ujenzi huo utakamilika, Tanzania itakuwa imalamba dume kwa sababu tutaweza kujiinua kiuchumi kupitia sekta ya usafirishaji pamoja na kufaidika na masoko ya bidhaa zetu kupitia wato miliuoni miamoja waliopo mashariki mwa Kongo.
Mnyonge mnyongeni lakini haki haki yake apewe. Ziara ya Rais wetu huko DRC haipaswi kubezwa kwa sababu kiuchumi inalipa tofauti na nchi kama Rwanda, Burundi na Uganda ambazo zinapitisha mizigo yao katika bandari yetu ya Dar Es Salaam lakini, mizigo yao kidogo kuliko ile DRC kutokana na idadi ya watu katika nchi hizo ni ndogo.
Hongera Mh. Raisi wetu kwa kupanga ziara ya kimkakati ya DRC ambayo ni muhimu sana kwa musakabali wa uchumi wa nchi yetu.
Tuwe wazi Zaidi kwa kuzitaja au kupendekeza nchi tatu zenye tija kwa TanzaniaHoja yangu ni kwamba asafiri kwa kuangalia nchi ambazo ni vipaumbele vyetu kwa maana ya nchi zenye tija zaidi kwetu.Unakumbuka Magufuli aliwahi kusafiri kwenda Zimbabwe?Zimbambwe ilikuwa ni nchi yenye tija kwetu kuliko nchi zote duniani?
Atarekebisha sheria na bunge halijaanza?Huyu anabembea tu kwenye mapipa, kwa masikini wenzake hakuna atakachokipata , sana sana ni kumshauri namna ya kuwaonea/kuwaua wapinzani. Huyu hafai katu... Nenda kwa mabeberu uone kama utapata wawekezaji, lkn baada ya kurekebisha sheria na stupid policy zilizowekwa na Jiwe.
Miradi inakaguliwa na wenyeviti kamti ya siasa ya ccmHana mda na miradi, Miradi alifanya Wakati Yuko Ni Makamu Wa Rais, Mama anayeya Hatari [emoji3]
Bajeti siku zote inafdhiliwa na fedha za ndani, misaada na mikopo ... huo mkopo ni kwa ajili ya kufadhili bajetiKukubali chanjo ya J & J kumetupa kiasi gani cha hela!!??
Huko ni kupiga magoti ama ni kupiga "makofi"!!??
Mkopo wa 2.7 tirioni,tumepewa kutokana na mahusiano mema ya " regional intergration" ama nini!!??
Tulikataa mkopo wa masharti nafuu na "riba free" ya "Covax", leo tumekubali mkopo wenye riba wa "2.7 tirioni" , hiyo ni akili ama matope!!???
Palm Tree sikia huo mradi wa Bandari ya Bagamoyo siyo mradi mpya. Mradi huo ulisha chambuliwa kwa data na takwimu na malengo yake hapa nchini kwenye uchumi wetu na kwenye bandari zetu nyingine. Ulichambuliwa vizuri sana pale ulipoibuliwa na ukaonekana ni mradi wa hovyo, umejaa upigaji kutoka kwa wale Wachina ambao ni MADALALI tu wa wale wawekezaji kutoka Uarabuni!Ni haki yako kutokukubaliana na project hiyo...
Na Mimi na wengine ni haki yetu pia kukubaliana nayo kwa 100%...
Na ishu iko hivi;
Wewe si kwamba hukubaliani na mradi (project) ya ujenzi wa bandari mpya pale Bagamoyo...
Bali, hofu yako iko ktk assumption tu kuwa, pale pana upigaji kama ulivyoandika hapa...!!
Basi tafuteni njia nyingine yoyote mnayodhani itawafaa na wakati huo huo mkijua kuwa kuna Serikali halali ya CHAMA CHA MAPINDUZI yenye dola na vyombo vyote unavyo vijua wewe na Mbowe na TOBO na wengine wote na najua mnafahamu nini kitawapata mkivunja sheria za nchi na hakuna BOB wala nani atakaye wasemea! Si mnaona tangu TOBO ashindwe kwenye 2020 GE wamekuwa kimya!Pilato anaitumikia CCM badala ya kutumikia wananchi.Kesi ya Tumbili haiwezi kupelekwa kwa Ngedere.
View attachment 1907767
Serikali iliyopo madarakani ya CCM siyo serikali halali kwa sababu haijatokana na wananchi na hili alilithibitisha yeye Samia mwenyewe aliposema kuwa wataiba kura waunde Serikali.Basi tafuteni njia nyingine yoyote mnayodhani itawafaa na wakati huo huo mkijua kuwa kuna Serikali halali ya CHAMA CHA MAPINDUZI yenye dola na vyombo vyote unavyo vijua wewe.
Nazidi kusisitiza kuwa kama kuna "wizi" nendeni kwa PILATO period. Kuendelea na mabishano yasiyo na HOJA ni kupoteza muda tu! I am off!Serikali iliyopo madarakani ya CCM siyo serikali halali kwa sababu haijatokana na wananchi na hili alilithibitisha yeye Samia mwenyewe aliposema kuwa wataiba kura waunde Serikali.
Serikali ya CCM haina kibali cha wananchi.Serikali ambayo haina kibali cha wananchi siyo Serikali halali.View attachment 1909167
Akitoka hapo aunganishe Hadi Al shabab SomaliaNitafurahi Sana Rais wangu mpendwa akienda Afghanistan kuwapongeza Taliban kwa kutwaa umiliki wa ardhi yao
Pilato mwenyewe sasa!👇Nazidi kusisitiza kuwa kama kuna "wizi" nendeni kwa PILATO period. Kuendelea na mabishano yasiyo na HOJA ni kupoteza muda tu! I am off!
Washamsoma. Tusishangae kusikia tena mishe za ESCROW!Wanamkimbizakimbiza ili wapige kiulaini sana
Na hapa ndipo atakapopigwa. Yeye anasema anaangalia graphs. Style hii ya uongozi haifai nchi kama yetu hii ambayo majority ya wafanyakazi wana mindset za kipigaji. Anapaswa aende field!Nchi ime mshinda akirudi ni kusign tu ma pepar bila ata kusoma awahi safari nyingine
Kwa nini unafikia hitimisho tutapigwa? Tusubiri CAG alete ripoti tusiwe tunafikiri tu kwamba tutapigwa au laWashamsoma. Tusishangae kusikia tena mishe za ESCROW! Na hapa ndipo atakapopigwa. Yeye anasema anaangalia graphs. Style hii ya uongozi haifai nchi kama yetu hii ambayo majority ya wafanyakazi wana mindset za kipigaji. Anapaswa aende field!
Polisi ni jumuia ya chama?Pilato mwenyewe sasa!👇
View attachment 1909211
Ukiijua mifumo ya Serikali zetu, unajua tu, nini kitatokea! Lakini historia ni mwalimu mzuri sana.Kwa nini unafikia hitimisho tutapigwa? Tusubiri CAG alete ripoti tusiwe tunafikiri tu kwamba tutapigwa au la