Rais Samia: Kuanzia mwaka kesho tuzo za walipa kodi hazitakuwa chini ya TRA, zitakuwa ni tuzo za Rais

Rais Samia: Kuanzia mwaka kesho tuzo za walipa kodi hazitakuwa chini ya TRA, zitakuwa ni tuzo za Rais

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Akiwa anazungumza leo kwenye hafla ya utoaji tuzo, Rais Samia ametangaza kwamba kwanzia mwaka kesho tuzo hizo hazitakuwa chini ya TRA lakini zitakuwa chini ya Rais.

Rais Samia amesema kuwa lengo la kufanya hivyo ni kuzipa tuzo hizo hadhi kubwa zaidi

 
Mwaka huu kuna uchaguzi tuombe ashinde walipa kodi mashughuli wapate hii bahati
 
Sasa anasemajeambo ya mwakani inamana lazima ashinde ila si taraja?
 
Back
Top Bottom