[emoji28][emoji28][emoji28]Kwani IFM wamemtishia nini huyu mama yetu mbona kama hana raha kabisa siku hizi ni kama anaota ndoto mbaya akiwa macho wazi.
Swali fikirishi kidogo,CHANJO yoyote lazima kinga ya mwili iwe imara ili mwili uweze kutengeza kinga dhidi ya kirusi husika. Na chanjo hutengenezwa kwa aina moja tu ya kirusi. Lakini, utafiti umedhihirisha kuwa kirusi cha KORONA kimekuwa kikibadilika hivyo kufanya chanjo kutokuweza kufanya vile ilivyokusudiwa
Hivyo basi, mimi naamini kinga asilia mwilini mwangu na kwa kuwa nafuata masharti/ushauri wa kujikinga na maambukizi nitakuwa salama dhidi ya magonjwa mengi ikiwemo UVIKO-19.
RubbishRais Samia Suluhu Hassan amesema kuchanja kunaipunguzia Serikali gharama za matibabu na za kupoteza nguvu kazi ndani ya Nchi. Amesema, "Tukikaa bila kuchanja maradhi yale yakiingia, yanaingia kwa kasi"
Amesema, "Nimeingia Kilimanjaro nikawa nawaambia wenzangu mbona huku watu hawana habari kabisa! Na kwa takwimu tulizonazo Kilimanjaro, Moshi tumepoteza watu. Nimekaa na RC kaniambia tumeshachanja"
Hata hivyo, pamoja na kuchanja amewataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari akisema Ugonjwa bado upo
Kwa hakika Mungu ametupatia Rais mwenye hekima ya kiwango Cha juu Sana, watanzania tunapaswa kumshukuru Mungu kwa Hilo.Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuchanja kunaipunguzia Serikali gharama za matibabu na za kupoteza nguvu kazi ndani ya Nchi. Amesema, "Tukikaa bila kuchanja maradhi yale yakiingia, yanaingia kwa kasi"
Amesema, "Nimeingia Kilimanjaro nikawa nawaambia wenzangu mbona huku watu hawana habari kabisa! Na kwa takwimu tulizonazo Kilimanjaro, Moshi tumepoteza watu. Nimekaa na RC kaniambia tumeshachanja"
Hata hivyo, pamoja na kuchanja amewataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari akisema Ugonjwa bado upo
Swali fikirishi kidogo,
Kwamba je waliochanja na kinga zao nzuri wanaweza kudhurika?
Na waliochanja na kinga dhaifu je?
Wala sio IMF mkuu sasa hivi anaongozwa na dubwana linaitwa Tony Blair yaani hasikii wala haoni kile ni kivuli remote ipo London tumepotea na kupotoka tuombe Mungu aingilie katiKwani IFM wamemtishia nini huyu mama yetu mbona kama hana raha kabisa siku hizi ni kama anaota ndoto mbaya akiwa macho wazi.
Asante mkuu,Kwa uelewa wangu kiasi, maumbile ya viumbe hai vyote una kinga dhidi ya kitu chochote kiingiacho ndani ya mwili (kwa maana ya kujilinda). Binadamu hujenga kinga dhidi ya maradhi pale anapoambukizwa (mfumo wa mwili kujilinda). Kama kinga ya mwili ya aina fulani ya maradhi ikishindwa, mhusika inabidi apate dawa ya kuongezea nguvu kinga ya mwili.
Kwa msingi huo, wanadamu wameenda mbali kwa kutengeneza chanjo dhidi ya baadhi ya magonjwa (hasa ya virusi) ambayo tiba hushindwa kufanya kazi. Na chanjo hutengenezwa kwa ajili ya aina moja ya kirusi.
Kuhusu swali lako, ili mwili uweze kutengeneza kinga, kutokana na chanjo, ni budi kinga ya mwili iwe imara. Iwe imara kwa maana kuchanjwa ni kuambukizwa ugonjwa, na mwili, kwa kujilinda, utatengeneze kinga. Kwa hiyo wenye kinga nzuri, mwili utatengeneza kinga, wakati wenye kinga dhaifu, watadhurika kwa kuwa kinga itashindwa kujilinda dhidi ya chanjo.