Rais Samia kuelekea Zimbabwe kushiriki Mkutano wa dharura wa SADC kujadili Usalama DRC

Rais Samia kuelekea Zimbabwe kushiriki Mkutano wa dharura wa SADC kujadili Usalama DRC

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Harare, Zimbabwe kesho tarehe 31 Januari, 2025 kwa ziara ya kikazi ya siku moja.

Akiwa nchini Zimbabwe, Rais Dkt. Samia atashiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC ulioitishwa kwa lengo la kujadili hali ya ulinzi na usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Mkutano huo utaongozwa na Mhe. Dkt. Emmerson Dambudzo Mnangagwa, Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe na Mwenyekiti wa SADC.

Mkutano huo unafanyika kufuatia Mkutano wa Dharura wa Utatu wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama (SADC Organ Troika), nchi zinazochangia askari katika Misheni ya SADC nchini DRC (SAMIDRC), uliofanyika tarehe 28 Januari, 2025 na kuongozwa na Mwenyekiti wa Asasi hiyo Mhe. Rais Dkt. Samia.

Sharifa B. Nyanga
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

IMG_2853.jpeg
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Harare, Zimbabwe kesho tarehe 31 Januari, 2025 kwa ziara ya kikazi ya siku moja.

Akiwa nchini Zimbabwe, Rais Dkt. Samia atashiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC ulioitishwa kwa lengo la kujadili hali ya ulinzi na usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Mkutano huo utaongozwa na Mhe. Dkt. Emmerson Dambudzo Mnangagwa, Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe na Mwenyekiti wa SADC.

Mkutano huo unafanyika kufuatia Mkutano wa Dharura wa Utatu wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama (SADC Organ Troika), nchi zinazochangia askari katika Misheni ya SADC nchini DRC (SAMIDRC), uliofanyika tarehe 28 Januari, 2025 na kuongozwa na Mwenyekiti wa Asasi hiyo Mhe. Rais Dkt. Samia.

Sharifa B. Nyanga
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

View attachment 3219132
Kutupotezea fedha na muda. Ana nini cha maana. Sijui kama anajua hata anachoendea.
 
Huu ndo muda sahihi ya kuongeza mkoa mwingine kwa jina la Rwanda kwenye nchi ya Tanzania 😎
 
DRC kuja kuwa na amani ni mpaka Yesu arudi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Harare, Zimbabwe kesho tarehe 31 Januari, 2025 kwa ziara ya kikazi ya siku moja.

Akiwa nchini Zimbabwe, Rais Dkt. Samia atashiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC ulioitishwa kwa lengo la kujadili hali ya ulinzi na usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Mkutano huo utaongozwa na Mhe. Dkt. Emmerson Dambudzo Mnangagwa, Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe na Mwenyekiti wa SADC.

Mkutano huo unafanyika kufuatia Mkutano wa Dharura wa Utatu wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama (SADC Organ Troika), nchi zinazochangia askari katika Misheni ya SADC nchini DRC (SAMIDRC), uliofanyika tarehe 28 Januari, 2025 na kuongozwa na Mwenyekiti wa Asasi hiyo Mhe. Rais Dkt. Samia.

Sharifa B. Nyanga
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

View attachment 3219132
 
Haya Matumizi mabaya ya muda na pesa za walipa kodi. Juzi hawa viongozi walikuwa hapa Dar, na wakakutana kwa dharura hapa ikulu Dar es Salaam kuzungumzia hali tete ya Kongo.

Leo wanenda Zimbabwe kufanya nini tena?

Baada ya mkutano wao wa nishati wangeweza kukaa na kujadili wakamaliza, au ndio pesa kwao sio deal wanazitumia watakavyo?
 
Sasa huyu mzanzibar atachangia kitu gani cha maana huko, abaki azuiliwe hata kwa nguvu asiende
Sasa si ndiyo utoke huko ulikojificha ulamzuie?, huu ushujaa wa kujificha nyuma ya keyboard na kuandika upupu ni upumbavu mtupu.
 

kujadili Usalama DRC​

Kwake ni njaa tu hadi wasanii wamekuwa chawa wake na viongozi ni mpaka wamsifie ndio wale.
Tz hii chakuanza nacho n viongozi wenyewe kuanzia raisi
 
Back
Top Bottom