Rais Samia kufanya ziara Ethiopia kuanzia tarehe 15 - 16 Februari, 2025 kushiriki Mkutano wa Kawaida wa 38 wa Wakuu wa Nchi na AU

Rais Samia kufanya ziara Ethiopia kuanzia tarehe 15 - 16 Februari, 2025 kushiriki Mkutano wa Kawaida wa 38 wa Wakuu wa Nchi na AU

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi Addis Ababa nchini Ethiopia kuanzia tarehe 15 - 16 Februari, 2025 kushiriki Mkutano wa Kawaida wa 38 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU).

Soma Pia: Dar: Rais Samia ashiriki Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa EAC na SADC Februari 8, 2025


Mkutano huo unatarajia kuchagua Mwenyekiti Mpya wa Umoja wa Afrika kwa mwaka 2025 atakayechukua nafasi ya Mwenyekiti wa sasa Jamhuri ya Kiislamu ya Mauritania.
Snapinst.app_479377864_18269982751258462_621229004472004923_n_1080.jpg
 
Hii mikutano huwa haina tija, kwasababu haina collective solution, kila nchi inajipapmbania kivyake sielewi kwanini wanakutana, nadhani wangetusaidia walipa kodi kama wangetumia mawasiliano ya computer kila mmoja akiwa kwake.
 
Back
Top Bottom