Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Kilimanjaro

Sema miradi mingine sio ya rais kuweka mawe ya msingi na uzinduzi. Mawaziri, katibu na wakuu wa mikoa wanatosha. Rais sahivi imekua changamoto watu kumfatilia live akiwa anaongea majukwaani. Vyema urudi utaratibu wa rais kuhutubia taifa walau mara moja kwa mwezi.
 
Asante sana kwa taarifa hii. Siku hiyo ya tarehe 16 Oktoba ndio Siku ya Kimataifa ya Chakula Duniani, na maadhimisho yanafanyikia katika viwanja vya Pasua, Mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro. Kitendo cha Jubilei ya miaka 50 ya KCMC, ku coincide na Siku ya Chakula Duniani, What a coincidence?. Ila pia ni tukio gani muhimu zaidi kwa rais, kuhudhuria kama mgeni rasmi, kati ya tukio la jubilei ya miaka 50 ya taasisi binafsi ya KCMC na tukio la kitaifa na la kimataifa la kilele cha maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Chakula Duniani.

Tayari nimeisha tuma ombi hili kwa RC, Kilimanjaro.
P
 
Una laana wewe na mama yako na babako, shangazi zako, na wajomba zako, na watoto wako, na wajukuu zako, na vitukuu , hata kizazi cha kumi cha jamaa zako walaaniwe sawa sawa na maneno wevjamawa midomo yako!!
we jamaa,msamehe raia mwezako kama amekuuzi maana maandiko yana sema wabarikini wanao wauzi.Kilimanjaro imebarikiwa Tanzania ndio maana ssh anaidhuru
 
Una laana wewe na mama yako na babako, shangazi zako, na wajomba zako, na watoto wako, na wajukuu zako, na vitukuu , hata kizazi cha kumi cha jamaa zako walaaniwe sawa sawa na maneno ya midomo yako!!
Duh sio kwa laana hizo hapo akiikosa ya baba inakwenda ya mama ,shangazi, watoto, wajukuu kha!
 
Kwani bavicha wao wanasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…