Pre GE2025 Rais Samia kulihutubia Na Kulivunja Bunge June 27. Kila Mbunge Atavuna alicho panda Jimboni

Pre GE2025 Rais Samia kulihutubia Na Kulivunja Bunge June 27. Kila Mbunge Atavuna alicho panda Jimboni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Anatarajiwa kuisimamisha Nchi na Afrika Nzima kwa ujumla wake pamoja na nje ya mipaka ya Bara la Afrika June 27 mwaka huu.

Ni Tarehe ambayo anatarajiwa kutua na kuingia kikomandoo ndani ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya kufanya kazi mbili tu. Ambazo ni kulihutubia Bunge na kisha kulivunja Rasmi Bunge la 12.

Hiyo itamaanisha kuwa waheshimiwa wabunge watatakiwa kila mmoja wao kurejea jimboni kwake na kuwakuta wananchi na wajumbe mbalimbali wakiwasubiri kwa hamu kubwa sana kwa ajili ya kuwapa hukumu kila mmoja kwa kadri alivyo fanya kwa miaka 5 iliyopita.

Hapa kutakuwa na vita moja kali sana kuwahi kutokea hapa Nchini hususani ndani ya CCM katika kura za maoni kutoka kwa wajumbe. ambapo sasa wameongezeka zaidi kwa kuwa hadi mabalozi watahusika katika kupiga kura.

Kwa hakika kila mmoja atavuna alichopanda . Hukupanda kitu basi usitarajie kuvuna kitu wala kutumia nguvu kulazimisha kupendwa na kuvuna mazao.

Na mpaka sasa wajumbe wanajua ni nani anapaswa kupewa nafasi ya kuwaongoza na ni nani anapaswa kuliwa kichwa. Mpaka sasa wanajua ni nani amekuwa karibu yao na nani yupo kwa ajili ya kushibisha tumbo lake.

Nawaonea sana huruma wale ambao mmekumbuka mashuka wakati kumekucha. Ninyi ni bora mpokee tu na kutunza viinua mgongo vyenu badala ya kuvipoteza na kuja kukosa hata huo Ubunge wenyewe.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Anatarajiwa kuisimamisha Nchi na Afrika Nzima kwa ujumla wake pamoja na nje ya mipaka ya Bara la Afrika June 27 mwaka huu.

Ni Tarehe ambayo anatarajiwa kutua na kuingia kikomandoo ndani ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya kufanya kazi mbili tu. Ambazo ni kulihutubia Bunge na kisha kulivunja Rasmi Bunge la 12.

Hiyo itamaanisha kuwa waheshimiwa wabunge watatakiwa kila mmoja wao kurejea jimboni kwake na kuwakuta wananchi na wajumbe mbalimbali wakiwasubiri kwa hamu kubwa sana kwa ajili ya kuwapa hukumu kila mmoja kwa kadri alivyo fanya kwa miaka 5 iliyopita.

Hapa kutakuwa na vita moja kali sana kuwahi kutokea hapa Nchini hususani ndani ya CCM katika kura za maoni kutoka kwa wajumbe. ambapo sasa wameongezeka zaidi kwa kuwa hadi mabalozi watahusika katika kupiga kura.

Kwa hakika kila mmoja atavuna alichopanda . Hukupanda kitu basi usitarajie kuvuna kitu wala kutumia nguvu kulazimisha kupendwa na kuvuna mazao.

Na mpaka sasa wajumbe wanajua ni nani anapaswa kupewa nafasi ya kuwaongoza na ni nani anapaswa kuliwa kichwa. Mpaka sasa wanajua ni nani amekuwa karibu yao na nani yupo kwa ajili ya kushibisha tumbo lake.

Nawaonea sana huruma wale ambao mmekumbuka mashuka wakati kumekucha. Ninyi ni bora mpokee tu na kutunza viinua mgongo vyenu badala ya kuvipoteza na kuja kukosa hata huo Ubunge wenyewe.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kazi kubwa na nzuri sana ya kutukuka imefanyika majimbo yote nchini, na imefanywa na Dr Samia Suluhu Hassan,

Sasa kasumba kwa wabunge ni Je, uhusiano wao na wananchi upoje?

hili ndilo litakalo wastaafisha baadhi yao 🐒
 
Kazi kubwa na nzuri sana ya kutukuka imefanyika majimbo yote nchini, na imefanywa na Dr Samia Suluhu Hassan,

Sasa kasumba kwa wabunge ni Je, uhusiano wao na wananchi upoje?

hili ndilo litakalo wastaafisha baadhi yao 🐒
Wewe najua ni lazima urejee bungeni kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Nchi nzima. Nawashauri upinzani wasilete pua jimboni kwako.
 
Kazi kubwa na nzuri sana ya kutukuka imefanyika majimbo yote nchini, na imefanywa na Dr Samia Suluhu Hassan,
Kila kitu kimefanywa na samia.
Wabunge wenyewe wamefanya nini? Kwa nini wanakula mishahara ya bure?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Anatarajiwa kuisimamisha Nchi na Afrika Nzima kwa ujumla wake pamoja na nje ya mipaka ya Bara la Afrika June 27 mwaka huu.

Ni Tarehe ambayo anatarajiwa kutua na kuingia kikomandoo ndani ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya kufanya kazi mbili tu. Ambazo ni kulihutubia Bunge na kisha kulivunja Rasmi Bunge la 12.

Hiyo itamaanisha kuwa waheshimiwa wabunge watatakiwa kila mmoja wao kurejea jimboni kwake na kuwakuta wananchi na wajumbe mbalimbali wakiwasubiri kwa hamu kubwa sana kwa ajili ya kuwapa hukumu kila mmoja kwa kadri alivyo fanya kwa miaka 5 iliyopita.

Hapa kutakuwa na vita moja kali sana kuwahi kutokea hapa Nchini hususani ndani ya CCM katika kura za maoni kutoka kwa wajumbe. ambapo sasa wameongezeka zaidi kwa kuwa hadi mabalozi watahusika katika kupiga kura.

Kwa hakika kila mmoja atavuna alichopanda . Hukupanda kitu basi usitarajie kuvuna kitu wala kutumia nguvu kulazimisha kupendwa na kuvuna mazao.

Na mpaka sasa wajumbe wanajua ni nani anapaswa kupewa nafasi ya kuwaongoza na ni nani anapaswa kuliwa kichwa. Mpaka sasa wanajua ni nani amekuwa karibu yao na nani yupo kwa ajili ya kushibisha tumbo lake.

Nawaonea sana huruma wale ambao mmekumbuka mashuka wakati kumekucha. Ninyi ni bora mpokee tu na kutunza viinua mgongo vyenu badala ya kuvipoteza na kuja kukosa hata huo Ubunge wenyewe.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Maisikio ya mbuzi usikia pale yanapochemshwa!!!!! waje tuwachemshe..
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Anatarajiwa kuisimamisha Nchi na Afrika Nzima kwa ujumla wake pamoja na nje ya mipaka ya Bara la Afrika June 27 mwaka huu.

Ni Tarehe ambayo anatarajiwa kutua na kuingia kikomandoo ndani ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya kufanya kazi mbili tu. Ambazo ni kulihutubia Bunge na kisha kulivunja Rasmi Bunge la 12.

Hiyo itamaanisha kuwa waheshimiwa wabunge watatakiwa kila mmoja wao kurejea jimboni kwake na kuwakuta wananchi na wajumbe mbalimbali wakiwasubiri kwa hamu kubwa sana kwa ajili ya kuwapa hukumu kila mmoja kwa kadri alivyo fanya kwa miaka 5 iliyopita.

Hapa kutakuwa na vita moja kali sana kuwahi kutokea hapa Nchini hususani ndani ya CCM katika kura za maoni kutoka kwa wajumbe. ambapo sasa wameongezeka zaidi kwa kuwa hadi mabalozi watahusika katika kupiga kura.

Kwa hakika kila mmoja atavuna alichopanda . Hukupanda kitu basi usitarajie kuvuna kitu wala kutumia nguvu kulazimisha kupendwa na kuvuna mazao.

Na mpaka sasa wajumbe wanajua ni nani anapaswa kupewa nafasi ya kuwaongoza na ni nani anapaswa kuliwa kichwa. Mpaka sasa wanajua ni nani amekuwa karibu yao na nani yupo kwa ajili ya kushibisha tumbo lake.

Nawaonea sana huruma wale ambao mmekumbuka mashuka wakati kumekucha. Ninyi ni bora mpokee tu na kutunza viinua mgongo vyenu badala ya kuvipoteza na kuja kukosa hata huo Ubunge wenyewe.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
HATAFANYA HIVYO
 
Fuatilia vyema,
mbunge ambae hakua na uhusiano mzuri na wananchi ndie pekee atachaguliwa tena 🐒
Na huyo Mbunge hapaswi kujisumbua kwenda kwa wajumbe. Maana ataliwa kichwa mapema sana mpaka abakie anabubujikwa na machozi ya huzuni.
 
Wewe najua ni lazima urejee bungeni kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Nchi nzima. Nawashauri upinzani wasilete pua jimboni kwako.
100% mjengoni ni lazima,

wapinzani jimboni kwangu hakunaga,
huwa wanaonekana kama vibaka au washirikina tu ,

na kwahivyo wao wenyewe hujiengua au kujitoa kwenye kinyang'anyiro kukwepa fedheha ya kupata kura 0 au kutengwa na jamii .
 
Hapo sio wabunge tu hata raisi........nayeye atavuna alipopereka bandari na wanyama wetu
 
Mama wa Afrika,akiongea Afrika nzima inasikiliza,Afrika nzima inatulia,Mama ni Chaguo la Mungu
2025,Tupo na Mama,wanaopenda kususa susa waendelee Kususa
Watanzania wote lengo lao ni Moja tu,Kumpigia Kura Mama Samia Suluhu Hassan,Lulu ya Afrika
 
Mama wa Afrika,akiongea Afrika nzima inasikiliza,Afrika nzima inatulia,Mama ni Chaguo la Mungu
2025,Tupo na Mama,wanaopenda kususa susa waendelee Kususa
Watanzania wote lengo lao ni Moja tu,Kumpigia Kura Mama Samia Suluhu Hassan,Lulu ya Afrika
Mungu hadhihakiwi
 
Back
Top Bottom