Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #21
Hakika kabisaTungekua na Bandari kavu hata singida Malori ya Rwanda na Burundi yakaishia pale, inamaana tungeweza kuaccomodate mizigo mingi ya Uganda pia maana umbali ungekua umepungua na hapo tungewanyemelea Sudan kusini kwa hivo reli na mabehewa ya express ya kusogeza mizigo kutoka Dar port hadi mfano dry port singida ingekua kitu kizuri sana
Kujenga uchumi na ku dominate uchumi inahitaji kuthubutu na kutumia akili sana kwenye kuangalia fursa na kuweka mazingira Bora zaidi kwa upande wako. Hili tukilitumia vizuri hakuna wa kututishaMada nzuri mno welldone mtoa hoja ILA daraja hili la Kazungula ni bad news kwetu,sasa DRC itasukuma zaidi Mizigo kule kuliko kuileta hapa Dar es salaam port,tumechelewa mno maana future ya Africa kibiashara ni DRC
Embu acha dharau kwa mama yetu kutokana na chuki zako za kiburundi kijanaSSH yeye kipaumbele chake ni kufungulia nchi kila takataka iingie haya ya kuweza jinsi ya kuboresha miundombinu ili kuunganisha biashara ni matatizo yenu wananchi, pambaneni na hali yenu.
Tunaweza chukua ilo soko kama tukitumia akili zetu vizuri.Botwsana hawezi kutumia bandari ya Dar , Tayari kuna port efficient na zisizo na urasimu kama durban na walvis bay.
Haiwezekani Kwa mujibu wa akili yako fupi na ndogo. Kwa wenye akili kubwa inawezekanaNmesoma akili yako imevutiwa kuona daraja la kazungula ukaokota okota mawili matatu kuonyesha Tz inaweza faidika na uwepo wa hilo daraja. Kiuhalisia HAIWEZEKANI layman tu ndio anaweza fikiri uliyoandika..fursa za east africa hatujazitumia licha ya uwepo wa miundombinu wezeshi..barabara, reli na usafiri wa majini, halafu unawaza ya mbali ambako hatuwezi kufika huo ni zaidi ya ujinga.
Si ndio ukweli huo, kipaumbele chake ni kufungulia nchi kila takataka iingie, haya ma miradi yenu ni matatizo yetu wananchi tu, Rais anashinda angani na kwenye matamasha kila uchwao, anamaliza 2months saivi haongelei miradi ya kimkakati anaongelea ujinga ujinga tu wa kuridhisha watu as if hayo ndio matatizo ya watanzania haswa.Embu acha dharau kwa mama yetu kutokana na chuki zako za kiburundi kijana
Malawi jirani zetu kabisa mizigo ya ulaya wanashushia Namibia,Tunaweza chukua ilo soko kama tukitumia akili zetu vizuri.
Kuwaza Songwe na Mbeya ndio akili kubwa? Hata kifaranga cha kuku kina akili ya kutafuta chakula ardhini..lkn si ile ya kumkwepa mwewe asimshukie.Hai
Haiwezekani Kwa mujibu wa akili yako fupi na ndogo. Kwa wenye akili kubwa inawezekana
Endelea kutambika kwenye kabuli la mabati hapo kijijini chato na ukimaliza rudi kwenu Burundi. Mada hii ni kubwa sana kwako hata kuweza kuchangiaKuwaza Songwe na Mbeya ndio akili kubwa? Hata kifaranga cha kuku kina akili ya kutafuta chakula ardhini..lkn si ile ya kumkwepa mwewe asimshukie.
Na hapa ndo hoja ya Bandari ya Bagamoyo inapoingia. Bandari yenye ufanisi kwa maendeleo ya nchi yetu.Malawi jirani zetu kabisa mizigo ya ulaya wanashushia Namibia,
Walivis bay ni bandari yenye ufanisi wa juu sana na ni cheap port vile vile.
Walvis bay meli ya magari ikitia nanga alfajiri , mchana magari yameshatoka mnaendesha uraiani,
Copper ya Zambia tuliyokuwa hadi tunaisafirisha kwa ndege kule mtwara sasa hivi inasafirishwa kupitia walvis bay
Hayo ni Kwa mujibu wa akili yako. Kwa unavyodhani wewe Rais anatakiwa kuongelea hovyo hovyo miradi ya kimkakati ili iweje??? Kwani kwenye vikao vya cabinet wanafanya nini???Si ndio ukweli huo, kipaumbele chake ni kufungulia nchi kila takataka iingie, haya ma miradi yenu ni matatizo yetu wananchi tu, Rais anashinda angani na kwenye matamasha kila uchwao, anamaliza 2months saivi haongelei miradi ya kimkakati anaongelea ujinga ujinga tu wa kuridhisha watu as if hayo ndio matatizo ya watanzania haswa.
Niondolee ufedhuli hapa, mwambieni Jumong wenu aendelee kufungulia kila takataka iingie nchini, ndio akili zake zimeishia hapo, what a waste kwa taifa.Hayo ni Kwa mujibu wa akili yako. Kwa unavyodhani wewe Rais anatakiwa kuongelea hovyo hovyo miradi ya kimkakati ili iweje??? Kwani kwenye vikao vya cabinet wanafanya nini???
Hujui kiongozi wa kisiasa anapata namlaka ya kuongoza kutoka Kwa watu?? Sasa kwa nini asiongoze kwa matakwa ya watu anaowaongoza??? Mlishazoea ufedhuli na ushetani ndo mkazani ndo maisha sasa ndo mjue haitakiwi kuwa ivyo.
Ufanisi hauanzi na maneno kama haya , tumezoea porojo na ndio shida yetuNa hapa ndo hoja ya Bandari ya Bagamoyo inapoingia. Bandari yenye ufanisi kwa maendeleo ya nchi yetu.
Kuna Maboresho makubwa sana kuhusu Bandari ya Dar es Salaam nayo tukipata muda tutaandika humu.
Lord ushauri wako ni mzuri sana ingawaje uzi kama huu wa maono ya maendeleo unakuwa na wachangiaji wachache.Amani iwe nawe Mama yangu.
Heri ya sikukuu ya Eid! Na Polee na uchovu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadan.
Kama nilivyotoa commitment ya kukuunga mkono Mara tu ulipochukua kiti cha kuongoza nchi yetu, leo napenda kuleta mada nyingine ya ushauri kwako ili tuutumie katika kuijenga na kuipeleka mbele kimaendeleo Tanzania yetu.
Hivi Karibuni, Botswana na Zambia wamezindua daraja la kuunganisha nchi zao linalojulikana kama Daraja la Kazungula. Daraja hili lililojengwa katika Mto Zambezi Lina njia za Magari kwa ajiri ya Magari na Pia wameweka sehemu ya kupitisha reli kwenye njia hii.
kukamilika kwa Daraja hili inaelezwa kuwa ni fursa adhimu ya kiuchumi kwa nchi zenye Bandari kuu za bahari hasa South Africa, Namibia na Tanzania kwa sababu daraja hili litazifanya hizi nchi kufanya biashara kwa kiwango kikubwa sana na kwa urahisi sana.
Tukiacha Namibia na South Africa , kwa Tanzania , nimeona kukamilika kwa daraja hili ni fursa kubwa sana ya kukua kiuchumi kwa Taifa letu endapo tu tutatumia hii kama fursa na kujitengeneza ki strategically hasa ukizingatia tukijipanga vizuri, mizigo yote ya Botswana na Zambia kutoka Middle East na Mashariki ya Mbali hasa Ulaya Mashariki na Asia( China na Japan) inaweza kuwa inapitishiwa Bandari zetu( Dar es Salaam na Bagamoyo Kama itajengwa) na kupelekwa kwao.
Hivyo kutokana na hii fursa, naomba serikali yako ianze kujipanga kufanya yafuatayo either yenyewe kama yenyewe au kwa kushirikiana na sekta binafsi.
1. Kujenga Bandari kubwa Kavu katika Mkoa wa Mbeya au Songwe, itakayokuwa inapokea mizigo yote Kwa ajiri ya nchi za DRC, Zambia, Zimbabwe na Botswana. Bandari hii itapokea mizigo hiyo kwa njia zote( Barabara na Reli kutoka Dar es Salaaam na Bagamoyo hapo badae
2. Kujenga upya miondombinu ya Mikoa ya Songwe na Mbeya. Naomba kwenye kufanikisha hili Mama yetu, angalia hata Kwa kufanya kupitia PPP( Kushirikiana na sekta binafsi) miundombinu ya kuingia Mbeya na Songwe hasa barabara ifumuliwe na kujengwa upya kwa viwango vya kisasa. Miji hii ina barabara nyembamba sana. Kuanzia Makambako hadi Mbeya na Songwe. Naomba mipango na utekelezaji uanze kufumua na kuzijenga kisasa katika viwango vipya vya ubora barabara hizi. Kwenye upana kuanzia makambako hadi songwe( Tunduma) na kuweka barabara zenye njia 3-4 kila line kwenye miji ya Mbeya na Tunduma ili kurahisisha usafiri wa abiria na mizigo. Kumbuka Mama njia hii ndo imeshika uchumi wa usafirishaji kwa Tanzania.
3. Mpango wa kuibadilisha reli ya TAZARA kutoka ilivyo kuwa SGR inayotumia umeme. Naomba kwa mipango ya badae reli hii inayofika Hadi Zambia iangaliwe kubadilishwa iwe kwenye mfumo wa SGR. Iboreshwe na kujengwa upya kisasa kwa viwango vipya vya ubora (SGR)
Mwisho ingawa wazo hili linaweza kuonekana la kufikirika zaidi kuliko uhalisia naomba Serikali yako ianze kufanya mipango ya kujenga daraja linalokatisha Ziwa Tanganyika na kuingia Congo Moja kwa Moja. Ninajua Kuna changamoto kubwa sana hasa kwenye kina cha lile ziwa Ila kwa kiwango cha teknolojia kilivyofika duniani Nina uhakika wapo watu wanaoweza kufanikisha hili. Ikiwa tutajenga kwa upande wa Rukwa sawa na ikiwa tutajenga kwa upande wa Kigoma sawa Ila naomba iyo mipango ianze sasa. Hata usipokuja kujenga wewe kama Rais wa Awamu ya Sita ila siku moja Rais mwingine atajenga tu. Kikubwa naomba uanzishe hiyo mipango kwa hata kufanyika feasibility studies na kuangalia ni watu gani wataweza kufanya hivyo huko mbeleni. Nasema hivi Kwa sababu, kama Tanzania, tukiweza kupata direct access ya kuingia Congo kibiashara itakuwa na faida kubwa sana kiuchumi kwa Taifa letu kuliko kutegemea k
.Amani iwe nawe Mama yangu.
Heri ya sikukuu ya Eid! Na Polee na uchovu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadan.
Kama nilivyotoa commitment ya kukuunga mkono Mara tu ulipochukua kiti cha kuongoza nchi yetu, leo napenda kuleta mada nyingine ya ushauri kwako ili tuutumie katika kuijenga na kuipeleka mbele kimaendeleo Tanzania yetu.
Hivi Karibuni, Botswana na Zambia wamezindua daraja la kuunganisha nchi zao linalojulikana kama Daraja la Kazungula. Daraja hili lililojengwa katika Mto Zambezi Lina njia za Magari kwa ajiri ya Magari na Pia wameweka sehemu ya kupitisha reli kwenye njia hii.
kukamilika kwa Daraja hili inaelezwa kuwa ni fursa adhimu ya kiuchumi kwa nchi zenye Bandari kuu za bahari hasa South Africa, Namibia na Tanzania kwa sababu daraja hili litazifanya hizi nchi kufanya biashara kwa kiwango kikubwa sana na kwa urahisi sana.
Tukiacha Namibia na South Africa , kwa Tanzania , nimeona kukamilika kwa daraja hili ni fursa kubwa sana ya kukua kiuchumi kwa Taifa letu endapo tu tutatumia hii kama fursa na kujitengeneza ki strategically hasa ukizingatia tukijipanga vizuri, mizigo yote ya Botswana na Zambia kutoka Middle East na Mashariki ya Mbali hasa Ulaya Mashariki na Asia( China na Japan) inaweza kuwa inapitishiwa Bandari zetu( Dar es Salaam na Bagamoyo Kama itajengwa) na kupelekwa kwao.
Hivyo kutokana na hii fursa, naomba serikali yako ianze kujipanga kufanya yafuatayo either yenyewe kama yenyewe au kwa kushirikiana na sekta binafsi.
1. Kujenga Bandari kubwa Kavu katika Mkoa wa Mbeya au Songwe, itakayokuwa inapokea mizigo yote Kwa ajiri ya nchi za DRC, Zambia, Zimbabwe na Botswana. Bandari hii itapokea mizigo hiyo kwa njia zote( Barabara na Reli kutoka Dar es Salaaam na Bagamoyo hapo badae
2. Kujenga upya miondombinu ya Mikoa ya Songwe na Mbeya. Naomba kwenye kufanikisha hili Mama yetu, angalia hata Kwa kufanya kupitia PPP( Kushirikiana na sekta binafsi) miundombinu ya kuingia Mbeya na Songwe hasa barabara ifumuliwe na kujengwa upya kwa viwango vya kisasa. Miji hii ina barabara nyembamba sana. Kuanzia Makambako hadi Mbeya na Songwe. Naomba mipango na utekelezaji uanze kufumua na kuzijenga kisasa katika viwango vipya vya ubora barabara hizi. Kwenye upana kuanzia makambako hadi songwe( Tunduma) na kuweka barabara zenye njia 3-4 kila line kwenye miji ya Mbeya na Tunduma ili kurahisisha usafiri wa abiria na mizigo. Kumbuka Mama njia hii ndo imeshika uchumi wa usafirishaji kwa Tanzania.
3. Mpango wa kuibadilisha reli ya TAZARA kutoka ilivyo kuwa SGR inayotumia umeme. Naomba kwa mipango ya badae reli hii inayofika Hadi Zambia iangaliwe kubadilishwa iwe kwenye mfumo wa SGR. Iboreshwe na kujengwa upya kisasa kwa viwango vipya vya ubora (SGR)
Mwisho ingawa wazo hili linaweza kuonekana la kufikirika zaidi kuliko uhalisia naomba Serikali yako ianze kufanya mipango ya kujenga daraja linalokatisha Ziwa Tanganyika na kuingia Congo Moja kwa Moja. Ninajua Kuna changamoto kubwa sana hasa kwenye kina cha lile ziwa Ila kwa kiwango cha teknolojia kilivyofika duniani Nina uhakika wapo watu wanaoweza kufanikisha hili. Ikiwa tutajenga kwa upande wa Rukwa sawa na ikiwa tutajenga kwa upande wa Kigoma sawa Ila naomba iyo mipango ianze sasa. Hata usipokuja kujenga wewe kama Rais wa Awamu ya Sita ila siku moja Rais mwingine atajenga tu. Kikubwa naomba uanzishe hiyo mipango kwa hata kufanyika feasibility studies na kuangalia ni watu gani wataweza kufanya hivyo huko mbeleni. Nasema hivi Kwa sababu, kama Tanzania, tukiweza kupata direct access ya kuingia Congo kibiashara itakuwa na faida kubwa sana kiuchumi kwa Taifa letu kuliko kutegemea kuingia kule kupitia nchi zingine jirani.
Naomba kuwasilisha.
View attachment 1786878View attachment 1786879View attachment 1786880
Naunga mkono daraja kwa malengo ya baadae, lakini kwa sasa hivi tunachelewa sana kujihusisha kati yetu na DRC.Mwisho ingawa wazo hili linaweza kuonekana la kufikirika zaidi kuliko uhalisia naomba Serikali yako ianze kufanya mipango ya kujenga daraja linalokatisha Ziwa Tanganyika na kuingia Congo Moja kwa Moja. Ninajua Kuna changamoto kubwa sana hasa kwenye kina cha lile ziwa Ila kwa kiwango cha teknolojia kilivyofika duniani Nina uhakika wapo watu wanaoweza kufanikisha hili. Ikiwa tutajenga kwa upande wa Rukwa sawa na ikiwa tutajenga kwa upande wa Kigoma sawa Ila naomba iyo mipango ianze sasa. Hata usipokuja kujenga wewe kama Rais wa Awamu ya Sita ila siku moja Rais mwingine atajenga tu. Kikubwa naomba uanzishe hiyo mipango kwa hata kufanyika feasibility studies na kuangalia ni watu gani wataweza kufanya hivyo huko mbeleni. Nasema hivi Kwa sababu, kama Tanzania, tukiweza kupata direct access ya kuingia Congo kibiashara itakuwa na faida kubwa sana kiuchumi kwa Taifa letu kuliko kutegemea kuingia kule kupitia nchi zingine jirani.
Nadhani mwana mama huyu itabidi atulize kichwa hasa, maanake inaelekea haya mambo mazito bado hajayaweka maanani sana.SSH yeye kipaumbele chake ni kufungulia nchi kila takataka iingie haya ya kuweza jinsi ya kuboresha miundombinu ili kuunganisha biashara ni matatizo yenu wananchi, pambaneni na hali yenu.
Labda kama kuna chawa wake lakin yeye kama yeye mhh sidhani!
a editor, BBC World ServiceAmani iwe nawe Mama yangu.
Heri ya sikukuu ya Eid! Na Polee na uchovu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadan.
Kama nilivyotoa commitment ya kukuunga mkono Mara tu ulipochukua kiti cha kuongoza nchi yetu, leo napenda kuleta mada nyingine ya ushauri kwako ili tuutumie katika kuijenga na kuipeleka mbele kimaendeleo Tanzania yetu.
Hivi Karibuni, Botswana na Zambia wamezindua daraja la kuunganisha nchi zao linalojulikana kama Daraja la Kazungula. Daraja hili lililojengwa katika Mto Zambezi Lina njia za Magari kwa ajiri ya Magari na Pia wameweka sehemu ya kupitisha reli kwenye njia hii.
kukamilika kwa Daraja hili inaelezwa kuwa ni fursa adhimu ya kiuchumi kwa nchi zenye Bandari kuu za bahari hasa South Africa, Namibia na Tanzania kwa sababu daraja hili litazifanya hizi nchi kufanya biashara kwa kiwango kikubwa sana na kwa urahisi sana.
Tukiacha Namibia na South Africa , kwa Tanzania , nimeona kukamilika kwa daraja hili ni fursa kubwa sana ya kukua kiuchumi kwa Taifa letu endapo tu tutatumia hii kama fursa na kujitengeneza ki strategically hasa ukizingatia tukijipanga vizuri, mizigo yote ya Botswana na Zambia kutoka Middle East na Mashariki ya Mbali hasa Ulaya Mashariki na Asia( China na Japan) inaweza kuwa inapitishiwa Bandari zetu( Dar es Salaam na Bagamoyo Kama itajengwa) na kupelekwa kwao.
Hivyo kutokana na hii fursa, naomba serikali yako ianze kujipanga kufanya yafuatayo either yenyewe kama yenyewe au kwa kushirikiana na sekta binafsi.
1. Kujenga Bandari kubwa Kavu katika Mkoa wa Mbeya au Songwe, itakayokuwa inapokea mizigo yote Kwa ajiri ya nchi za DRC, Zambia, Zimbabwe na Botswana. Bandari hii itapokea mizigo hiyo kwa njia zote( Barabara na Reli kutoka Dar es Salaaam na Bagamoyo hapo badae
2. Kujenga upya miondombinu ya Mikoa ya Songwe na Mbeya. Naomba kwenye kufanikisha hili Mama yetu, angalia hata Kwa kufanya kupitia PPP( Kushirikiana na sekta binafsi) miundombinu ya kuingia Mbeya na Songwe hasa barabara ifumuliwe na kujengwa upya kwa viwango vya kisasa. Miji hii ina barabara nyembamba sana. Kuanzia Makambako hadi Mbeya na Songwe. Naomba mipango na utekelezaji uanze kufumua na kuzijenga kisasa katika viwango vipya vya ubora barabara hizi. Kwenye upana kuanzia makambako hadi songwe( Tunduma) na kuweka barabara zenye njia 3-4 kila line kwenye miji ya Mbeya na Tunduma ili kurahisisha usafiri wa abiria na mizigo. Kumbuka Mama njia hii ndo imeshika uchumi wa usafirishaji kwa Tanzania.
3. Mpango wa kuibadilisha reli ya TAZARA kutoka ilivyo kuwa SGR inayotumia umeme. Naomba kwa mipango ya badae reli hii inayofika Hadi Zambia iangaliwe kubadilishwa iwe kwenye mfumo wa SGR. Iboreshwe na kujengwa upya kisasa kwa viwango vipya vya ubora (SGR)
Mwisho ingawa wazo hili linaweza kuonekana la kufikirika zaidi kuliko uhalisia naomba Serikali yako ianze kufanya mipango ya kujenga daraja linalokatisha Ziwa Tanganyika na kuingia Congo Moja kwa Moja. Ninajua Kuna changamoto kubwa sana hasa kwenye kina cha lile ziwa Ila kwa kiwango cha teknolojia kilivyofika duniani Nina uhakika wapo watu wanaoweza kufanikisha hili. Ikiwa tutajenga kwa upande wa Rukwa sawa na ikiwa tutajenga kwa upande wa Kigoma sawa Ila naomba iyo mipango ianze sasa. Hata usipokuja kujenga wewe kama Rais wa Awamu ya Sita ila siku moja Rais mwingine atajenga tu. Kikubwa naomba uanzishe hiyo mipango kwa hata kufanyika feasibility studies na kuangalia ni watu gani wataweza kufanya hivyo huko mbeleni. Nasema hivi Kwa sababu, kama Tanzania, tukiweza kupata direct access ya kuingia Congo kibiashara itakuwa na faida kubwa sana kiuchumi kwa Taifa letu kuliko kutegemea kuingia kule kupitia nchi zingine jirani.
Naomba kuwasilisha.
View attachment 1786878View attachment 1786879View attachment 1786880