RAIS SAMIA: MAFUNZO YA UBALOZI YASIWE YA JUMLAJUMLA
Rais Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Mabalozi Wateule Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma, leo 16 Agosti, 2023 amesema mafunzo ya Mabalozi yawe yanaendana na maeneo wanayopangiwa kwa kuwa mahitaji hayapo sawa.
Your browser is not able to display this video.
RAIS SAMIA: RAIS MWENZANGU ALINIAMBIA NIMBADILISHE BALOZI
Akiwaapisha Mabalozi Wateule Ikulu Chamwino, Mkoani Dodoma, Agosti 16, 2023, Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Katika Nchi nyingine Mabalozi wetu sijui niseme hawajui wanachokifanya, wapo tu, nilikutana na Rais mwenzangu ndani ya #SADC akaniambia nimbadilishie Balozi kwa kuwa aliyepo kazini haendi na mikutano hashiriki.”
Amesisitiza baadhi ya Mabalozi hawatoi ripoti muhimu katika maeneo yao, ndio maana aliunde Kamati ya kupitia Wizara ya Mambo ya Nje ili kubaini mambo kadhaa ikiwemo kasoro, mazuri na ugawaji wa Mabalozi.
Your browser is not able to display this video.
RAIS SAMIA AWATAKA MABALOZI KUFUATILIA HATI ZA MAKUBALIANO ZILIZOSAINIWA
Rais Samia Suluhu Hassan amesema hayo wakati akiwaapisha Mabalozi Wateule Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Amesema “Mnapokwenda angalieni tumesaini nao kitu gani na vimefikia hatua zipi, mnapopeleka Hati za Utambulisho mkikaa na Rais au Mfalme wa Nchi husika zungumzeni mawili matatu ambayo yametekelezwa au yapo njiani.”
Your browser is not able to display this video.
RAIS SAMIA: WIZARA ZOTE ZIFUNGIWE MTANDAO NA VIONGOZI TUWE NA ‘PASSWORD’
Akitoa mfano amesema Wizara ya Mambo ya Nje iwe na ubao wa mtandaoni unaoonesha Mikataba, Hati za Makubaliano na mengine yote yanayoendelea kisha Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Katibu Mkuu Kiongozi wawe na Neno Siri (password) ili waweze kusoma na kujua kinachoendelea.
RAIS SAMIA: MAFUNZO YA UBALOZI YASIWE YA JUMLAJUMLA
Rais Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Mabalozi Wateule Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma, leo 16 Agosti, 2023 amesema mafunzo ya Mabalozi yawe yanaendana na maeneo wanayopangiwa kwa kuwa mahitaji hayapo sawa.
RAIS SAMIA: RAIS MWENZANGU ALINIAMBIA NIMBADILISHE BALOZI
Akiwaapisha Mabalozi Wateule Ikulu Chamwino, Mkoani Dodoma, Agosti 16, 2023, Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Katika Nchi nyingine Mabalozi wetu sijui niseme hawajui wanachokifanya, wapo tu, nilikutana na Rais mwenzangu ndani ya #SADC akaniambia nimbadilishie Balozi kwa kuwa aliyepo kazini haendi na mikutano hashiriki.”
Amesisitiza baadhi ya Mabalozi hawatoi ripoti muhimu katika maeneo yao, ndio maana aliunde Kamati ya kupitia Wizara ya Mambo ya Nje ili kubaini mambo kadhaa ikiwemo kasoro, mazuri na ugawaji wa Mabalozi.
RAIS SAMIA AWATAKA MABALOZI KUFUATILIA HATI ZA MAKUBALIANO ZILIZOSAINIWA
Rais Samia Suluhu Hassan amesema hayo wakati akiwaapisha Mabalozi Wateule Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Amesema “Mnapokwenda angalieni tumesaini nao kitu gani na vimefikia hatua zipi, mnapopeleka Hati za Utambulisho mkikaa na Rais au Mfalme wa Nchi husika zungumzeni mawili matatu ambayo yametekelezwa au yapo njiani.”
Dar es Salaam.
Walioapishwa ni Balozi Gelasius Byakanwa (Burundi), Balozi Habib Awesi Mohamed (Qatar), Balozi Imani Njalikai (Algeria), Ramson Mwaisaka (Rwanda), Hassan Mwamweta (Ujerumani), na Mohamed Juma Abdallah (Saudi Arabia).
Kwa 99% hapo anayetajwa ni Humphrey Pole Pole ambaye alikuwa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi.
Binafsi simkubali kabisa Pole Pole katika harakati zake za kisiasa, lakini katika hili nitamtetea. Hapa Samia anamsingizia tu ili amtimue kwa aibu. Sio busara kumnanga mteule wako hadharani (hata kama hakufai).
Huyo balozi itakuwa amechukizwa na upuuzi unaofanyika hapa nyumbani wa ukandamizaji wa haki za binadamu na uuzwaji wa maliasili ndiyo maana ameamu kutokufanya kazi ipasavyo.we we mtu auze maliasili ategemee kuungwa mkono?Hiyo haiwezekani
Kwa 99% hapo anayetajwa ni Humphrey Pole Pole ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Malawi.
Binafsi simkubali kabisa Pole Pole katika harakati zake za kisiasa, lakini katika hili nitamtetea. Hapa Samia anamsingizia tu ili amtimue kwa aibu. Sio busara kumnanga mteule wako hadharani (hata kama hakufai).
“Nilishakutana na Rais mwenzangu ndani ya nchi za kiafrika, ndani ya Sadc, akaniambia nimbadilishie balozi, akisema uliyeniletea hatakazini haendi, mikutano hashiriki, yupo yupo tu, hatuelewi, Tanzania hatujawazoea hivyo, sasa labda umbadilishe, nikamwambia nimekusikia,” amesema Rais Samia na kuongeza;
Hayo maneno yamekaa kizushi mnoo.
Yaani rais wa nchi anawezaje kufuatilia ratiba za kuja kazini za balozi wa kigeni nchini wake?
Kwa 99% hapo anayetajwa ni Humphrey Pole Pole ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Malawi.
Binafsi simkubali kabisa Pole Pole katika harakati zake za kisiasa, lakini katika hili nitamtetea. Hapa Samia anamsingizia tu ili amtimue kwa aibu. Sio busara kumnanga mteule wako hadharani (hata kama hakufai).
Kwa 99% hapo anayetajwa ni Humphrey Pole Pole ambaye alikuwa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi.
Binafsi simkubali kabisa Pole Pole katika harakati zake za kisiasa, lakini katika hili nitamtetea. Hapa Samia anamsingizia tu ili amtimue kwa aibu. Sio busara kumnanga mteule wako hadharani (hata kama hakufai).
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake na IPTL -Independent Power Tanzania Limited. Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered...
www.jamiiforums.com
Breaking! TANESCO yashindwa kesi Marekani na kutakiwa kuilipa IPTL billioni 320!
Nimedit nikilenga kuwa hapo alilengwa yeye japokuwa Samia aliweka kama fumbo ili tubakie kufikirie sasa. Na tukihoji aseme mabadiliko yalishafanyika zamani na hiyo ilikuwa ni story tu wakati wa kuwaapisha mabalozi hawa wapya.
Kwa 99% hapo anayetajwa ni Humphrey Pole Pole ambaye alikuwa ni balozi wa Tanzania nchini Malawi.
Binafsi simkubali kabisa Pole Pole katika harakati zake za kisiasa, lakini katika hili nitamtetea. Hapa Samia anamsingizia tu ili amtimue kwa aibu. Sio busara kumnanga mteule wako hadharani (hata kama hakufai).
Nisome vyema utanielewa.
Pole Pole ndio target, muda sio mrefu hata huko Cuba atafukuzwa na mama halafu kisingizio cha Mama kitakuwa, aliharibu Malawi nikamrudisha nyumbani (kimyakimya) na kumpeleka Cuba, sasa na huko Cuba ameharibu.
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake na IPTL -Independent Power Tanzania Limited. Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered...
www.jamiiforums.com
Breaking! TANESCO yashindwa kesi Marekani na kutakiwa kuilipa IPTL billioni 320!
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake na IPTL -Independent Power Tanzania Limited. Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered...
www.jamiiforums.com
Breaking! TANESCO yashindwa kesi Marekani na kutakiwa kuilipa IPTL billioni 320!
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake na IPTL -Independent Power Tanzania Limited. Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered...
www.jamiiforums.com
Breaking! TANESCO yashindwa kesi Marekani na kutakiwa kuilipa IPTL billioni 320!