Rais Samia kuongoza kilele cha miaka miwili ya awamu ya 6 asubuhi hii

Rais Samia kuongoza kilele cha miaka miwili ya awamu ya 6 asubuhi hii

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
RAIS SAMIA KUONGOZA KILELE CHA MIAKA MIWILI YA AWAMU YA 6- LEO SAA 4 ASUBUHI HII.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumapili Machi 19, 2023 atakuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha miaka miwili ya Uongozi wa Awamu ya 6 unaoongozwa na yeye mwenyewe.

Maadhimisho hayo yameandaliwa na Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) na yanafanyika kwenye uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 4 asubuhi hii. Fuatilia mubashara kupitia Televisheni na mitandao ya kijamii.

FB_IMG_1679208263490.jpg
 
Kila la heri bila shaka utaendeleza mazuri mabaya utamuachia mwenyewe
 
Miaka 3 itaadhimishwa.

4,5 ;

Awamu ya shughuli hii.
 
Hongera!
Miaka 2 ya maendeleo ya kivitendo!
Mabarabara kila pahala ujenzi unaendelea!
 
Back
Top Bottom