Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza wananchi kwenye mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika, Dkt. Faustine Ndugulile yanayotarajiwa kufanyika Disemba pili, jimboni kwake Kigamboni Dar es Salaam.
Mwili wa marehemu Dkt. Ndugulile unatarajiwa kuwasili nchini kesho Novemba 29, 2024 ukitokea India mauti yalipomfika wakati akipatiwa matibabu.
Dkt. Ndugulile alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumatano Novemba 27, 2024.
Soma: Dkt. Faustine Ndugulile aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia
Dkt. Ndugulile alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumatano Novemba 27, 2024.
Soma: Dkt. Faustine Ndugulile aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia