Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Khee! Tayari mmekwisha gawana majukumu! Basi na mimi nitakuwa mwandazi wa kugawa masinia ya pilau.Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza wananchi kwenye mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika, Dkt. Faustine Ndugulile yanayotarajiwa kufanyika Disemba pili, jimboni kwake Kigamboni Dar es Salaam.
Mwili wa marehemu Dkt. Ndugulile unatarajiwa kuwasili nchini kesho Novemba 29, 2024 ukitokea India mauti yalipomfika wakati akipatiwa matibabu.
Dkt. Ndugulile alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumatano Novemba 27, 2024.
Soma: Dkt. Faustine Ndugulile aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia
Ni au ndiyo iliyosababisha kifo chake.Au aliumwa? au alipigwa risasi ? au ni nini ?
Wabongo wanapenda kufichaficha maradhiAu aliumwa? au alipigwa risasi ? au ni nini ?
Yes, alikuwa aanze kazi kati ya February na March 2025.Huyu si alikuwa kapata shavu kule UN au ?
Au wamemloga hawa wapuuzi wenzake humo ccm ?
Kiongozi wa waombolezaji upande wa wasanii👇Khee! Tayari mmekwisha gawana majukumu! Basi na mimi nitakuwa mwandazi wa kugawa masinia ya pilau.
Katika tasnia ya uigizaji wanasema hujaweza kuigiza mpaka uweze kuigiza kulia.
Siku hizi ameanza mpaka kutambulika na ikulu kwenye "protocol" za misiba !Katika tasnia ya uigizaji wanasema hujaweza kuigiza mpaka uweze kuigiza kulia.
Naona mwamba alitimiza kigezo hapo.
Waswahili walisema.Siku hizi ameanza mpaka kutambulika na ikulu kwenye "protocol" za misiba !
Mamdenyi wakati mwingine unakuwaga mshambaAu aliumwa? au alipigwa risasi ? au ni nini ?