Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Ile Trade Agreement EPA iliyokuwa inapingwa kwa kila hali na CCM sasa kusainiwa na Raisi wa Tanzania Samia huko Brussels kwenye EU- Afrika Union summit.
EPA ni free trade Agreement Kati ya EU na Nchi za Afrika Mashariki zikiwemo Tanzania, Kenya, Uganda, Burundi na Rwanda.
Tanzania walipinga EPA kwa maana hawakuona manufaa yoyote kwa nchi yetu kwani hatuna cha kuuza EU wakati EU wana kila kitu cha kuuza kwetu.
Je, Viwanda vyetu juice ya Azam na umeme wa mgao vita compete na EU products? Kama hapo Kenya tu au Uganda ni ngumu kushindana tutaweza EU ?
Ikumbukwe sukari kutoka Brazili ni cheaper kuliko ya Tanzania sasa EU products tax free Tanzania, tutaweza?
Tunategemea kuuza nini EU ? Vipi natural resources zetu ?
Kweli ni Vita ya Kiuchumi RIP Magu
=====
UPDATES: TAARIFA HII IMEKANUSHWA NA SERIKALI
Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara imekanusha suala linaloendelea mtandaoni kuwa serikali imepitisha Economic Partnership Agreement(EPA) ambayo imetajwa na wasomi wengi kuwa itasababisha Tanzania kupoteza mapato yanayotokana na Importations kwa takribani 71% in the long run
Wizara imesema mijadala inayoendelea mitandaoni kuhusu suala hilo halina ukweli bali bado Tanzania inaendelea kuwa na msimamo wa kukataa makubaliano hayo ambayo yalipingwa vikali na Rais Mkapa mwaka 2015 katika moja ya andiko lake, ambapo pia rais Magufuli aliyakataa suala hilo.
Serikali imesema inaendelea kufanya mambo yenye manufaa kwa nchi na Jumuiya ya Afrika mashariki na kuwataka wananchi kupuuza taarifa zinazoenea mtandaoni.
Zaidi kuhusu kanusho hili soma: Serikali: Hatujasaini EPA. Msimamo wetu uko palepale
EPA ni free trade Agreement Kati ya EU na Nchi za Afrika Mashariki zikiwemo Tanzania, Kenya, Uganda, Burundi na Rwanda.
Tanzania walipinga EPA kwa maana hawakuona manufaa yoyote kwa nchi yetu kwani hatuna cha kuuza EU wakati EU wana kila kitu cha kuuza kwetu.
Je, Viwanda vyetu juice ya Azam na umeme wa mgao vita compete na EU products? Kama hapo Kenya tu au Uganda ni ngumu kushindana tutaweza EU ?
Ikumbukwe sukari kutoka Brazili ni cheaper kuliko ya Tanzania sasa EU products tax free Tanzania, tutaweza?
Tunategemea kuuza nini EU ? Vipi natural resources zetu ?
Kweli ni Vita ya Kiuchumi RIP Magu
=====
UPDATES: TAARIFA HII IMEKANUSHWA NA SERIKALI
Serikali: Hatujasaini EPA, Msimamo wetu uko palepale
Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara imekanusha suala linaloendelea mtandaoni kuwa serikali imepitisha Economic Partnership Agreement(EPA) ambayo imetajwa na wasomi wengi kuwa itasababisha Tanzania kupoteza mapato yanayotokana na Importations kwa takribani 71% in the long runWizara imesema mijadala inayoendelea mitandaoni kuhusu suala hilo halina ukweli bali bado Tanzania inaendelea kuwa na msimamo wa kukataa makubaliano hayo ambayo yalipingwa vikali na Rais Mkapa mwaka 2015 katika moja ya andiko lake, ambapo pia rais Magufuli aliyakataa suala hilo.
Serikali imesema inaendelea kufanya mambo yenye manufaa kwa nchi na Jumuiya ya Afrika mashariki na kuwataka wananchi kupuuza taarifa zinazoenea mtandaoni.
Zaidi kuhusu kanusho hili soma: Serikali: Hatujasaini EPA. Msimamo wetu uko palepale