Rais Samia kusaini matrilioni ya pesa za mikopo bila uwepo wa Waziri Fedha ni sawa?

Rais Samia kusaini matrilioni ya pesa za mikopo bila uwepo wa Waziri Fedha ni sawa?

vibesen xxx

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
3,187
Reaction score
6,620
Nimepitia picha mbalimbali walizopiga viongozi walipotembelea Korea Kusini walikoenda kusaini mikopo sijaona Waziri wa Fedha na uchumi akionekana

Je, kwa wataalaamu wa uchumi hili jambo ni sahihi?

Mshauri namba moja wa Rais kuhusu mkopo ni Waziri wa Fedha, kwanini hajaenda yeye?

Hili suala lingetokea nchi zilizoendelea Serikali ingeanguka lkn kwa kuwa ni huku nchi ya wasiowajibika.
 
Even if he was there,He would have made no difference.
 
Back
Top Bottom