Rais Samia kushiriki mkutano wa Benki ya Dunia Aprili 23, 2022

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
MHE. RAIS SAMIA KUSHIRIKI MKUTANO WA BENKI YA DUNIA KESHO JUMAMOSI.

#Repost
///@ikulu_mawasiliano: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kushiriki Mkutano wa Benki ya Dunia (World Bank Group) tarehe 23 Aprili, 2022 Saa 4:00 Asubuhi katika Makao Makuu ya benki hiyo nchini Marekani.

 
Alikuwa amepanga au US pamenoga?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Sulubu Hassan anatarajiwa kushiriki Mkutano Mkuu wa Benki ya Dunia ( World Bank Group) tarehe 23April 2022 Saa 4:00 asubuhi katika Makao Makuu ya Benki hiyo Nchini Marekani

#AlipoMamaVijanaTupo
#JiandaeKuhesabiwa
#Kaziiendelee
 
Naona hii mtakuwa mnamwambia KiBAJAJI
Lusinde mbunge wa sukuma gang mtera Dodoma anaewatafuta huku bungeni .
 
Hii ni iashara kwamba hatuna haja ya kuwa na rais ktk nchi hii. Yaani unaamua kupiga kambi nchi ya wengine! Rais wa nchi! Kwa ksingizio cha kupewa misaada? Idiot!
 
TP..sawa awape bakuri hilo tuone wataweka ngapi awamu hii..kisha akae nao mezani aona anaweka rehani kipande gani cha nchi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…