inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Wakati Obama anapita hapa alikua nje ya nchi kwa siku ngapi!?..na bush,Clinton!?Hii ni iashara kwamba hatuna haja ya kuwa na rais ktk nchi hii. Yaani unaamua kupiga kambi nchi ya wengine! Rais wa nchi! Kwa ksingizio cha kupewa misaada? Idiot!