inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Wakati Obama anapita hapa alikua nje ya nchi kwa siku ngapi!?..na bush,Clinton!?Hii ni iashara kwamba hatuna haja ya kuwa na rais ktk nchi hii. Yaani unaamua kupiga kambi nchi ya wengine! Rais wa nchi! Kwa ksingizio cha kupewa misaada? Idiot!
Anapenda raha mama.
Hivi hana hawara hapo 🇺🇸?Anapenda raha mama.
Atakuwa kaenda na first gentleman.Hivi hana hawara hapo 🇺🇸?
Kuna nchi aliyokaa kwa siku hata 4 tu! Rais wetu amefikia hatua ni mgeni wa balozi na siyo nchi ya US. She is just gallivanting!Wakati Obama anapita hapa alikua nje ya nchi kwa siku ngapi!?..na bush,Clinton!?
Hawa wanaompangia mama ratiba ndo wanatengeneza mazingira ya wao kupata ela ila shida ya ela ya serikali ili uile lazima wengine wengi wanafaike unakuta mtu anataka 1 million ili aipate anatengeneza safari ya wilayani siku 3 huku akijumuisha watu wengine kibao kuonyesha umuhimu wa safari ikiwezekana anaainisha na majukumu na umuhimu wa kila mtu kwenye hiyo safari (matokeo yake anapata ile 1 million aliyoitaka lakini zinatumika 20 million).Ila Mama yupo busy Sana,Wanaompangia ratiba kidogo wampe muda wa kupumzika.
NI BINADAMU PIA
Hakuja tz tu,Obama alikaa 3 hapa nadhani,bush ndiyo zaidi...walikua nje ya nchi zao kwa muda gani!?..maana hoja hapa kukaa nje ya nchi muda mrefuKuna nchi aliyokaa kwa siku hata 4 tu! Rais wetu amefikia hatua ni mgeni wa balozi na siyo nchi ya US. She is just gallivanting!
Nani kasema tunahoji kukaa nje ya nchi? Tunasema kwa nini kapiga kambi US? Imefikia anafanya teuzi na mwanahabari wake anaandika anuani ya barua eti ni Washington! Yaani ikulu imehamia Washington? Ina maana ikulu yetu haina rais.Hakuja tz tu,Obama alikaa 3 hapa nadhani,bush ndiyo zaidi...walikua nje ya nchi zao kwa muda gani!?..maana hoja hapa kukaa nje ya nchi muda mrefu
Mnahamahama tu kihoja,Soma posts uoneNani kasema tunahoji kukaa nje ya nchi? Tunasema kwa nini kapiga kambi US? Imefikia anafanya teuzi na mwanahabari wake anaandika anuani ya barua eti ni Washington! Yaani ikulu imehamia Washington? Ina maana ikulu yetu haina rais.
She is just gallivanting in the US. Mswahili anatafuta michapo ya kusimulia akirudi. komedi tu!Mnahamahama tu kihoja,Soma posts uone
Ukute hata passport huna,elimu yake kaipatia nje,akiwa makamu wa rais kaenda sana nje kumuwakilisha msukuma,Hana ushamba wa ulaya Wala marekani..pole kwa chuki yako kwa 'waswahili'..japo unatumia lugha yao!!!She is just gallivanting in the US. Mswahili anatafuta michapo ya kusimulia akirudi. komedi tu!
Alikuwa amepanga au US pamenoga?
Ndio maana anaongozana na mjomba wa Msoga; akamfanyia mpango aonane na baba yake Rihanna!! Watu wa kubembea hawa!!Anapenda raha mama.
CHeti elimu? Unaijua maana ya elimu? Uonavyo huyo Samia kaelimika? Nincompoop!Ukute hata passport huna,elimu yake kaipatia nje,akiwa makamu wa rais kaenda sana nje kumuwakilisha msukuma,Hana ushamba wa ulaya Wala marekani..pole kwa chuki yako kwa 'waswahili'..japo unatumia lugha yao!!!
Umeelimika wewe na Bibi yakoCHeti elimu? Unaijua maana ya elimu? Uonavyo huyo Samia kaelimika? Nincompoop!