Rais Samia kutana na viongozi wa upinzani mapema zaidi

Rais Samia kutana na viongozi wa upinzani mapema zaidi

Wanaomshauri Rais Samia wamshauri akutane na viongozi wa upinzani sasa na akisubiri zaidi ndiyo itakuwa ngumu zaidi.

Kwa sasa ni rahisi kukutana nao na kuwaambia umma ni kujadili corona, katiba, kujuana, amani ya nchi na miradi ya nchi.

Usisubiri ukafanya mkutano wakati upinzani wana nguvu zaidi maana kila siku madai yanaongezeka
Akutane nao kufanya nini?. Sidhani kama mama ana muda wa kupoteza na wapuuzi na magaidi.
 
Haina haja ikiwezekana avifute vyama vya upinzani kabisa ili asileteww choko choko
Wanaomshauri Rais Samia wamshauri akutane na viongozi wa upinzani sasa na akisubiri zaidi ndiyo itakuwa ngumu zaidi.

Kwa sasa ni rahisi kukutana nao na kuwaambia umma ni kujadili corona, katiba, kujuana, amani ya nchi na miradi ya nchi.

Usisubiri ukafanya mkutano wakati upinzani wana nguvu zaidi maana kila siku madai yanaongezeka
 
Usimwamshe aliyelala!! Achana naye aendelee kudemka atakuja kujikuta ameshazidiwa
Mimi naona poa tu kwa sasa, ccm choko choko upinzani choko choko, tozo vilio, safi sana
 
Wanaomshauri Rais Samia wamshauri akutane na viongozi wa upinzani sasa na akisubiri zaidi ndiyo itakuwa ngumu zaidi.

Kwa sasa ni rahisi kukutana nao na kuwaambia umma ni kujadili corona, katiba, kujuana, amani ya nchi na miradi ya nchi.

Usisubiri ukafanya mkutano wakati upinzani wana nguvu zaidi maana kila siku madai yanaongezeka

Yametimia!!!
 
Wanaomshauri Rais Samia wamshauri akutane na viongozi wa upinzani sasa na akisubiri zaidi ndiyo itakuwa ngumu zaidi.

Kwa sasa ni rahisi kukutana nao na kuwaambia umma ni kujadili corona, katiba, kujuana, amani ya nchi na miradi ya nchi.

Usisubiri ukafanya mkutano wakati upinzani wana nguvu zaidi maana kila siku madai yanaongezeka

Nilitoa mawazo haya July 2021 naona sasa Raisi amesikia



 
Back
Top Bottom