Rais Samia kutembelea Geita kesho 22.02.2022

Rais Samia kutembelea Geita kesho 22.02.2022

Electronica

Member
Joined
Oct 10, 2021
Posts
36
Reaction score
29
Nimefarijika kiasi kusikia Mhe. Samia atatembelea mkoani Geita siku ya kesho tarehe 22.02.2022.

Ni matumaini yangu kuwa mkutano wake na viongozi pamoja na wananchi utaleta nafuu au mwanga wa utatuzi wa changamoto ya matukio ya kupoteza uhai yanayoendelea kuikumba Geita katika siku za hivi karibuni.

Mungu awatangulie wanageita.
 
Nadhani baada ya kuongea na wadau wa madini kesho pale Mwl. Nyerere International Conversation Centre ndipo ataenda Geita.
 
Anakwenda Katanga huyo ni lazima, Mikataba ishasainiwa Ulaya, sasa kugawa yetu cobalt tu kwa Mzungu, kumbuka kasema kapewa ” zawadi ya hela Ufaransa bure” !
 
Mama yetu pumzika....juzi tu umetoka safari ndefu ya ziara ya siku kumi Ulaya, kabla ulikuwa ziara ya siku Saba mkoani Mara.

Watumishi bado tunakuhitaji sana. Tunakuombea safari njema na afya njema.
 
Ndiyo maana Mungu hakutaka mwanamke kuwa mtawala. Marais wote wanaume walifuatana na wake zao ziarani, lakini huyu mama keshampiga teke mumewe maana yeye anatawala Hadi wanaume Sasa labda apate mfalme ayatollah ndo ataongozana nae.
 
Nimefarijika kiasi kusikia Mhe. Samia atatembelea mkoani Geita siku ya kesho tarehe 22.02.2022.

Ni matumaini yangu kuwa mkutano wake na viongozi pamoja na wananchi utaleta nafuu au mwanga wa utatuzi wa changamoto ya matukio ya kupoteza uhai yanayoendelea kuikumba Geita katika siku za hivi karibuni.

Mungu awatangulie wanageita.
Pengine na matukio ya ajabu ajabu yatapungua Geita, all the best Samia
 
Mh. Rais anahitaji kupumzika jamani, kaaah, mpanga ratiba za Mh. Rais wetu, chungeni msije kumchosa jamani, plz plz, huyu ni mwanadamu, sio mashine, Mh. Rais katoka safari ndefu, inafaa apate hata siku 2 au 3 apumzike tu
 
Back
Top Bottom