Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Kwanza nikupongeza sana kwa kuupiga mwingi mpaka unaotea. Kwa wale waliokaa Tabora wanajua hadithi ya mcheza maarufu wa mpira wa miguu kutokea mkoani humu YUNGE MWANA NSALI huyu inasemakana alikuwa anauwezo wa kupiga faulo akikonga mwamba inaenda kufunga upande wao.
Mama unapigiwa kila aina ya hadithi na simulizi na huku vifijo vikiwa kwako.
Tunaambiwa unaupiga mwingi sijui upi huo maana upinzani haupo Bungeni na mtaani umeurudisha tunduni utulie kwanza maana unalima shamba hawa ndsge upinzani wanaweza kupekua mbegu na kuzila na shamba letu UCHUMI likanyauka.
Kuna maneno yanapita eti wengi ndani ya mfumo walikuwa hawataki uwe kiongozi mkuu mara baada ya kiongozi wetu mpendwa(sio kwa wote) JPM afariki dunia yanasemwa mengi hatimaye umechukua utawala na uongozi. Kama kweli yapo kwanini unaendelea kufanya makosa na unakibali kuchonganishwa na Rai wako?
Kuna haja gani kila kitu kikitoka serikalini kwako Wananchi wanakipinga? Kulikuwa na ulazima gani wa kufanya kazi na Nchemba ama Ndugulile hawa mliwafukuza katika ile Awamu ya Tano kuna kipi kinakufanya uwaamini hawa. 2025 si mbali ni mola kutupa pumzi ya kutosha tunaingia katika patashika ya uchaguzi mkuu.
Nakuhakikishia mimi ukiendelea kukumbatia Wagombea wenzio ndani ya serikali yako tegemea Wazalendo wanyonge watakupa salaam zao.
Tunakwenda kufanya uchaguzi wa kizazi kipya kinachotumia mitandao inakuwaje sehemu waliozaliwa wanaijua wewe una ruhusu ichezewe.
Mtoe Nchemba mpe hata wizara nyingine tofauti na hiyo wizara ya Fedha huyu Nchemba kumbuka 2015 mlisumbuana nae kiasi cha kuchafua utalii wa ndani kwa kupaka mawe majina yake.
Kama una mapenzi na Watanzania angalia watu wa kufanya nao kazi ndani yako humo una vifutu na Kobiko wametulia tu wanachofanya wanakuchonganisha na raia.
Unaupiga mwingi usije kuwa kama YUNGE.
Mama unapigiwa kila aina ya hadithi na simulizi na huku vifijo vikiwa kwako.
Tunaambiwa unaupiga mwingi sijui upi huo maana upinzani haupo Bungeni na mtaani umeurudisha tunduni utulie kwanza maana unalima shamba hawa ndsge upinzani wanaweza kupekua mbegu na kuzila na shamba letu UCHUMI likanyauka.
Kuna maneno yanapita eti wengi ndani ya mfumo walikuwa hawataki uwe kiongozi mkuu mara baada ya kiongozi wetu mpendwa(sio kwa wote) JPM afariki dunia yanasemwa mengi hatimaye umechukua utawala na uongozi. Kama kweli yapo kwanini unaendelea kufanya makosa na unakibali kuchonganishwa na Rai wako?
Kuna haja gani kila kitu kikitoka serikalini kwako Wananchi wanakipinga? Kulikuwa na ulazima gani wa kufanya kazi na Nchemba ama Ndugulile hawa mliwafukuza katika ile Awamu ya Tano kuna kipi kinakufanya uwaamini hawa. 2025 si mbali ni mola kutupa pumzi ya kutosha tunaingia katika patashika ya uchaguzi mkuu.
Nakuhakikishia mimi ukiendelea kukumbatia Wagombea wenzio ndani ya serikali yako tegemea Wazalendo wanyonge watakupa salaam zao.
Tunakwenda kufanya uchaguzi wa kizazi kipya kinachotumia mitandao inakuwaje sehemu waliozaliwa wanaijua wewe una ruhusu ichezewe.
Mtoe Nchemba mpe hata wizara nyingine tofauti na hiyo wizara ya Fedha huyu Nchemba kumbuka 2015 mlisumbuana nae kiasi cha kuchafua utalii wa ndani kwa kupaka mawe majina yake.
Kama una mapenzi na Watanzania angalia watu wa kufanya nao kazi ndani yako humo una vifutu na Kobiko wametulia tu wanachofanya wanakuchonganisha na raia.
Unaupiga mwingi usije kuwa kama YUNGE.