Rais Samia kuwa makini, una upinzani ndani ya CCM yako

Rais Samia kuwa makini, una upinzani ndani ya CCM yako

Rufiji dam

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2020
Posts
4,107
Reaction score
9,671
Kwanza nikupongeza sana kwa kuupiga mwingi mpaka unaotea. Kwa wale waliokaa Tabora wanajua hadithi ya mcheza maarufu wa mpira wa miguu kutokea mkoani humu YUNGE MWANA NSALI huyu inasemakana alikuwa anauwezo wa kupiga faulo akikonga mwamba inaenda kufunga upande wao.

Mama unapigiwa kila aina ya hadithi na simulizi na huku vifijo vikiwa kwako.

Tunaambiwa unaupiga mwingi sijui upi huo maana upinzani haupo Bungeni na mtaani umeurudisha tunduni utulie kwanza maana unalima shamba hawa ndsge upinzani wanaweza kupekua mbegu na kuzila na shamba letu UCHUMI likanyauka.

Kuna maneno yanapita eti wengi ndani ya mfumo walikuwa hawataki uwe kiongozi mkuu mara baada ya kiongozi wetu mpendwa(sio kwa wote) JPM afariki dunia yanasemwa mengi hatimaye umechukua utawala na uongozi. Kama kweli yapo kwanini unaendelea kufanya makosa na unakibali kuchonganishwa na Rai wako?

Kuna haja gani kila kitu kikitoka serikalini kwako Wananchi wanakipinga? Kulikuwa na ulazima gani wa kufanya kazi na Nchemba ama Ndugulile hawa mliwafukuza katika ile Awamu ya Tano kuna kipi kinakufanya uwaamini hawa. 2025 si mbali ni mola kutupa pumzi ya kutosha tunaingia katika patashika ya uchaguzi mkuu.

Nakuhakikishia mimi ukiendelea kukumbatia Wagombea wenzio ndani ya serikali yako tegemea Wazalendo wanyonge watakupa salaam zao.

Tunakwenda kufanya uchaguzi wa kizazi kipya kinachotumia mitandao inakuwaje sehemu waliozaliwa wanaijua wewe una ruhusu ichezewe.

Mtoe Nchemba mpe hata wizara nyingine tofauti na hiyo wizara ya Fedha huyu Nchemba kumbuka 2015 mlisumbuana nae kiasi cha kuchafua utalii wa ndani kwa kupaka mawe majina yake.

Kama una mapenzi na Watanzania angalia watu wa kufanya nao kazi ndani yako humo una vifutu na Kobiko wametulia tu wanachofanya wanakuchonganisha na raia.

Unaupiga mwingi usije kuwa kama YUNGE.
 
Hatariiii
giphy.gif
 
Kwanza nikupongeza sana kwa kuupiga mwingi mpaka unaotea. Kwa wale waliokaa Tabora wanajua hadithi ya mcheza maarufu wa mpira wa miguu kutokea mkoani humu YUNGE MWANA NSALI huyu inasemakana alikuwa anauwezo wa kupiga faulo akikonga mwamba inaenda kufunga upande wao.

Mama unapigiwa kila aina ya hadithi na simulizi na huku vifijo vikiwa kwako.

Tunaambiwa unaupiga mwingi sijui upi huo maana upinzani haupo Bungeni na mtaani umeurudisha tunduni utulie kwanza maana unalima shamba hawa ndsge upinzani wanaweza kupekua mbegu na kuzila na shamba letu UCHUMI likanyauka.

Kuna maneno yanapita eti wengi ndani ya mfumo walikuwa hawataki uwe kiongozi mkuu mara baada ya kiongozi wetu mpendwa(sio kwa wote) JPM afariki dunia yanasemwa mengi hatimaye umechukua utawala na uongozi. Kama kweli yapo kwanini unaendelea kufanya makosa na unakibali kuchonganishwa na Rai wako?!

Kuna haja gani kila kitu kikitoka serikalini kwako Wananchi wanakipinga? Kulikuwa na ulazima gani wa kufanya kazi na Nchemba ama Ndugulile hawa mliwafukuza katika ile Awamu ya Tano kuna kipi kinakufanya uwaamini hawa. 2025 si mbali ni mola kutupa pumzi ya kutosha tunaingia katika patashika ya uchaguzi mkuu.

Nakuhakikishia mimi ukiendelea kukumbatia Wagombea wenzio ndani ya serikali yako tegemea Wazalendo wanyonge watakupa salaam zao.

Tunakwenda kufanya uchaguzi wa kizazi kipya kinachotumia mitandao inakuwaje sehemu waliozaliwa wanaijua wewe una ruhusu ichezewe.

Mtoe Nchemba mpe hata wizara nyingine tofauti na hiyo wizara ya Fedha huyu Nchemba kumbuka 2015 mlisumbuana nae kiasi cha kuchafua utalii wa ndani kwa kupaka mawe majina yake.

Kama una mapenzi na Watanzania angalia watu wa kufanya nao kazi ndani yako humo una Vifutu na Kobiko wametulia tu wanachofanya wanakuchonganisha na raia.

Unaupiga mwingi usije kuwa kama YUNGE.
Unamaanisha kikulacho kinguoni au ?
 
Kwanza nikupongeza sana kwa kuupiga mwingi mpaka unaotea. Kwa wale waliokaa Tabora wanajua hadithi ya mcheza maarufu wa mpira wa miguu kutokea mkoani humu YUNGE MWANA NSALI huyu inasemakana alikuwa anauwezo wa kupiga faulo akikonga mwamba inaenda kufunga upande wao.

Mama unapigiwa kila aina ya hadithi na simulizi na huku vifijo vikiwa kwako.

Tunaambiwa unaupiga mwingi sijui upi huo maana upinzani haupo Bungeni na mtaani umeurudisha tunduni utulie kwanza maana unalima shamba hawa ndsge upinzani wanaweza kupekua mbegu na kuzila na shamba letu UCHUMI likanyauka.

Kuna maneno yanapita eti wengi ndani ya mfumo walikuwa hawataki uwe kiongozi mkuu mara baada ya kiongozi wetu mpendwa(sio kwa wote) JPM afariki dunia yanasemwa mengi hatimaye umechukua utawala na uongozi. Kama kweli yapo kwanini unaendelea kufanya makosa na unakibali kuchonganishwa na Rai wako?!

Kuna haja gani kila kitu kikitoka serikalini kwako Wananchi wanakipinga? Kulikuwa na ulazima gani wa kufanya kazi na Nchemba ama Ndugulile hawa mliwafukuza katika ile Awamu ya Tano kuna kipi kinakufanya uwaamini hawa. 2025 si mbali ni mola kutupa pumzi ya kutosha tunaingia katika patashika ya uchaguzi mkuu.

Nakuhakikishia mimi ukiendelea kukumbatia Wagombea wenzio ndani ya serikali yako tegemea Wazalendo wanyonge watakupa salaam zao.

Tunakwenda kufanya uchaguzi wa kizazi kipya kinachotumia mitandao inakuwaje sehemu waliozaliwa wanaijua wewe una ruhusu ichezewe.

Mtoe Nchemba mpe hata wizara nyingine tofauti na hiyo wizara ya Fedha huyu Nchemba kumbuka 2015 mlisumbuana nae kiasi cha kuchafua utalii wa ndani kwa kupaka mawe majina yake.

Kama una mapenzi na Watanzania angalia watu wa kufanya nao kazi ndani yako humo una Vifutu na Kobiko wametulia tu wanachofanya wanakuchonganisha na raia.

Unaupiga mwingi usije kuwa kama YUNGE.
Mama yangu kipenzi Samia haya tunayoyaandika humu hatubahatishi.

Simamia utawala wa haki. Haki haitakuangusha.

Usipendelee kundi bali pendelea Tanzania

Unaposhauriwa itapendeza uuhakiki ushauri huo.

Tunakupenda
Tunakuombea
Tunaamini Mungu ana kusudi jema kwa Tanzania kupitia uongozi wako.
 
Kwanza nikupongeza sana kwa kuupiga mwingi mpaka unaotea. Kwa wale waliokaa Tabora wanajua hadithi ya mcheza maarufu wa mpira wa miguu kutokea mkoani humu YUNGE MWANA NSALI huyu inasemakana alikuwa anauwezo wa kupiga faulo akikonga mwamba inaenda kufunga upande wao.

Mama unapigiwa kila aina ya hadithi na simulizi na huku vifijo vikiwa kwako.

Tunaambiwa unaupiga mwingi sijui upi huo maana upinzani haupo Bungeni na mtaani umeurudisha tunduni utulie kwanza maana unalima shamba hawa ndsge upinzani wanaweza kupekua mbegu na kuzila na shamba letu UCHUMI likanyauka.

Kuna maneno yanapita eti wengi ndani ya mfumo walikuwa hawataki uwe kiongozi mkuu mara baada ya kiongozi wetu mpendwa(sio kwa wote) JPM afariki dunia yanasemwa mengi hatimaye umechukua utawala na uongozi. Kama kweli yapo kwanini unaendelea kufanya makosa na unakibali kuchonganishwa na Rai wako?!

Kuna haja gani kila kitu kikitoka serikalini kwako Wananchi wanakipinga? Kulikuwa na ulazima gani wa kufanya kazi na Nchemba ama Ndugulile hawa mliwafukuza katika ile Awamu ya Tano kuna kipi kinakufanya uwaamini hawa. 2025 si mbali ni mola kutupa pumzi ya kutosha tunaingia katika patashika ya uchaguzi mkuu.

Nakuhakikishia mimi ukiendelea kukumbatia Wagombea wenzio ndani ya serikali yako tegemea Wazalendo wanyonge watakupa salaam zao.

Tunakwenda kufanya uchaguzi wa kizazi kipya kinachotumia mitandao inakuwaje sehemu waliozaliwa wanaijua wewe una ruhusu ichezewe.

Mtoe Nchemba mpe hata wizara nyingine tofauti na hiyo wizara ya Fedha huyu Nchemba kumbuka 2015 mlisumbuana nae kiasi cha kuchafua utalii wa ndani kwa kupaka mawe majina yake.

Kama una mapenzi na Watanzania angalia watu wa kufanya nao kazi ndani yako humo una Vifutu na Kobiko wametulia tu wanachofanya wanakuchonganisha na raia.

Unaupiga mwingi usije kuwa kama YUNGE.
Nafikiri au nahisi Mama yetu huyu katumia mitego ambayo inajumuisha kila mtanzania kuwa kama mashahidi! Ili atakapoanza kufurumusha na kuharibu mifumo ya kundi fulani basi vidole vikose pa kunyooshea!
Nadhani anataarifa za kundi la hovyo sana ndani ya CCM tena linalo yataka madaraka!
Sasa mtego uko hivi - Kawapa madaraka tena kona tamu sana na ni mbaya sana kwa mhusika! Kwenye fedha ukiwa mpenda fedha na madaraka lazima utatenda uovu tu hapa! Hoja ya Zungu nahisi ilikuwa ni matokeo ya research ya namna ya kumdaka mtu! Ukilinganisha rangi ya tai, skafu na neno pendwa la waziri yule basi bingeni wakaibatiza TOZO jina UZALENDO! Kisaikolojia hii ilimdaka kirahisi! Akakabidhiwa apigie promo! Na yeye waziri bila kujua akaishikilia kidedea ajenda ikawa sheria! Bila kujua kaandaliwa walalamishi milioni sitini ambao watakuwa na ushahidi wa wazi na wapamoja!
Sasa wananchi wamegoma, hawataki sasa! Na mbaya zaidi hawana imani na WAZIRI HUSIKA!
 
Mama yangu kipenzi Samia haya tunayoyaandika humu hatubahatishi.

Simamia utawala wa haki. Haki haitakuangusha.

Usipendelee kundi bali pendelea Tanzania

Unaposhauriwa itapendeza uuhakiki ushauri huo.

Tunakupenda
Tunakuombea
Tunaamini Mungu ana kusudi jema kwa Tanzania kupitia uongozi wako.
Mkuu usiseme eti tunakupenda mm simpendi unampenda wewe na family yako usitusemee.
 
Kama una mapenzi na Watanzania angalia watu wa kufanya nao kazi ndani yako humo una Vifutu na Kobiko wametulia tu wanachofanya wanakuchonganisha na raia.
Mama sikia lakuambiwa lasivyo wameanza kukufunua mchana kweupe ni bora ungechagua mtu ambae hajawahi kuwa hata serikalini kulikoni hao akina muchemba yaani nakukaa kote serikalini bado ni mshamba anataka aturudishe tulikotoka ,ni bora ukafanya kitu chenye tija miaka hii minne iliobaki kuliko kufanya vihoja kwa miaka kumi itakua umekwamisha sana watanzania ,mama vaa viatu vyako hali za watanzania unazijua
 
Kwanza nikupongeza sana kwa kuupiga mwingi mpaka unaotea. Kwa wale waliokaa Tabora wanajua hadithi ya mcheza maarufu wa mpira wa miguu kutokea mkoani humu YUNGE MWANA NSALI huyu inasemakana alikuwa anauwezo wa kupiga faulo akikonga mwamba inaenda kufunga upande wao.

Mama unapigiwa kila aina ya hadithi na simulizi na huku vifijo vikiwa kwako.

Tunaambiwa unaupiga mwingi sijui upi huo maana upinzani haupo Bungeni na mtaani umeurudisha tunduni utulie kwanza maana unalima shamba hawa ndsge upinzani wanaweza kupekua mbegu na kuzila na shamba letu UCHUMI likanyauka.

Kuna maneno yanapita eti wengi ndani ya mfumo walikuwa hawataki uwe kiongozi mkuu mara baada ya kiongozi wetu mpendwa(sio kwa wote) JPM afariki dunia yanasemwa mengi hatimaye umechukua utawala na uongozi. Kama kweli yapo kwanini unaendelea kufanya makosa na unakibali kuchonganishwa na Rai wako?

Kuna haja gani kila kitu kikitoka serikalini kwako Wananchi wanakipinga? Kulikuwa na ulazima gani wa kufanya kazi na Nchemba ama Ndugulile hawa mliwafukuza katika ile Awamu ya Tano kuna kipi kinakufanya uwaamini hawa. 2025 si mbali ni mola kutupa pumzi ya kutosha tunaingia katika patashika ya uchaguzi mkuu.

Nakuhakikishia mimi ukiendelea kukumbatia Wagombea wenzio ndani ya serikali yako tegemea Wazalendo wanyonge watakupa salaam zao.

Tunakwenda kufanya uchaguzi wa kizazi kipya kinachotumia mitandao inakuwaje sehemu waliozaliwa wanaijua wewe una ruhusu ichezewe.

Mtoe Nchemba mpe hata wizara nyingine tofauti na hiyo wizara ya Fedha huyu Nchemba kumbuka 2015 mlisumbuana nae kiasi cha kuchafua utalii wa ndani kwa kupaka mawe majina yake.

Kama una mapenzi na Watanzania angalia watu wa kufanya nao kazi ndani yako humo una vifutu na Kobiko wametulia tu wanachofanya wanakuchonganisha na raia.

Unaupiga mwingi usije kuwa kama YUNGE.
Hakuna rais atokaye ccm ambaye hawezi kuwa na upinzani ndani ya ccm labda hiyo inchi iwe iko mbinguni.
 
Hiyo ni kawaida......
mbona unaongea kama vitu hivi ni vipya ndani ya CCM
 
Naye kama hayo macho yake yamelala jumla shauri yake!
 
Kuna haja gani kila kitu kikitoka serikalini kwako Wananchi wanakipinga? Kulikuwa na ulazima gani wa kufanya kazi na Nchemba ama Ndugulile hawa mliwafukuza katika ile Awamu ya Tano kuna kipi kinakufanya uwaamini hawa. 2025 si mbali ni mola kutupa pumzi ya kutosha tunaingia katika patashika ya uchaguzi mkuu.

Nakuhakikishia mimi ukiendelea kukumbatia Wagombea wenzio ndani ya serikali yako tegemea Wazalendo wanyonge watakupa salaam zao.

Tunakwenda kufanya uchaguzi wa kizazi kipya kinachotumia mitandao inakuwaje sehemu waliozaliwa wanaijua wewe una ruhusu ichezewe.

Kuna kundi kubwa la kuuchukia uongozi wake linatengenezwa hivi sasa, she is from Zanzibar she does not see how tricks are being played on her


 
Kikwete alishindana na Mkapa na bado mkapa akampa wizara,

Mzee au umezaliwa Jana hujui historia.

Magufuli mwenyewe alikua anapingana na mawazo ya JK na bado alikua anapata nafasi ya kulitumikia Taifa.

Kina kitila, Dr. Slaa na wengineo walipinga CCM ila nao ni sehemu ya serikali.

CCM Huwa inaheshimu uhuru wa kutoa mawazo.
 
Game ngumu sana hii kwa mama aisee lazima atumie mlango wa sita wa fahamu.
 
Back
Top Bottom