Rais Samia kuwa makini, una upinzani ndani ya CCM yako

Mkuu usiseme eti tunakupenda mm simpendi unampenda wewe na family yako usitusemee.
Bora mama kuliko yule muuaji !!! Watz wenye akili wanamkubali mama samia ila wapumbavu kutoka kanda ileeee wanamchikia
 
Analijua hilo...hata Urais walitaka wamruke....CCM si watu...leo hii wanamkana mwendazake kana kwamba hakuwa jamaa yao...hawa watu siyo kabisa
 

Kitakacho muokoa Rais Samia ndani ya CCM ni chama Cha mapinduzi mwaka 2025, kuprint fomu moja tu ya mgombea wao. Vinginevyo kuna mtifuano mkubwa ndani ya chama, ambapo kupata zile asilimia zao 99.9% itakuwa ni miujiza.​

 
Bora mama kuliko yule muuaji !!! Watz wenye akili wanamkubali mama samia ila wapumbavu kutoka kanda ileeee wanamchikia
Kwa akili yako unajidanganya wote wanao mpinga ni wakanda ile,basi wewe ndio mpumbavu wa dunia,halfu usilazimishe tumkubali wtz wote, kama wewe ni mnufaika kaa kimya, nyie ndio mnasababisha tuletewe makodi ya hovyo hovyo.
 
Haya makundi yameibuka lini mbona mwendazake aliyasiginia mbali chama kikawa kimoja? Mama ataendelea na awamu ya pili, isiwe kama yule spika aliyeongoza muhula mmoja
 
Hizi nafasi zenye msamaha wa kodi zinagombaniwa. Suluhisho ni wote tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…