Rais Samia kuwa mwangalifu, hawa wanaomsema Hayati Magufuli ndio watakusema ukiondoka madarakani

Rais Samia kuwa mwangalifu, hawa wanaomsema Hayati Magufuli ndio watakusema ukiondoka madarakani

nyboma

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2021
Posts
2,308
Reaction score
7,366
Rejea kichwa cha habari

Siku ukiondoka madarakani utasemwa sana, na katika mwaka wako wa uongozi umeonesha udhaifu tayari hasa katika suala zima la ROYAL TOUR, inasemekana watu wamepiga pesa na kukuachia msala maana hatimiliki iko chini ya Peter Greenberg na Tanzania haijanufaika na chochote zaidi ya wewe kutumika kama muigizaji tu (Refer Cheo chako katika nchi hii).

Pili hadi sasa hakuna kitu chochote ulicho initiate kama Rais wa taifa hili zaidi ya Kuzuru nchi za magharibi kila uchwao.

Mwisho, Usipowakemea hawa watu jua ya kwamba watu hawa watageuza upanga kwako baada ya kuachia madaraka 2025.
 
Kusemwa kawaida mleta mada. Hata wewe unasemwa Sana mtaani kwako hujijui tu. As long as yeye ni binadamu atasemwa tu, kwahiyo msimtishe mama wa watu.
 
Kusemwa kawaida mleta mada. Hata wewe unasemwa Sana mtaani kwako hujijui tu. As long as yeye ni binadamu atasemwa tu, kwahiyo msimtishe mama wa watu.
Yeye ni tofouti na mimi, atapoteza nafasi aliyo nayo kumbuka hilo
 
Yeye ni tofouti na mimi, atapoteza nafasi aliyo nayo kumbuka hilo
Kumekuwa na minong'ono baina ya wasaka urais kuwa huyu mama ni mzanzibar. Yawezekana wanampeleka chaka ili achukiwe na ipatikane sababu muhimu ya kumshauri asigombee 2025
 
Kumekuwa na minong'ono baina ya wasaka urais kuwa huyu mama ni mzanzibar. Yawezekana wanampeleka chaka ili achukiwe na ipatikane sababu muhimu ya kumshauri asigombee 2025
Kwa ufupi 2025 ina mengi Mungu atupe uhai…
 
Rejea kichwa cha habari

Siku ukiondoka madarakani utasemwa sana, na katika mwaka wako wa uongozi umeonesha udhaifu tayari hasa katika suala zima la ROYAL TOUR, inasemekana watu wamepiga pesa na kukuachia msala maana hatimiliki iko chini ya Peter Greenberg na Tanzania haijanufaika na chochote zaidi ya wewe kutumika kama muigizaji tu (Refer Cheo chako katika nchi hii).

Pili hadi sasa hakuna kitu chochote ulicho initiate kama Rais wa taifa hili zaidi ya Kuzuru nchi za magharibi kila uchwao.

Mwisho, Usipowakemea hawa watu jua ya kwamba watu hawa watageuza upanga kwako baada ya kuachia madaraka 2025..
Mama akiona mzungu anakuwa mzungu zaidi yao... na kusema sema watu wa Pwani ni suna ye mwenyewe mdomo mwepesi kweli kupayuka.
 
Wamseme mara ngapi.Mchana anacheka nao, usiku wana mng'ong'a. Atavuna apandacho.
 
Rejea kichwa cha habari

Siku ukiondoka madarakani utasemwa sana, na katika mwaka wako wa uongozi umeonesha udhaifu tayari hasa katika suala zima la ROYAL TOUR, inasemekana watu wamepiga pesa na kukuachia msala maana hatimiliki iko chini ya Peter Greenberg na Tanzania haijanufaika na chochote zaidi ya wewe kutumika kama muigizaji tu (Refer Cheo chako katika nchi hii).

Pili hadi sasa hakuna kitu chochote ulicho initiate kama Rais wa taifa hili zaidi ya Kuzuru nchi za magharibi kila uchwao.

Mwisho, Usipowakemea hawa watu jua ya kwamba watu hawa watageuza upanga kwako baada ya kuachia madaraka 2025..
Kama nchi kuna kitu tumekosea,halafu ujinga wetu watanzania 2025 atapita kwa kishindo na hakuna kitu mtamfanya
 
Acheni kumtisha mama anaupiga mwingi,hao wanaomsema vibaya jpm wakumbuke tu jamaa ndio raisi wa kwanza mzalendo kuwai kutokea katika nchi ya tanzania.
 
Rejea kichwa cha habari

Siku ukiondoka madarakani utasemwa sana, na katika mwaka wako wa uongozi umeonesha udhaifu tayari hasa katika suala zima la ROYAL TOUR, inasemekana watu wamepiga pesa na kukuachia msala maana hatimiliki iko chini ya Peter Greenberg na Tanzania haijanufaika na chochote zaidi ya wewe kutumika kama muigizaji tu (Refer Cheo chako katika nchi hii).

Pili hadi sasa hakuna kitu chochote ulicho initiate kama Rais wa taifa hili zaidi ya Kuzuru nchi za magharibi kila uchwao.

Mwisho, Usipowakemea hawa watu jua ya kwamba watu hawa watageuza upanga kwako baada ya kuachia madaraka 2025..
Ondoka usemwe.
 
Back
Top Bottom