Rais Samia kuzungumza na Machifu wa Tanzania, 20 Julai, 2024

Rais Samia kuzungumza na Machifu wa Tanzania, 20 Julai, 2024

Yaani huyu bi Chura kiziwi, uchaguzi umemtoa subira kabisa..kwa gharama yoyote anataka ashinde ndio maana anajaribu kujiweka karibu na kila kundi lenye influence kwenye jamii..Namkumbusha tu SIR GOD nae ana nafasi yake..tena kubwa tu
 
Atambue kuwa kuna watanzania wanaopitia Maisha magumu mno. Pili ni kwanini ccm huwa ni majizi ya Kura? Tatu, ni kwanini utekaji umerudi Kwa Kasi?
 
Yaani huyu bi Chura kiziwi, uchaguzi umemtoa subira kabisa..kwa gharama yoyote anataka ashinde ndio maana anajaribu kujiweka karibu na kila kundi lenye influence kwenye jamii..Namkumbusha tu SIR GOD nae ana nafasi yake..tena kubwa tu
Nasikia watumishi na hata wanajeshi wanapandishwa madaraja ya mshahara kwa kiwango ambacho hatujawahi kushuhudia.
 
Back
Top Bottom