OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Jamhuri ya Afrika Kusini leo jioni kwa ziara ya kikazi ya siku moja kushiriki hafla ya uapisho wa Rais Mteule, Matamela Cyril Ramaphosa ambaye amechaguliwa kuwa Rais wa Nchi hiyo.
Rais Mteule Matamela Cyril Ramaphosa anatarajiwa kuapishwa June 19, 2024.
PIA SOMA
- Afrika Kusini: Cyril Ramaphosa achaguliwa kuwa Rais kwa awamu ya pili
- Rais Samia atua Afrika Kusini kushiriki uapisho wa Ramaphosa hapo kesho
- Rais Samia arejea nchini akitokea Afrika Kusini kuhudhuria uapisho wa Rais Cyril Ramaphosa
Rais Mteule Matamela Cyril Ramaphosa anatarajiwa kuapishwa June 19, 2024.
PIA SOMA
- Afrika Kusini: Cyril Ramaphosa achaguliwa kuwa Rais kwa awamu ya pili
- Rais Samia atua Afrika Kusini kushiriki uapisho wa Ramaphosa hapo kesho
- Rais Samia arejea nchini akitokea Afrika Kusini kuhudhuria uapisho wa Rais Cyril Ramaphosa