Rais Samia: Magereza mna ardhi kubwa, mnaposhindwa kuitumia wananchi wanavamia

Rais Samia: Magereza mna ardhi kubwa, mnaposhindwa kuitumia wananchi wanavamia

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka magereza kulinda maeneo yao ili kuepuka migogoro. Amekosoa tabia ya kugawiana maeneo kwa maaskari magereza ambapo amesema wananchi hujenga wakiona wengine wanajenga.

Rais amewataka Magereza watenge maeneo yatakayotumika kama zawadi kwa wastaafu wa magereza na sio kugawa kiholela. Amesema mwananchi hawezi kujijengea tu katika eneo la jeshi.
 
Magereza wangejiongeza vizuri ingekua veta part two. Badala ya kurundika watu na kukata mitipekee wangeanzisha mafunzo ya upishi,uselema,ushonaji nguo,viatu etc
Kwakweli
 
Magereza tatizo lao wapo busy kuwarusha rusha wafungwa kichura chura na adhabu za kikatili kuliko kubuni miradi na kilimo cha mbogamboga.
 
Magereza tatizo lao wapo busy kuwarusha rusha wafungwa kichura chura na adhabu za kikatili kuliko kubuni miradi na kilimo cha mbogamboga.
Yapo magereza ya kilimo mbona
Wafungwa wanapigishwa kazi tu
Tena ole wako usijitele ukapelekwa magereza hayo

Ova
 
Back
Top Bottom