Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kwa bajeti ya mwaka wa fedha 2022/23 wameongeza fedha kwa majeshi ya Ulinzi na Usalama ili wapunguze muda wanaotumia kushughulika na shughuli za uzalishaji.
Rais amesema hayo alipokuwa Msalato, Dodoma akizindua Kiwanda cha Samani cha Jeshi la Magereza ambapo amesema shughuli za uzalishaji zinapunguza muda wa majeshi kujikita kwenye shughuli za medani.
Aidha amewataka Wakuu wa Majeshi Nchini kujifunza kutoka kwa majeshi mengine duniani namna ambavyo wanajihusha na shughuli za uzalishaji bila kuathiri shughuli zao za msing.
Rais amesema hayo alipokuwa Msalato, Dodoma akizindua Kiwanda cha Samani cha Jeshi la Magereza ambapo amesema shughuli za uzalishaji zinapunguza muda wa majeshi kujikita kwenye shughuli za medani.
Aidha amewataka Wakuu wa Majeshi Nchini kujifunza kutoka kwa majeshi mengine duniani namna ambavyo wanajihusha na shughuli za uzalishaji bila kuathiri shughuli zao za msing.