Rais Samia, Makatibu Tawala wa Wilaya warudishe pesa za fanicha walizokula

Rais Samia, Makatibu Tawala wa Wilaya warudishe pesa za fanicha walizokula

BUCHANAGANDE

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
1,512
Reaction score
480
Salaam katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

Mheshimiwa Rais naomba nikujulishe kuwa ile pesa Milioni kumi na sita (16,000,000/=) ulizotoa kwa kila Wilaya Kwa Makatibu Tawala ili wanunue FANICHA katika Nyumba wanazoishi wengi wao hawajanunua Fanicha kama lengo la fedha hizo lilivyo na hivyo wamezitafuna kwa raha zao.

Cha kushangaza wengine umewatumbua na wameondoka vituoni walikokuwa pasipo kununua Fanicha hizo na kusababisha uliowateua kukuta Fanicha zilizochoka vibaya sana.

Kwa sababu Mh. Rais una vyombo vyako ni bora uvipatie kazi ya kuhakiki kama Fanicha zimenunuliwa maana hatuwezi kukaa kimya wakati watu wachache wanahujumu malengo ya pesa za Serikali.

Naomba wazitapike pesa hizo na kama ikiwezekana napendekeza wakatwe katika mishahara yao maana walishazila.

Naomba kuwasilisha.
 
DP World nayo irudishe bandari yetu.

NB: Tumeweka siti kabisa hapa; hatutoki kwenye reli hadi Mdudubai achomoke.
 
Bandali imeuzwa unahangaika na pesa za mboga hizo, akili zako kama ticha vile
We PIMBI, mambo ya bandari kuuzwa hayanihusu.

Chukua 16,000,000 zidisha kwa Wilaya zote Tanzania then tafakari hiyo pesa ingenunua madawa kiasi gani katika Hospitali, ingeajiri vijana wangapi, ingejenga madaraja mangapi n k



Kalaghabaho!!
 
Matumizi mabaya ya fedha barabara bado changamoto,huduma za afya bado afu unatoa 16m kila wilaya kununua fanicha dah ngachoka
 
Sasa wangelinunua fanicha,Hawa wa juzi hela watakazopewa za fanicha zitafanya kazi gani?shamba la bibi hili kila mtu na ajichumie bungo lake lililoiva ajilie.
Nb: Rudisheni bandari yetu🙏
 
Salaam katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

Mheshimiwa Rais naomba nikujulishe kuwa ile pesa Milioni kumi na sita (16,000,000/=) ulizotoa kwa kila Wilaya Kwa Makatibu Tawala ili wanunue FANICHA katika Nyumba wanazoishi wengi wao hawajanunua Fanicha kama lengo la fedha hizo lilivyo na hivyo wamezitafuna kwa raha zao.

Cha kushangaza wengine umewatumbua na wameondoka vituoni walikokuwa pasipo kununua Fanicha hizo na kusababisha uliowateua kukuta Fanicha zilizochoka vibaya sana.

Kwa sababu Mh. Rais una vyombo vyako ni bora uvipatie kazi ya kuhakiki kama Fanicha zimenunuliwa maana hatuwezi kukaa kimya wakati watu wachache wanahujumu malengo ya pesa za Serikali.

Naomba wazitapike pesa hizo na kama ikiwezekana napendekeza wakatwe katika mishahara yao maana walishazila.

Naomba kuwasilisha.
Achana na huu ujinga. Mwambie arudishe Bandari zetu
 
Binti yako kampa utamu Mh Nape kapewa ukatibu tawala amekuta viti hamna mwambie akampe utamu tena ampe viti. Au natukana ndugu zangu? Si kuna uzi humu watu wanampa utamu mh ili wapewe vyeo?
 
Back
Top Bottom