Kwanini nauliza hivyo?
1. Yale yale yaliyokuwa yanatokea wakati wa Siro ndiyo hayo hayo yanatokea wakati wa Wambura eg..kupoteza, kutekwa watu, kubambika kesi etc etc. Ben Saanane, Sativa and, you mention them...
2. Muundo/utendaji wa jeshi la polisi n huo huo, tulitegemea kutakuwa na mabadiliko ya utendaji wa kazi wa polisi
3. One would expect police service and not police brutality, bado iko hivyo hivyo.
Mh Rais nawasilisha.
1. Yale yale yaliyokuwa yanatokea wakati wa Siro ndiyo hayo hayo yanatokea wakati wa Wambura eg..kupoteza, kutekwa watu, kubambika kesi etc etc. Ben Saanane, Sativa and, you mention them...
2. Muundo/utendaji wa jeshi la polisi n huo huo, tulitegemea kutakuwa na mabadiliko ya utendaji wa kazi wa polisi
3. One would expect police service and not police brutality, bado iko hivyo hivyo.
Mh Rais nawasilisha.