Rais Samia, mbona kila unaloagiza watendaji wakuu wanakugomea?

SAMIA na MAGUFULI ni kitu kimoja.

Unataka nini tena?

Au uhamia Burundi basi.
 
Asipoangalia Ndugai na Mwigulu watamsumbua sana......kuelekea 2025....muda mwalimu mzuri
 
Rais,na Wizara wanasema watu wachanjwe kwa hiari,Gwajima wanasema watu wasichanjwe kabisa.
Naona kama Watu Wanamdharau Rais SAMIA.
Gwajima anaibuka na kauli hizo baada ya kuibuka kundi la mandezi wachache ambao walianza kushinikiza chanjo ziwe za lazima,tena zaianzie kwa askari kama majaribio.
 
Yeye mwenyewe ni mtu wa mwendazake, atawaacha vipi hao wanaoonekana kuwa wasaliti?. Cha muhimu ni kuchapa kazi na kuwaamini wote wanaomzunguka.
 
Rais,na Wizara wanasema watu wachanjwe kwa hiari,Gwajima wanasema watu wasichanjwe kabisa.
Naona kama Watu Wanamdharau Rais SAMIA.
Gwajima ni mbunge kwani teuliwa na mti????? Huyo ni mbunge kachaguliwa na wananchi yupo hapo kutetea wananchi.
 
Siyo hao tu Bali Kuna wastaafu kibao wamepunjwa haki zao mfano unastaafu ukiwa ngazi ya mshahara kidato 'F' unalipwa ya chini yake kidato 'E'
 
Rais huyu ni mvivu wa kuunda serikali yake mwenyewe.

Ngoja ajivutevute, Asipouanika atautwanga mbichi.

Mwanzo alivyoingia madarakani alitangaza bei za bando zishushwe, kuna makampuni yakamgomea!
Rais anaweza tu kupanga bei za vitu nchini?
 
Bavicha nyie wajinga sana aisee!

Watu wa mwenda zake ni wapi? Yeye Samia pia si mtu wa mwenda zake?
 
Rais huyu ni mvivu wa kuunda serikali yake mwenyewe.

Ngoja ajivutevute, Asipouanika atautwanga mbichi.

Mwanzo alivyoingia madarakani alitangaza bei za bando zishushwe, kuna makampuni yakamgomea!
Hayo makampuni yalimgomea sababu ya selikali kuwa siyo ya samia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…