Rais Samia, mbona kila unaloagiza watendaji wakuu wanakugomea?

Rais Samia, mbona kila unaloagiza watendaji wakuu wanakugomea?

Rais huyu ni mvivu wa kuunda serikali yake mwenyewe.

Ngoja ajivutevute, Asipouanika atautwanga mbichi.

Mwanzo alivyoingia madarakani alitangaza bei za bando zishushwe, kuna makampuni yakamgomea!
Kuunda serikal yake ningumu wabunge wote ni chaguo la magufur
 
Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.

Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.

Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.

Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.

Kwa nini wanakudharau namna hii?

Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?

This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
Samia na hao uliowataja wote ni hao hao. Never trust a dictator
 
Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.

Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.

Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.

Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.

Kwa nini wanakudharau namna hii?

Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?

This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
Wasukuma washasema hawataki rais mwanamke na hasa mzanzibari. Na yeye kwa upoyoyo wake anamuacha majaliwa aongoze nchi
majaliwa ni katili
 
Samia sio chaguo la Magufuli?
Na Mama Samia ni zao la utawala wa kikwete na Viongoz wenzake aliofanyanao kaz kwenye awamu ya 4,Magufur kawa tumbua wote kuanzia ubunge mpaka uwazir kawasafisha aliye baki ni lukuvi 'z mwiguru.
 
Hii ndio njia pekee iliyobaki,

Kujaribu kumgombanisha samia na watendaji wake,

Ila nikwambie kitu, samia hajaanza siasa leo

Anawachora tu.
 
Kumbuka Mkuu hawakutaka aingie Ikulu. Na miezi minne tu ya utawala wake anadharaulika ndani ya Serikali hii haramu na ndani ya maccm.
Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.

Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.

Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.

Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.

Kwa nini wanakudharau namna hii?

Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?

This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
 
Madaraka ya Rais yanajaribiwa sasa kuliko wakati wowote ule. Ni wakati sasa mama ambadiliahe DIS ili akae na taarifa safi huenda hapati taarifa nzuri ya yanayoendelea
 
Na hapa ndipo tunapoona umuhimu wa elimu ya maana kwa mtu anaepaswa kuwa raisi. Huwezi kuwa raisi na elimu ya kuunga unga utarajie kufanya maamuzi yanayohitaji uelewa mkubwa.
Tatizo siyo elimu tatizo ni akili
Kitabu kinaelimu ila hakina akili
 
Kifupi wanamdharau...She need to Rethink
Tulia dawa ikuingie ww kenge, hakuna anaye mdharau mama Bali yule Gaidi wenu timu yake," Gaidi anajaribu eti kumkoromea mama et hatumlazimishi kuonana na sisi, Kama hataki akae na sisi tutafanya tunavyo weza"huku kavaa Kofia yake ya kidaidi,
Hapo nyuma wafuasinwake walimwambia mama watamnyolea wembe waliye mnyolea mtangulizi wake,
Mama Kesha washtukia nyie watu msiye na Shukrani hata kidogo, mema mengi kawafanyia lakini hamna ufahamu nyie.
 
Pambafu hao cheti feki ndio unataka walipwe nini. Mtu kagushi na kupata kazi anastahili kufungwa. Chochote alichopata au kufanya kazini ni haramu. Wamesamehewa kushtakiwa kwa hivyo wasithubutu kudai kitu. Kama wana madai yoyote hizo ni fedha za umma zirudi serikalini.
Acha ujinga wewe kizazi cha nyoka! Katika makundi hayo wapo walio anzia kidato cha kwanza kwa vile mwenye jina huko kijijini hakutaka kusoma na nafasi ilikuwa moja tuu.
Mtu huyo AKAAMRIWA na wazazi wake kusoma kwa jina la mwenzake na ana akili za kutosha zikamfanya aendelee kufaulu hadi kuhitimu taaluma aliyonayo huyo huwezi kumchukulia sawa na waliogushi vyeti maana kusoma kasoma na kuhitimu mwenyewe
 
Wasukuma washasema hawataki rais mwanamke na hasa mzanzibari. Na yeye kwa upoyoyo wake anamuacha majaliwa aongoze nchi
majaliwa ni katili
Tunataka majaliwa awe raisi wa tz kabla ya 2025 hii nchi inaitaji raisi mkatili na mchapakazi
 
Kosa walilofanya wachaga kushangilia kifo cha Magufuli litawagharimu hadi kizazi cha tatu.
#Gaidi
#corona imekita mizizi Moshi
 
Bavicha nyie wajinga sana aisee!

Watu wa mwenda zake ni wapi? Yeye Samia pia si mtu wa mwenda zake?
Ndio maana nakuambia wewe ni mjinga kila siku.
Once a president, you are not belongs to anybody but Republic uliyoiapia maana huna mtu wa kukupangia la kufanya zaidi ya katiba ya nchi.
 
Back
Top Bottom