Kuunda serikal yake ningumu wabunge wote ni chaguo la magufurRais huyu ni mvivu wa kuunda serikali yake mwenyewe.
Ngoja ajivutevute, Asipouanika atautwanga mbichi.
Mwanzo alivyoingia madarakani alitangaza bei za bando zishushwe, kuna makampuni yakamgomea!
Samia na hao uliowataja wote ni hao hao. Never trust a dictatorKauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.
Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.
Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.
Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.
Kwa nini wanakudharau namna hii?
Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?
This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
Wasukuma washasema hawataki rais mwanamke na hasa mzanzibari. Na yeye kwa upoyoyo wake anamuacha majaliwa aongoze nchiKauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.
Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.
Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.
Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.
Kwa nini wanakudharau namna hii?
Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?
This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
Samia siyo chaguo la magufur, chaguo la magufur alikuwa Hussein mwinyi, huyo Samia kamati kuu ilimchomekea kipindi kashinda Kula za maoni, yeye mwenyewe alitamkagaa makamu Rais kwenye akili yake alikuwa Mwinyi.Samia sio chaguo la Magufuli?
Na Mama Samia ni zao la utawala wa kikwete na Viongoz wenzake aliofanyanao kaz kwenye awamu ya 4,Magufur kawa tumbua wote kuanzia ubunge mpaka uwazir kawasafisha aliye baki ni lukuvi 'z mwiguru.Samia sio chaguo la Magufuli?
Ulimsikia Ndugai? Hebu tafuta clip yake ya juzi kuhusu miamala kisha linganisha na agizo la SSH.
Ni kama anamuambia ATAKE ASITAKE wameshapitisha
Mwigulu kamgomea kushusha tozo,na hana cha kumfanya.
Autopilot engaged.
Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.
Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.
Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.
Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.
Kwa nini wanakudharau namna hii?
Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?
This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
Kwanini usemi mihadarati gang mkweleHii nchi ni kubwa sana kwa mama kuimudu.
Sukuma gang wanairudisha mikononi mwao kwa fujo.
Tatizo siyo elimu tatizo ni akiliNa hapa ndipo tunapoona umuhimu wa elimu ya maana kwa mtu anaepaswa kuwa raisi. Huwezi kuwa raisi na elimu ya kuunga unga utarajie kufanya maamuzi yanayohitaji uelewa mkubwa.
Tulia dawa ikuingie ww kenge, hakuna anaye mdharau mama Bali yule Gaidi wenu timu yake," Gaidi anajaribu eti kumkoromea mama et hatumlazimishi kuonana na sisi, Kama hataki akae na sisi tutafanya tunavyo weza"huku kavaa Kofia yake ya kidaidi,Kifupi wanamdharau...She need to Rethink
Acha ujinga wewe kizazi cha nyoka! Katika makundi hayo wapo walio anzia kidato cha kwanza kwa vile mwenye jina huko kijijini hakutaka kusoma na nafasi ilikuwa moja tuu.Pambafu hao cheti feki ndio unataka walipwe nini. Mtu kagushi na kupata kazi anastahili kufungwa. Chochote alichopata au kufanya kazini ni haramu. Wamesamehewa kushtakiwa kwa hivyo wasithubutu kudai kitu. Kama wana madai yoyote hizo ni fedha za umma zirudi serikalini.
Tunataka majaliwa awe raisi wa tz kabla ya 2025 hii nchi inaitaji raisi mkatili na mchapakaziWasukuma washasema hawataki rais mwanamke na hasa mzanzibari. Na yeye kwa upoyoyo wake anamuacha majaliwa aongoze nchi
majaliwa ni katili
Ndio maana nakuambia wewe ni mjinga kila siku.Bavicha nyie wajinga sana aisee!
Watu wa mwenda zake ni wapi? Yeye Samia pia si mtu wa mwenda zake?