Watoe maoni kwenye mkataba sio matamko. Waseme sisi yeye kupewa ardhi bahari na anga sio issue. Kupewa bandari zote sio issue. Ukomo ambao haujaandikwa sio issue. Ingawa wangesema japo ukomo utawekwa kwenye hizo contract. Na kwa nini contract zinaendwa kufichwa kwa kubadili sheria. Je ni kweli huyu jamaa atapewa kila kitu at tuseme atadhibiti idadi ya mizani na wiziMkataba hamkuandikiwa waislamu, wameandikiwa Serikali.